Watumishi wa UMMA tujiandae kuumia tena kwa miaka 5

Kwani nyie watumishi wa umma si serikali iliyopita iliwaboreshea mazingira ya kazi na maslahi au mnataka nini tena ?
 
Aliyeshinda uchaguzi ni

1. Ni yuleyule raisi aliyesema hana mpango wowote na Human resource encourange (Hawezi kuongeza mshahara)

2. Ni yule yule Raisi aliyeamua kugoma kupandisha maadaraja watumishi wotee walioajiriwa kuanzia 2014

3. Ni yuleyule raisi aliamua kuvunja Sheria ya "Annual Increment". Na hakuongeza chochote kama Sheria ilivyomtaka.

4. Ni yuleyule raisi aliyewafukuza watumishi wa mahakama walioajiriwa 2016 kisa waliajiriwa kipindi cha uhakiki.

5. Ni yuleyule ambae alikuta baadhi ya sekta katika utumishi wa umma zinasomesha watumishi wake Eg. Mahakama.
Ila alipoingia yeye kwenye Law day alitoa tamko, mahakama iache kusomesha watumishi wake.

Mtu aliyekuwa chuoni akijua analipiwa ada ilimbidi aache kwanza chuo akajipange ili kurudi tena. Maana ufadhili ulikatwa katikati ya masomo.

6. Ni yule yule ambae amevifanya vyama vya wafanyakazi visiwe na sauti.

7. Ni mengi aisee nikiandika yotee siwezi maliza.

KIFUPI KWA MIAKA HII 5 KADHULUMU SANAA WATUMISHI WA UMMA.

Eti ameshinda tenaa..

Yaani miaka mengine mitano ya kuvunja Sheria za utumishi na kutowajali watumishi.

TUENDELEE KUVUMILIA ila usisahau in every action there is an equal and opposite reaction.

Wameamua kutudhulumu pesa as our resource.
Sasa ni wakati wa kudhulumu muda.

Take their time to do your things on your favour as they have take your money for their favour.
YOU HAVE MOUTH TO FEED.

#YNWA
Nadhani awamu hii ya pili ni awamu ngumu zaidi ila inabidi watumishi wote wanaolipwa kwa kodi ya Watanzania waumie kwa usawa.

Kuna watu wanaoishi kama Peponi kwa kodi za wananchi wote hao kwa kweli sasa ni zamu yao kushiriki machungu ya kuwa na vipato vya kati na sio kuwaziei wenzao kama vile ni wao ni mabwana na wengine ni watumwa .
Iwe hivi tunakupa Uwaziri lakini Usafiri utatumia Suzuki. Ukitaka gari la kifahari utanunua mwenyewe kama watumishi wengine wanavyonunya Ist kwa mikopo.

Tunakuoa Uteuzi lakini mshahara wako ni kulingana na Elimu yako kama watumishi wengine wa umma kama unakubali sawa kama hutaki wapo wengine wenye Uchungu na nchi hii.

Wabunge ni zamu yao sasa kuonyesha uzalendo kwa kupunguza posho zao na mishahara yao ili serikali isikwame kwenye suala la maendeleo.
Kumlipa mbunge mil. 12 kwa mwezi ni kupaoteza fedha za umma kwani kwa miaka mitano tumeona Wakuu wa Wilaya wakifanya kazi kubwa sana kuliko wabunge wa vyama vyote. Kuna wakati niliwaza kuwa hakuna hata haja ya kuwa na wabunge na nchi itasonga mbele kwa kasi zaidi.
Kifupi ifikie mahali kwenye umaskini wa nchi hii na ujenzi wa miundo mbinu kwa ajili ya baadae kila MTU ashiriki kujenga nchi yake kizalendo . Mshahara wa Mwajiriwa ndani ya nchi hii usizidi Mil. 3 kwa mwezi. Yaani laki moja kwa siku.
Kama MTU hataki basi ahame nchi. Na kwa sasa dunia nzima Kuna tatizo la ajira kwa hiyo hakuna tena Yale mambo ya kubembelezana wakati wasomi wapo kila mahali wanatamani hata kujitolea kufanya kazi bure . Wote waonyeshe uzalendo sio kama usanii unaofanyika kwa watawala kuwa mabilionea huku watawaliwa na watumishi wa umma wakiishi kama watumwa kwenye nchi moja na kodi ndizo zinazowalipa. Anayona vipi akafanye biashara zake sio ofisi za umma. Bado nchi yetu ni Changa.

