Recent content by 1954

  1. 1

    Chivayo 'Mwizi wa Uchaguzi’ na ‘Kipenzi' cha wanasiasa Barani Afrika, ameshatia mkono na kwetu?

    No no sikubaliani na wewe kwa lugha yako chafu..Rais wetu ni lazima aheshimiwe...ni commander in Chief of our armed Forces na Head of State...ni lazima Rais wetu aheshimiwe...wa kulaumu hapa ni watu wa protocol. Where were they hata kumfanya huyu comprador bourgeoisie a.behave hivyo? Mimi...
  2. 1

    Chivayo 'Mwizi wa Uchaguzi’ na ‘Kipenzi' cha wanasiasa Barani Afrika, ameshatia mkono na kwetu?

    Dah...ni jambo linalosikitisha kwa hakika...Ikulu ni mahali 'patakatifu'. Ni lazima paheshimiwe...sasa mtu anakaa anavyotaka...What is this? Watu wa protocol Wako wapi?
  3. 1

    Kasema Robo tu! Asee, sema yote - umekuwa kwa nafasi unayoaminika kuliko sisi anonymous! Na taarifa yako inasambaa zaidi

    Hiyo ni lugha ya yule mwanamke aliyeko uhamishoni Japan...tumia lugha ya heshima na staha katika kujenga hoja.
  4. 1

    Kama anayosema Polepole ni Kweli, inamaanisha tunaongozwa na serikali yenye wahalifu na haramu

    CCM kama chama Cha kisiasa Kiko safi kiitikadi...no problem about that....the only problem and which is a huge and serious problem ni kwamba chama kimetekwa na matajiri wakiwemo wale wasio na interests za maslahi ya umma Bali interests zao wenyewe binafsi... Basically CCM ni chama Cha wakulima...
  5. 1

    GE2025 Kanisa Katoliki Tanzania: Mkombozi wa Kweli wa Taifa. Leo tumefunga Novena; Tunakesha na Kuomba, kuiombea Tanzania - A Very Powerful Prayer!

    Sawa..na Mimi ndiyo kwanza nimetoka kanisani kuliombea taifa ...ratiba inaendelea usiku wote kwa makundi mbalimbali ya kikatoliki kuongoza maombi na mafundisho..kilele kesho.
  6. 1

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Sidhani kama Alaska ni mji....mji walipokutana Trump na Putin ni Anchorage ulioko huko Alaska Kwa ufafanuzi zaidi, kwa mfano, viongozi wakikutana huko Kagera huwezi kusema wamekutana katika mji wa Kagera...usahihi mji mkuu wa mkoa wa Kagera ni Bukoba.
  7. 1

    Yanga hawajapongeza ushindi wa Karia mpaka sasa - Simba na timu zingine zote wamempongeza Rais wa TFF kwa ushindi mnono

    Original news hazipo.....ila fake news ndizo hizo zilizoletwa humu
  8. 1

    Yanga SC itoe taarifa kwa umma kama matakwa yao kwa TFF yamepata ufumbuzi

    Ndugu yangu wewe bado mchanga wa mambo haya.....Tulia na usikilizie kinachoendelea....movie ndiyo kwanza imeanza..Mguto ataondoka, Kasongo naye atang'oka...Kidau naye yumo njiani...watoa hongo nao wa timu fulani waliohonga marefa na kufanya timu fulani ipore pointi 15 nao jela inawasubiri..Tulia
  9. 1

    Yanga SC itoe taarifa kwa umma kama matakwa yao kwa TFF yamepata ufumbuzi

    Hujui kitu...subiri movie inakoishia...
Back
Top Bottom