Recent content by 2019

  1. 2019

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Wameandamana kwa shinikizo tu,chuki ilipandikizwa na wazungu kama ilivyo kuwa kwa Gadaffi
  2. 2019

    Ni vigumu sana Iran kutawaliwa na US na Israel watapigana mpaka mwisho naaamini.

    Basi Iran itaendelea na utaratibu wake kama zamani
  3. 2019

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Iran maisha yalikuwa rahisi pamoja na vikwazo, maisha rahisi kuliko Tanzania
  4. 2019

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Ayatola ameharibu nini wao wana utamaduni wao,sio lazima wafate wa kimagharibi
  5. 2019

    Ni vigumu sana Iran kutawaliwa na US na Israel watapigana mpaka mwisho naaamini.

    Hainiingii akilini kuwa eti makombora na mabomu yanaweza kuibadili uongozi au mfumo wa utawala Iran. Hata mtoto mdogo atakataa, Iran inaweza kupigana vita vya muda mrefu historia inaonyesha,wana uvumilivu wana nguvu na wana bidii,kama wamevumilia vikwazo toka enzi ya Mapinduzi kwanini...
  6. 2019

    Pakistan, India wana silaha za nyuklia kwanini Iran ikatazwe?

    Kwa Kwa hiyo ukimiliki Kimya Kimya hakuna shida
  7. 2019

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    🤣🤣🤣🤣 Iran bado kashikilia bomba
  8. 2019

    Afisa wa Israel asema mashambulizi ya mabomu dhidi ya Iran yanaenda “vizuri zaidi kuliko ilivyotarajiwa”

    Bila askari wa miguu kushinda ni ngumu, wakitaka kuleta mabadiliko ya serikali wapindue iliyopo, huwezi kupindua kwa ndege tu
  9. 2019

    Pakistan, India wana silaha za nyuklia kwanini Iran ikatazwe?

    Lazma kuwe na sababu ya kiua
  10. 2019

    Pakistan, India wana silaha za nyuklia kwanini Iran ikatazwe?

    Iran anapigana kana kwamba hana cha kupoteza ila nguvu itaisha tu
  11. 2019

    Pakistan, India wana silaha za nyuklia kwanini Iran ikatazwe?

    Mkuu Kwa alichokifanya kwa mataifa jirani ni kwel angekua na nyuklia angeoiga dunia, kwanza angetaka imtii
  12. 2019

    Pakistan, India wana silaha za nyuklia kwanini Iran ikatazwe?

    Hahaha... Kwa hiyo Waajemi hawana akili ama? Boss nimekuelewa
  13. 2019

    Pakistan, India wana silaha za nyuklia kwanini Iran ikatazwe?

    Mbona dunia haina usawa? Kwanini iwe ni Iran tu na sio nchi nyingine? Kwanini Iran inapangiwa cha kufanya, kwanini sio nchi nyingine?
Back
Top Bottom