Wapinzani walikowea sana walipokua Bungeni kushindwa kujenga hoja za kutetea maslahi ya wengi badala yake wakawa wanapinga kila kitu isipokuwa suala la maslahi ya wanasiasa na vyama vyao waliungana na CCM kuwanyonya walalahoi.
Sasa wamepigwa chini wote wanalialia na mtaani hakukaliki . Sio muda mrefu watatambaa kwenda CcM kuomba poo ili nao waneemeke.
Dawa iliyosalia ni kupunguza maslahi kwa watawala na wanasiasa ili tuone nani mzalendo na nani mzaa magendo ndani ya nchi hii.

Sasa tuondoe ule msemo ,'Tanzania itajengwa na wanye moyo na kuliwa na wenye meno.'
 
Hujasema kama:

1. yule yule aliyekomesha Rushwa ns Ucheleweshaji wa kesi Mahakamani.
2. Ni yule yule anayesomesha bure watanzania kutoka darasa LA kwanza hadi kidato cha NNE
3. Ni yule yule aliyekarabati shule Kongwe ambazo ukifika utadhania ni vyuo vikuu
4. Ni yule yule aliyekomesha mgao wa umeme
5. Ni yule yule aliyeboresha sekta ya afya kwa kujenga Hospitali, zahanati mpya na kuongeza vifaa
6. Ni yule yule anayejenga SGR na Stiglers Gorge
7. Ni yule yule aliyepitia mikataba ya madini na sasa nchi inanufaika na madini yetu
8. Ni yule yule aliyedhibiti biashara haramu za pembe za ndovu na dawa za kulevya
9. Ni yule yule jembe LA afrika ambaye Mabeberu wasikiapo jina lake wsnatetemeka

Acha ubinafsi, Watumishi wa umma ni laki tano tu kati ya watanzania mil 50, Wapo wakulima, wafugaji, wafanyaboashara, wavuvi n.k, wote wanamwangalia Mheshimiwa Rais.
Tatizo mlilo nalo ni kuwaaminisha wakulima na wafugajia kuwa wao ndio maskini wa nchi hii.
Aibu kubwa sana ndio maana Afrika hatuendelei.

Kuna wafugaji wanamiliki Ng'ombe mpaka Elfu kumi. Kwa bei ya chini kabisa Sh lakini tano ni kuwa mtu huyo anamiliki bil. 5.
Lakini anakuja Katibu kata anayepewa usafiri wa pikipiki na serikali kwa sababu hana uwezo wa kununua ya kwake mwenyewe na kuweka mafuta anamwambia yule mfugaji wewe ni maskini ,mkuu wa wilaya akija mwombe msaada wa Bajaji ya Hospitali na kisima cha maji.
Waafrika Mungu anatushangaa sana tunavyotawaliwa na watu wabinafsi wanaowapa watu umaskini kwa makusudi ili wazidi kuwatawala kwa hofu kubwa.

Kwa nchi yenye rasilimali nyingi kama Tanzania mishahara ya watumishi wa umma inawafanya wawe maskini wa kubwa sana. Wengi wanaishi kwa mikopo na rushwa na ujanja ujanja mwingi .
Jiulize ni kwa nini wanasiasa wao ni mabilionea wakati wao nao wanalipwa na serikali kupitia kodi za wananchi? Kwa nini hapakuwa na uwiano kwenye mishahara ili wote wawe na maisha standard na kuweza kukuza soko la mkulima.
Wanunuzi wa kubwa wa mazo ya wakulima direct ni watumishi wa chini wenye vipato vidogo na wafanyabiashara wadogowadogo ndio maana Soko la mazao kubwa lipo Buguruni,Tandale,Mabibo,Kariakoo n.k.
Wale wenye uteuzi na mishahara minono soko lao ni Mlimani City wananunua vyakula kutoka Afrika kusini na China.

Tubadili mtizamo na kuona kuwa fursa kubwa IPO kwa Wakulima na wafugaji na ndio matajiri ili vijana wengi wajiajiri kupitia kilimo na ufugaji . Haya mambo ya Kuwaita wafugaji kuwa eti ni maskini ni kuliangamiza taifa kwa vijana kukimbilia mijini kutafuta ajira kwa wahindi wakati vijijini kuna fursa kubwa za kilimo na ufugaj.
 
Mimi naomba Magufuli awamu hii apunguze hadi mishahara ya watumishi wa umma!

Inaonekana ni mikubwa sana, ndio maana wanamuunga mkono na wamemsaidia kupora kura!

Apunguze hata kwa nusu akajengee uwanja wa mpira Chato.

