Acha kupotosha Rais Magufuli amewajali Sana watumishi wake ukiangalia kwanza ameweka nidham ya kazi
Pia ameweka akitoa mishahara ndani ya wakati ukilinganisha na zamani mambo sasa ni tofauti.
Vyama vya walimu wanasikilizwa kwa Hali ya juu na mawazo yao yanatendewa Kazi.
Ajira kwa walimu...
Kabisa Hawa wapotoshaji Sana....... Wakubaliane na Hali uchaguzi kuna kushinda na kushindwa kwahiyo wakubali na sio kutengeneza vtu tu kwa akali ya kupotosha jamii
Serikali ya Tanzania chini ya Rais Magufuli imeahidi kujenga reli kutoka Mtwara, Songea Hadi Mbaba bay. Ambapo mpaka sasa upembuzi yakinifu umeshafanyika na michoro yote iko tayari.
Reli itakua na umbali wa takribani kilomita 1000 Reli hii ikikamilika Watanzania watanufaika Sana hasa Katika...
Waache wajidanganye wapinzani wanashindw akutumia mbongo zao jmn... Watanzania tukisikia mlio tunaenda hukohuko kuangalia hata tukisikia kuna mchawi kakamatwa tunaenda kuangalia sasa kama alidhanu watu wanaenda kisa wanampenda pole yake hatapata kura watu wanaenda kuangalia kama kwel anaonekana...
Wewe unaishi wapi kwani ni vibe gani unataka ivi umekatisha mitaani huko au upo kwenye mitandao ila ukiotaka kujua dar wapi vizuri subiri Magufuli aje kufanya kampeni dar ndio itakua mjomba wamepita hao watu wa blablaa na hatukustuka wala nn tupate kanda ndugu uone mambo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.