Nadhani awamu hii ya pili ni awamu ngumu zaidi ila inabidi watumishi wote wanaolipwa kwa kodi ya Watanzania waumie kwa usawa.Aliyeshinda uchaguzi ni
1. Ni yuleyule raisi aliyesema hana mpango wowote na Human resource encourange (Hawezi kuongeza mshahara)
2. Ni yule yule Raisi aliyeamua kugoma kupandisha maadaraja watumishi wotee walioajiriwa kuanzia 2014
3. Ni yuleyule raisi aliamua kuvunja Sheria ya "Annual Increment". Na hakuongeza chochote kama Sheria ilivyomtaka.
4. Ni yuleyule raisi aliyewafukuza watumishi wa mahakama walioajiriwa 2016 kisa waliajiriwa kipindi cha uhakiki.
5. Ni yuleyule ambae alikuta baadhi ya sekta katika utumishi wa umma zinasomesha watumishi wake Eg. Mahakama.
Ila alipoingia yeye kwenye Law day alitoa tamko, mahakama iache kusomesha watumishi wake.
Mtu aliyekuwa chuoni akijua analipiwa ada ilimbidi aache kwanza chuo akajipange ili kurudi tena. Maana ufadhili ulikatwa katikati ya masomo.
6. Ni yule yule ambae amevifanya vyama vya wafanyakazi visiwe na sauti.
7. Ni mengi aisee nikiandika yotee siwezi maliza.
KIFUPI KWA MIAKA HII 5 KADHULUMU SANAA WATUMISHI WA UMMA.
Eti ameshinda tenaa..
Yaani miaka mengine mitano ya kuvunja Sheria za utumishi na kutowajali watumishi.
TUENDELEE KUVUMILIA ila usisahau in every action there is an equal and opposite reaction.
Wameamua kutudhulumu pesa as our resource.
Sasa ni wakati wa kudhulumu muda.
Take their time to do your things on your favour as they have take your money for their favour.
YOU HAVE MOUTH TO FEED.
#YNWA
Tatizo mlilo nalo ni kuwaaminisha wakulima na wafugajia kuwa wao ndio maskini wa nchi hii.Hujasema kama:
1. yule yule aliyekomesha Rushwa ns Ucheleweshaji wa kesi Mahakamani.
2. Ni yule yule anayesomesha bure watanzania kutoka darasa LA kwanza hadi kidato cha NNE
3. Ni yule yule aliyekarabati shule Kongwe ambazo ukifika utadhania ni vyuo vikuu
4. Ni yule yule aliyekomesha mgao wa umeme
5. Ni yule yule aliyeboresha sekta ya afya kwa kujenga Hospitali, zahanati mpya na kuongeza vifaa
6. Ni yule yule anayejenga SGR na Stiglers Gorge
7. Ni yule yule aliyepitia mikataba ya madini na sasa nchi inanufaika na madini yetu
8. Ni yule yule aliyedhibiti biashara haramu za pembe za ndovu na dawa za kulevya
9. Ni yule yule jembe LA afrika ambaye Mabeberu wasikiapo jina lake wsnatetemeka
Acha ubinafsi, Watumishi wa umma ni laki tano tu kati ya watanzania mil 50, Wapo wakulima, wafugaji, wafanyaboashara, wavuvi n.k, wote wanamwangalia Mheshimiwa Rais.
Hujui unachokiongea weweMimi naomba Magufuli awamu hii apunguze hadi mishahara ya watumishi wa umma!
Inaonekana ni mikubwa sana, ndio maana wanamuunga mkono na wamemsaidia kupora kura!
Apunguze hata kwa nusu akajengee uwanja wa mpira Chato.
Nina uhakika bado watumishi umma wataendelea kumwona mungu
Ma-ku kwel wew kwahyo kama ni laki tano ndo awafanye anavyo taka sio,em kaa na fikiri hao watumidhi wanaishije hyo miaka mi5 af ukute amejichanganya kakopa kaenda kujenga nyumba mshahara 145000 kwa mwez yaan inauma saaanaHujasema kama:
1. yule yule aliyekomesha Rushwa ns Ucheleweshaji wa kesi Mahakamani.
