Dawa ya deni ni kulipa, mwenye tatizo ni wewe hata ukifungua kesi bado itakugharimu tu, ww ulikubali vigezo na masharti, sa tunalalamika nn? Kama ungelipa on time deni lao yote yasingetokea, haijalishi ulikuwa na dharura gani
Bado nini? a mwaka 2022 majaribio yalifanyika wakafaulu, mwaka 2023 mwezi wa 7 majaribio mwengine toka Kariakoo hadi rangi 3, tueleze wewe kuwa bado nini?
Nasikitika nchi hii haina waandishi wa habari za kiuchunguzi kama zamani. Mradi wa mabasi yaendayo kasi Mbagala umeanza kuchakaa tayari kabla ya kuzinduliwa.
Zege lina majani, michanga kama vile limejengwa 80s, vituo vinapigwa vumbi tu. Pikipiki na Bajaji ndio zimejimilikisha njia hiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.