Naona nyuzi nyingi zikikosolewa na kupuuzwa eti "JF imevamiwa,ooh watoto wa FB,mara vitoto vya 2000 hivi" hizo ndio akili za mwafrika,akili zimelala,hazitaki mabadiliko.
Kwa hiyo nyie wazee au wakongwe hamtaki JF ikuwe? hamtaki iwe na kizazi kingine? Au mna maanisha nini?
Facebook ya 2005 sio...
Kwako wewe ndio haiwezekani, kiasili ndio tumeumbwa hivyo wala sio mentality. Ww unaweza kufanya kazi za mwanamke kama kufua kidek, kupika, kuosha vyombo au kuandaa watoto ilihali mkeo yupo hapo? Kama mkeo yuko juu yake hautaweza tena kumsimamia.
Mimi ilipita miaka mi3, kuamini kwamba sina mpango nae, ila aliomba sana na kutuma watu tofauti kumuombea msamaha, niliblock no. zaidi ya 50,nikisikia sauti tu kwenye blacklist. Baada ya kuoa ndio akapunguza kunitafuta
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.