2. Ni yule yule anayesomesha bure watanzania kutoka darasa LA kwanza hadi kidato cha NNE
3. Ni yule yule aliyekarabati shule Kongwe ambazo ukifika utadhania ni vyuo vikuu
4. Ni yule yule aliyekomesha mgao wa umeme
5. Ni yule yule aliyeboresha sekta ya afya kwa kujenga Hospitali, zahanati mpya na kuongeza vifaa
6. Ni yule yule anayejenga SGR na Stiglers Gorge
7. Ni yule yule aliyepitia mikataba ya madini na sasa nchi inanufaika na madini yetu
8. Ni yule yule aliyedhibiti biashara haramu za pembe za ndovu na dawa za kulevya
9. Ni yule yule jembe LA afrika ambaye Mabeberu wasikiapo jina lake wsnatetemeka
Acha ubinafsi, Watumishi wa umma ni laki tano tu kati ya watanzania mil 50, Wapo wakulima, wafugaji, wafanyaboashara, wavuvi n.k, wote wanamwangalia Mheshimiwa Rais.
Afadhali watumishi wa umma mngekufa muishe wote maana nyie mnatumika kutupitisha kwenye huu uvuli wa mauti. . Mavi yenu yananuka, kenge nyie.Aliyeshinda uchaguzi ni
1. Ni yuleyule raisi aliyesema hana mpango wowote na Human resource encourange (Hawezi kuongeza mshahara)
2. Ni yule yule Raisi aliyeamua kugoma kupandisha maadaraja watumishi wotee walioajiriwa kuanzia 2014
3. Ni yuleyule raisi aliamua kuvunja Sheria ya "Annual Increment". Na hakuongeza chochote kama Sheria ilivyomtaka.
4. Ni yuleyule raisi aliyewafukuza watumishi wa mahakama walioajiriwa 2016 kisa waliajiriwa kipindi cha uhakiki.
5. Ni yuleyule ambae alikuta baadhi ya sekta katika utumishi wa umma zinasomesha watumishi wake Eg. Mahakama.
Ila alipoingia yeye kwenye Law day alitoa tamko, mahakama iache kusomesha watumishi wake.
Mtu aliyekuwa chuoni akijua analipiwa ada ilimbidi aache kwanza chuo akajipange ili kurudi tena. Maana ufadhili ulikatwa katikati ya masomo.
6. Ni yule yule ambae amevifanya vyama vya wafanyakazi visiwe na sauti.
7. Ni mengi aisee nikiandika yotee siwezi maliza.
KIFUPI KWA MIAKA HII 5 KADHULUMU SANAA WATUMISHI WA UMMA.
Eti ameshinda tenaa..
Yaani miaka mengine mitano ya kuvunja Sheria za utumishi na kutowajali watumishi.
TUENDELEE KUVUMILIA ila usisahau in every action there is an equal and opposite reaction.
Wameamua kutudhulumu pesa as our resource.
Sasa ni wakati wa kudhulumu muda.
Take their time to do your things on your favour as they have take your money for their favour.
YOU HAVE MOUTH TO FEED.
#YNWA
Afe kabisa.Acheni Mzee Apumzike Mtamuua Kwa Pressure
Msimshirikishe Mungu kwenye upumbavu wenu.Mi ni mtumishi wa umma mwenye TGS C2.
Ila kiuhalali ilipaswa ni TGS E.
Ila kwa kuwa mwenyekiti wako ni JIWE lisilosikia.
Kanidhulumu maadaraja yangu na increment yangu.
Mwambie Mungu anamuona.
#YNWA
Acha kupotosha Rais Magufuli amewajali Sana watumishi wake ukiangalia kwanza ameweka nidham ya kaziAliyeshinda uchaguzi ni
1. Ni yuleyule raisi aliyesema hana mpango wowote na Human resource encourange (Hawezi kuongeza mshahara)
2. Ni yule yule Raisi aliyeamua kugoma kupandisha maadaraja watumishi wotee walioajiriwa kuanzia 2014
3. Ni yuleyule raisi aliamua kuvunja Sheria ya "Annual Increment". Na hakuongeza chochote kama Sheria ilivyomtaka.
4. Ni yuleyule raisi aliyewafukuza watumishi wa mahakama walioajiriwa 2016 kisa waliajiriwa kipindi cha uhakiki.
5. Ni yuleyule ambae alikuta baadhi ya sekta katika utumishi wa umma zinasomesha watumishi wake Eg. Mahakama.
Ila alipoingia yeye kwenye Law day alitoa tamko, mahakama iache kusomesha watumishi wake.
