CCM ni chama cha wazeee ndio maana hawezi kubadilika wala kukubali mabadiliko They are CONSERVATIVES. Hata kama kunavijana huko CCM basi watakuwa WALOPOKAJI na wachumia tumbo.
CHADEMA, CUF, NCCR, ni vyama venye mchanganyiko wa vijana, watu wazima, Wazee, pamoja na MAMLUKI kutoka CCM. Ni ndoto...