Yeah ipo tofauti. Mganga maana yake ni tabibu, Doctor. Hao matabibu wanatoa tiba kwa mtindo tofauti tofauti.
1.Wale waliosomea, MD na wanatumia vifaa na njia zinazo kubalika na mifumo, ktk mitaala mbalimbali.. Kumbuka Tiba inayotolewa humu yaweza kuwa ni Extractions au mavuno ya vitu vya asili...
Wanachezewa Mchezo smart bila wao kujua. Ni wachawi wa Higher rank au waganga wa higher rank ndio wanajua game nzima ya mchezo.
Ila walio wengi wanajua kuna ka uadui fulani baina yao, ni kama unavyoona Simba na Yanga, huku chini washabiki wanachukulia hayo mambo serious,lakn walio top wanaona...
Hii post ya kutaka attention / kupiga tu story. Umesha sema mipango yako kuto kula mzigo ( Simamia lengo), Utashi wako umeona huyo binti ni mtu wa kitengo, je una jambo la kuificha serikali yao, au una taarifa nyeti ndani yako, unaogopa nini. Fata uamuzi wako.
Yeaah, yuko sahihi, nungunungu hana uwezo wa kurusha miba, anajitegesha tu. Hana mechanism ya ku push hiyo miiba ana kifanya ni kugeuza mwili wake ili ukutane na miiba.
Zingine zilizobaki ni Story tu.
Ni siku mpya. Ilete baraka na mabadiliko chanya, Ona na visualize ukifakiwa, (Sema Amen).
Niwape kisa kimoja, kiwe funzo na chachu ya kujiongeza next time, maana watu tunakurupuka na hizi silaha zetu tulizo nazo.
Jana nilikuwa ktk daladala moja naelekea Karume. Konda na dereva wake, wote...
Ktk hizi ishu za ulinzi, kukabana, doria etc. password sio Universal.
Inaweza badilika anytime. Inawez kuwa USIKU, jibu liwe UNYAMAAA.
KUKU, Jibu liwe KWA MRIJA.
Hao ni either wahuni ,sungusungu au Walinzi wa eneo hilo, wamejiwekea password yao. Ili kuto hitarifiana wao kwa wao na watu wa kitaaa kwao.
Bro ukakosea Password [emoji1787]. Ila umekuwa mwepesi kujiongeza, ndo maana unaambiwa don't be Fat daddy
So apewe kura kisa mwanamke. Ndo hiki walicho lilia wanaume kupewa fursa kwa sababu ya uanaume wao ( waliita mfumo dume) , je wao wanataka waje na mfumo jike[emoji1787].
Ktk zama hizi elimu sawa, fursa za ziada mnapewa kisa jinsia ya kike. Ukiona mtu kakosa nafasi jua hayupo competence.
Huku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.