Mtu aliyekuwa chuoni akijua analipiwa ada ilimbidi aache kwanza chuo akajipange ili kurudi tena. Maana ufadhili ulikatwa katikati ya masomo.
6. Ni yule yule ambae amevifanya vyama vya wafanyakazi visiwe na sauti.
7. Ni mengi aisee nikiandika yotee siwezi maliza.
KIFUPI KWA MIAKA HII 5 KADHULUMU SANAA WATUMISHI WA UMMA.
Eti ameshinda tenaa..
Yaani miaka mengine mitano ya kuvunja Sheria za utumishi na kutowajali watumishi.
TUENDELEE KUVUMILIA ila usisahau in every action there is an equal and opposite reaction.
Wameamua kutudhulumu pesa as our resource.
Sasa ni wakati wa kudhulumu muda.
Take their time to do your things on your favour as they have take your money for their favour.
YOU HAVE MOUTH TO FEED.
#YNWA
Umeelewa nilicho andika mama?Acha kupotosha Rais Magufuli amewajali Sana watumishi wake ukiangalia kwanza ameweka nidham ya kazi
Pia ameweka akitoa mishahara ndani ya wakati ukilinganisha na zamani mambo sasa ni tofauti.
Vyama vya walimu wanasikilizwa kwa Hali ya juu na mawazo yao yanatendewa Kazi.
Ajira kwa walimu zimetolewa na mara ya mwisho ziliahidiwa ajira mil 13
UONGO UONGO UONGO, ACHA KUUPOTOSHA UMMA.Aliyeshinda uchaguzi ni
1. Ni yuleyule raisi aliyesema hana mpango wowote na Human resource encourange (Hawezi kuongeza mshahara)
2. Ni yule yule Raisi aliyeamua kugoma kupandisha maadaraja watumishi wotee walioajiriwa kuanzia 2014
3. Ni yuleyule raisi aliamua kuvunja Sheria ya "Annual Increment". Na hakuongeza chochote kama Sheria ilivyomtaka.
4. Ni yuleyule raisi aliyewafukuza watumishi wa mahakama walioajiriwa 2016 kisa waliajiriwa kipindi cha uhakiki.
5. Ni yuleyule ambae alikuta baadhi ya sekta katika utumishi wa umma zinasomesha watumishi wake Eg. Mahakama.
Ila alipoingia yeye kwenye Law day alitoa tamko, mahakama iache kusomesha watumishi wake.
Mtu aliyekuwa chuoni akijua analipiwa ada ilimbidi aache kwanza chuo akajipange ili kurudi tena. Maana ufadhili ulikatwa katikati ya masomo.
6. Ni yule yule ambae amevifanya vyama vya wafanyakazi visiwe na sauti.
7. Ni mengi aisee nikiandika yotee siwezi maliza.
KIFUPI KWA MIAKA HII 5 KADHULUMU SANAA WATUMISHI WA UMMA.
Eti ameshinda tenaa..
Yaani miaka mengine mitano ya kuvunja Sheria za utumishi na kutowajali watumishi.
TUENDELEE KUVUMILIA ila usisahau in every action there is an equal and opposite reaction.
Wameamua kutudhulumu pesa as our resource.
Sasa ni wakati wa kudhulumu muda.
Take their time to do your things on your favour as they have take your money for their favour.
YOU HAVE MOUTH TO FEED.
#YNWA
We ni mtumishi wa Umma?UONGO UONGO UONGO, ACHA KUUPOTOSHA UMMA.
Yeah by VPNMaandamano yasiyo na ukomo yameanza London, Paris, Sweden
Suala sio lini kapandisha mishahara?We ni mtumishi wa Umma?
1. Lini aliongeza mishahara?
2. Lini alipandisha watumishi wa 2014 maadaraja?
3. Lini......
#YNWA