Recent content by 2019

  1. 2019

    JamiiForums Tanzania Usilazimishe JF ya 2026 iendelee JF2006 kila kizazi na nyakati zake

    Kama sio mikato yangu,na sio lazma uchangie
  2. 2019

    JamiiForums Tanzania Usilazimishe JF ya 2026 iendelee JF2006 kila kizazi na nyakati zake

    Kwani sasa ukitafutq ushauri utakosa?
  3. 2019

    JamiiForums Tanzania Usilazimishe JF ya 2026 iendelee JF2006 kila kizazi na nyakati zake

    Naona nyuzi nyingi zikikosolewa na kupuuzwa eti "JF imevamiwa,ooh watoto wa FB,mara vitoto vya 2000 hivi" hizo ndio akili za mwafrika,akili zimelala,hazitaki mabadiliko. Kwa hiyo nyie wazee au wakongwe hamtaki JF ikuwe? hamtaki iwe na kizazi kingine? Au mna maanisha nini? Facebook ya 2005 sio...
  4. 2019

    JamiiForums Tanzania FT: Argentina 3-2 Egypt | World Cup 2026 | Mercedes-Benz Stadium | 7 Julai, 2026 | 1:00 Usiku | Egypt yaaga mashindano

    Hizi game za maelekezo zinakosa mvuto sana, yan hii michuano imekuwa mibovu sana sababu ya siasa
  5. 2019

    JamiiForums Tanzania FT: Argentina 3-2 Egypt | World Cup 2026 | Mercedes-Benz Stadium | 7 Julai, 2026 | 1:00 Usiku | Egypt yaaga mashindano

    Nasikitika sana Argentina inavyobebwa wazi kabisa
  6. 2019

    JamiiForums Tanzania Irene, Kutoka kuwa "Hot Cake" hadi kuwa mzigo wenye maradhi

    Nimeipenda hii ni funzo
  7. 2019

    JamiiForums Tanzania Wanawake kwa hizi akili, Mna haki ya kupigwa matukio

    Kwako wewe ndio haiwezekani, kiasili ndio tumeumbwa hivyo wala sio mentality. Ww unaweza kufanya kazi za mwanamke kama kufua kidek, kupika, kuosha vyombo au kuandaa watoto ilihali mkeo yupo hapo? Kama mkeo yuko juu yake hautaweza tena kumsimamia.
  8. 2019

    JamiiForums Tanzania Ni lafudhi gani unaipenda katika makabila ya Tanzania?

    Wamakonde napenda sana hasa wale wa ndani
  9. 2019

    JamiiForums Tanzania Wanawake hawanaga akili wenyewe wanapoteza watu wenye malengo nao kwa upumbafu wao

    Si kweli, lakini kuwa na sura mbili kwa KE si sawa
  10. 2019

    JamiiForums Tanzania Wanawake hawanaga akili wenyewe wanapoteza watu wenye malengo nao kwa upumbafu wao

    Mimi ilipita miaka mi3, kuamini kwamba sina mpango nae, ila aliomba sana na kutuma watu tofauti kumuombea msamaha, niliblock no. zaidi ya 50,nikisikia sauti tu kwenye blacklist. Baada ya kuoa ndio akapunguza kunitafuta
Back
Top Bottom