Recent content by 20PROFF

  1. 20PROFF

    Mtu mwenye Ualbino ni mlemavu au sio mlemavu?

    Jamaaa umenichekesha kinoma,😁.
  2. 20PROFF

    Waganga wa kienyeji na wachawi ni mawakala wa shetani, kwanini wanapingana

    Yeah ipo tofauti. Mganga maana yake ni tabibu, Doctor. Hao matabibu wanatoa tiba kwa mtindo tofauti tofauti. 1.Wale waliosomea, MD na wanatumia vifaa na njia zinazo kubalika na mifumo, ktk mitaala mbalimbali.. Kumbuka Tiba inayotolewa humu yaweza kuwa ni Extractions au mavuno ya vitu vya asili...
  3. 20PROFF

    Waganga wa kienyeji na wachawi ni mawakala wa shetani, kwanini wanapingana

    Wanachezewa Mchezo smart bila wao kujua. Ni wachawi wa Higher rank au waganga wa higher rank ndio wanajua game nzima ya mchezo. Ila walio wengi wanajua kuna ka uadui fulani baina yao, ni kama unavyoona Simba na Yanga, huku chini washabiki wanachukulia hayo mambo serious,lakn walio top wanaona...
  4. 20PROFF

    Naomba kujua Mbinu za Kuwaepuka Wahudumu Warembo wa Hoteli Kubwa ambao kila wakija Kufanya Usafi Vyumbani wanatengeneza Mazingira Uwabandue

    Hii post ya kutaka attention / kupiga tu story. Umesha sema mipango yako kuto kula mzigo ( Simamia lengo), Utashi wako umeona huyo binti ni mtu wa kitengo, je una jambo la kuificha serikali yao, au una taarifa nyeti ndani yako, unaogopa nini. Fata uamuzi wako.
  5. 20PROFF

    Bajeti ya mshahara wa sh. 400,000

    Ila risk takers hawawek hela humo. Weka humo kama back up na sio source of income.
  6. 20PROFF

    Bajeti ya mshahara wa sh. 400,000

    Ukisha fungua, kuna baadhi ya mifuko unaweza weka hadi 10k
  7. 20PROFF

    KWELI Nungunungu harushi miiba kujilinda dhidi ya adui yake

    Yeaah, yuko sahihi, nungunungu hana uwezo wa kurusha miba, anajitegesha tu. Hana mechanism ya ku push hiyo miiba ana kifanya ni kugeuza mwili wake ili ukutane na miiba. Zingine zilizobaki ni Story tu.
  8. 20PROFF

    Walichezea kichapo: Jua kuitumia silaha yako

    Ni siku mpya. Ilete baraka na mabadiliko chanya, Ona na visualize ukifakiwa, (Sema Amen). Niwape kisa kimoja, kiwe funzo na chachu ya kujiongeza next time, maana watu tunakurupuka na hizi silaha zetu tulizo nazo. Jana nilikuwa ktk daladala moja naelekea Karume. Konda na dereva wake, wote...
  9. 20PROFF

    Kumbe kuna salamu maalumu ukikutana na mtu usiku mzito? Usiku wa leo mbio ndiyo zimeniokoa

    Ktk hizi ishu za ulinzi, kukabana, doria etc. password sio Universal. Inaweza badilika anytime. Inawez kuwa USIKU, jibu liwe UNYAMAAA. KUKU, Jibu liwe KWA MRIJA.
  10. 20PROFF

    Kumbe kuna salamu maalumu ukikutana na mtu usiku mzito? Usiku wa leo mbio ndiyo zimeniokoa

    Hao ni either wahuni ,sungusungu au Walinzi wa eneo hilo, wamejiwekea password yao. Ili kuto hitarifiana wao kwa wao na watu wa kitaaa kwao. Bro ukakosea Password [emoji1787]. Ila umekuwa mwepesi kujiongeza, ndo maana unaambiwa don't be Fat daddy
  11. 20PROFF

    Jokate Mwegelo: Wanawake ifike mwisho kuwapigia kura wanaume

    So apewe kura kisa mwanamke. Ndo hiki walicho lilia wanaume kupewa fursa kwa sababu ya uanaume wao ( waliita mfumo dume) , je wao wanataka waje na mfumo jike[emoji1787]. Ktk zama hizi elimu sawa, fursa za ziada mnapewa kisa jinsia ya kike. Ukiona mtu kakosa nafasi jua hayupo competence. Huku...
  12. 20PROFF

    Nilichomfanyia Bosi wangu hatakuja kusahau mpaka kifo chake

    [emoji1787][emoji1787]. Ila walimu unyonge wanajitwika wenyewe.
Back
Top Bottom