Recent content by 20 Maker

  1. 2

    Natafuta rafiki wa kike asiyekula nyama

    Wewe ndo huelewi culture za dunia zaidi ya kujua mazingira ya nyumbani kwenu. Suala la kutokula nyama ni culture/utamaduni na sio masharti
  2. 2

    Natafuta rafiki wa kike asiyekula nyama

    I believe in black man civilization, sihitaji hata huyo mtumia majani
  3. 2

    Natafuta rafiki wa kike asiyekula nyama

    Niko tofauti sana na unavyonifikiria,I believe in ancient black man civilization
  4. 2

    Natafuta rafiki wa kike asiyekula nyama

    Nasimama kama muafrika so,kuleweka zaidi asiwe mfia dini za watu weupe
  5. 2

    Natafuta rafiki wa kike asiyekula nyama

    Sifikirii kupata mla nyama ili nimbadilishe asile nyama. Wengine mnachelewa kuelewa. Wapo watu hawali nyama, ndo ninataka hao,na hataona vibaya kula mimea mpaka kufa kwa sababu ni culture amekuwa nayo,wewe unayekula nyama isikusumbue
  6. 2

    Natafuta rafiki wa kike asiyekula nyama

    Hii ni kwa wenye huo utamaduni tu, so kama hauna huo utamaduni wa kutokula nýama kaa tu pembeni
  7. 2

    Natafuta rafiki wa kike asiyekula nyama

    Nielewe, sìtafuti mtu anayekula nyama ili nije nimuachishe. Natafuta mwenye utamaduni huo Ukikosa uelewa wa tamaduni za mtu mweusi ndo utaniita bahiri.
  8. 2

    Natafuta rafiki wa kike asiyekula nyama

    Swali zuri linahitaji kuelimishwa kwa mapana sana. Hata hivyo sijaja hapa kupinga anachokiamini mtu
  9. 2

    Natafuta rafiki wa kike asiyekula nyama

    Brother don't attack me,I didn't attack you. Sipendi interaction na mtu wa tamaduni tofauti na tamaduni yangu ndo maana nimesema asiyekula nyama Kama unakula nyama pita kushoto
  10. 2

    Natafuta rafiki wa kike asiyekula nyama

    Kawauliza wao sasa, mimi sili nyama yoyote
  11. 2

    Natafuta rafiki wa kike asiyekula nyama

    Una uelewa mdogo sana wa mambo. Kutokula nyama ndo uhalisia wa maisha ya mtu mweusi
  12. 2

    Natafuta rafiki wa kike asiyekula nyama

    Kutokula nyama ni aina ya utamaduni. Vipi wewe kwa akili yako kitimoto sio nyama?
  13. 2

    Natafuta rafiki wa kike asiyekula nyama

    Niko Arusha Natafuta rafiki wa kike asiyekula nyama, asiwe mfia dini za wazungu Mimi ni mweupe maji ya kunde, umri wangu miaka 35, sijaoa wala sina mtoto Rafiki ninayemtaka Awe mweusi Awe mrefu Asiyejichumbua Asizidi miaka 28 Asiwe na mtoto Mawasiliano yangu: brightcreeper87@gmail.com
Back
Top Bottom