Nina uhakika bado watumishi umma wataendelea kumwona mungu
Hujui unachokiongea wewe
 
Mimi ninachojua Watumishi wengi wa umma walishagoma muda mrefu ila ni ''Mgomo Baridi''

Hawafanyi kazi kwa moyo ni tia maji tia maji tu kuanzia kwa Waalimu

Wao wanasubiri tu mishahara na matokeo yake tunayaona kutoka huko sekta za umma
 
Hujasema kama:

1. yule yule aliyekomesha Rushwa ns Ucheleweshaji wa kesi Mahakamani.
2. Ni yule yule anayesomesha bure watanzania kutoka darasa LA kwanza hadi kidato cha NNE
3. Ni yule yule aliyekarabati shule Kongwe ambazo ukifika utadhania ni vyuo vikuu
4. Ni yule yule aliyekomesha mgao wa umeme
5. Ni yule yule aliyeboresha sekta ya afya kwa kujenga Hospitali, zahanati mpya na kuongeza vifaa
6. Ni yule yule anayejenga SGR na Stiglers Gorge
7. Ni yule yule aliyepitia mikataba ya madini na sasa nchi inanufaika na madini yetu
8. Ni yule yule aliyedhibiti biashara haramu za pembe za ndovu na dawa za kulevya
9. Ni yule yule jembe LA afrika ambaye Mabeberu wasikiapo jina lake wsnatetemeka

Acha ubinafsi, Watumishi wa umma ni laki tano tu kati ya watanzania mil 50, Wapo wakulima, wafugaji, wafanyaboashara, wavuvi n.k, wote wanamwangalia Mheshimiwa Rais.
Ma-ku kwel wew kwahyo kama ni laki tano ndo awafanye anavyo taka sio,em kaa na fikiri hao watumidhi wanaishije hyo miaka mi5 af ukute amejichanganya kakopa kaenda kujenga nyumba mshahara 145000 kwa mwez yaan inauma saaana
 
Aliyeshinda uchaguzi ni

1. Ni yuleyule raisi aliyesema hana mpango wowote na Human resource encourange (Hawezi kuongeza mshahara)

2. Ni yule yule Raisi aliyeamua kugoma kupandisha maadaraja watumishi wotee walioajiriwa kuanzia 2014

3. Ni yuleyule raisi aliamua kuvunja Sheria ya "Annual Increment". Na hakuongeza chochote kama Sheria ilivyomtaka.

4. Ni yuleyule raisi aliyewafukuza watumishi wa mahakama walioajiriwa 2016 kisa waliajiriwa kipindi cha uhakiki.

5. Ni yuleyule ambae alikuta baadhi ya sekta katika utumishi wa umma zinasomesha watumishi wake Eg. Mahakama.
Ila alipoingia yeye kwenye Law day alitoa tamko, mahakama iache kusomesha watumishi wake.

Mtu aliyekuwa chuoni akijua analipiwa ada ilimbidi aache kwanza chuo akajipange ili kurudi tena. Maana ufadhili ulikatwa katikati ya masomo.

6. Ni yule yule ambae amevifanya vyama vya wafanyakazi visiwe na sauti.

7. Ni mengi aisee nikiandika yotee siwezi maliza.

KIFUPI KWA MIAKA HII 5 KADHULUMU SANAA WATUMISHI WA UMMA.

Eti ameshinda tenaa..

Yaani miaka mengine mitano ya kuvunja Sheria za utumishi na kutowajali watumishi.

TUENDELEE KUVUMILIA ila usisahau in every action there is an equal and opposite reaction.

Wameamua kutudhulumu pesa as our resource.
Sasa ni wakati wa kudhulumu muda.

Take their time to do your things on your favour as they have take your money for their favour.
YOU HAVE MOUTH TO FEED.

#YNWA
Afadhali watumishi wa umma mngekufa muishe wote maana nyie mnatumika kutupitisha kwenye huu uvuli wa mauti. . Mavi yenu yananuka, kenge nyie.
 
Tatizo ukiishi kwa kutegemea mshahara badala ya kujiongeza ufanye na kazi za ziada ili kipato kiwe kikubwa lazima tu haya yakupate hata ukiongezwa mshahara utaenda kuukopea halagu unsbaki mdogo mchawi ni fikra zetu

sent from HUAWEI
 
Mi ni mtumishi wa umma mwenye TGS C2.

Ila kiuhalali ilipaswa ni TGS E.

Ila kwa kuwa mwenyekiti wako ni JIWE lisilosikia.

Kanidhulumu maadaraja yangu na increment yangu.

Mwambie Mungu anamuona.

#YNWA
Msimshirikishe Mungu kwenye upumbavu wenu.
 
