Sifikirii kupata mla nyama ili nimbadilishe asile nyama. Wengine mnachelewa kuelewa. Wapo watu hawali nyama, ndo ninataka hao,na hataona vibaya kula mimea mpaka kufa kwa sababu ni culture amekuwa nayo,wewe unayekula nyama isikusumbue
Nielewe, sìtafuti mtu anayekula nyama ili nije nimuachishe. Natafuta mwenye utamaduni huo
Ukikosa uelewa wa tamaduni za mtu mweusi ndo utaniita bahiri.
Brother don't attack me,I didn't attack you. Sipendi interaction na mtu wa tamaduni tofauti na tamaduni yangu ndo maana nimesema asiyekula nyama
Kama unakula nyama pita kushoto
Niko Arusha
Natafuta rafiki wa kike asiyekula nyama, asiwe mfia dini za wazungu
Mimi ni mweupe maji ya kunde, umri wangu miaka 35, sijaoa wala sina mtoto
Rafiki ninayemtaka
Awe mweusi
Awe mrefu
Asiyejichumbua
Asizidi miaka 28
Asiwe na mtoto
Mawasiliano yangu: brightcreeper87@gmail.com
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.