Kura yangu ni kwa Lowassa. Period!
Kwanza sihitaji hata kusikiliza Sera, nimeshafanya maamuzi! Baba yangu ambae alisomeshwa na CCM anampigia kura Ngoyai, isimbuse Mimi??
Logic ya kawaida kabisa inaonyesha EL ni threat kubwa sana kwa CCM. Huyu jamaa nasikia CCM wenyewe wanamwita nguli wa siasa za bongo. It will b very interesting to watch how this yr campaign unfolds.
Bunge ni kweli an independent organ lakini unafahamu majukumu yake ?? Kama unashindwa kutofautisha majukumu ya bunge na mahakam then u have the big problem. Usipole majukumu ya judiciary!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.