Aliyeshinda uchaguzi ni

1. Ni yuleyule raisi aliyesema hana mpango wowote na Human resource encourange (Hawezi kuongeza mshahara)

2. Ni yule yule Raisi aliyeamua kugoma kupandisha maadaraja watumishi wotee walioajiriwa kuanzia 2014

3. Ni yuleyule raisi aliamua kuvunja Sheria ya "Annual Increment". Na hakuongeza chochote kama Sheria ilivyomtaka.

4. Ni yuleyule raisi aliyewafukuza watumishi wa mahakama walioajiriwa 2016 kisa waliajiriwa kipindi cha uhakiki.

5. Ni yuleyule ambae alikuta baadhi ya sekta katika utumishi wa umma zinasomesha watumishi wake Eg. Mahakama.
Ila alipoingia yeye kwenye Law day alitoa tamko, mahakama iache kusomesha watumishi wake.

Mtu aliyekuwa chuoni akijua analipiwa ada ilimbidi aache kwanza chuo akajipange ili kurudi tena. Maana ufadhili ulikatwa katikati ya masomo.

6. Ni yule yule ambae amevifanya vyama vya wafanyakazi visiwe na sauti.

7. Ni mengi aisee nikiandika yotee siwezi maliza.

KIFUPI KWA MIAKA HII 5 KADHULUMU SANAA WATUMISHI WA UMMA.

Eti ameshinda tenaa..

Yaani miaka mengine mitano ya kuvunja Sheria za utumishi na kutowajali watumishi.

TUENDELEE KUVUMILIA ila usisahau in every action there is an equal and opposite reaction.

Wameamua kutudhulumu pesa as our resource.
Sasa ni wakati wa kudhulumu muda.

Take their time to do your things on your favour as they have take your money for their favour.
YOU HAVE MOUTH TO FEED.

#YNWA
Acha kupotosha Rais Magufuli amewajali Sana watumishi wake ukiangalia kwanza ameweka nidham ya kazi
Pia ameweka akitoa mishahara ndani ya wakati ukilinganisha na zamani mambo sasa ni tofauti.
Vyama vya walimu wanasikilizwa kwa Hali ya juu na mawazo yao yanatendewa Kazi.
Ajira kwa walimu zimetolewa na mara ya mwisho ziliahidiwa ajira mil 13
 
Acha kupotosha Rais Magufuli amewajali Sana watumishi wake ukiangalia kwanza ameweka nidham ya kazi
Pia ameweka akitoa mishahara ndani ya wakati ukilinganisha na zamani mambo sasa ni tofauti.
Vyama vya walimu wanasikilizwa kwa Hali ya juu na mawazo yao yanatendewa Kazi.
Ajira kwa walimu zimetolewa na mara ya mwisho ziliahidiwa ajira mil 13
Umeelewa nilicho andika mama?
Soma tena..
1. Maadaraja yako wapi?
2. Nyongeza iko wapi?
3. Kwanini skate ufadhili alioukuta?

HEBU SOMA TENA.

#YNWA
 
Aliyeshinda uchaguzi ni

1. Ni yuleyule raisi aliyesema hana mpango wowote na Human resource encourange (Hawezi kuongeza mshahara)

2. Ni yule yule Raisi aliyeamua kugoma kupandisha maadaraja watumishi wotee walioajiriwa kuanzia 2014

3. Ni yuleyule raisi aliamua kuvunja Sheria ya "Annual Increment". Na hakuongeza chochote kama Sheria ilivyomtaka.

4. Ni yuleyule raisi aliyewafukuza watumishi wa mahakama walioajiriwa 2016 kisa waliajiriwa kipindi cha uhakiki.

5. Ni yuleyule ambae alikuta baadhi ya sekta katika utumishi wa umma zinasomesha watumishi wake Eg. Mahakama.
Ila alipoingia yeye kwenye Law day alitoa tamko, mahakama iache kusomesha watumishi wake.

Mtu aliyekuwa chuoni akijua analipiwa ada ilimbidi aache kwanza chuo akajipange ili kurudi tena. Maana ufadhili ulikatwa katikati ya masomo.

6. Ni yule yule ambae amevifanya vyama vya wafanyakazi visiwe na sauti.

7. Ni mengi aisee nikiandika yotee siwezi maliza.

KIFUPI KWA MIAKA HII 5 KADHULUMU SANAA WATUMISHI WA UMMA.

Eti ameshinda tenaa..

Yaani miaka mengine mitano ya kuvunja Sheria za utumishi na kutowajali watumishi.

TUENDELEE KUVUMILIA ila usisahau in every action there is an equal and opposite reaction.

Wameamua kutudhulumu pesa as our resource.
Sasa ni wakati wa kudhulumu muda.

Take their time to do your things on your favour as they have take your money for their favour.
YOU HAVE MOUTH TO FEED.

#YNWA
UONGO UONGO UONGO, ACHA KUUPOTOSHA UMMA.
 
Back
Top Bottom