mheshimiwa Kafulila kamilisheni basi za huku mikoani kwanza,mfano Kigoma Katavi,Kigoma Tabora na Kigoma Kagera.
Kwann mnapenda fantasies sana,miradi ambayo mnaifikiria ni mizuri lakini kamilisheni ya misingi kwanza!
unakielewa unachozungumza kweli!!?😅😅
Kwenye thread yako umesema hivi:-'Ila tundu lisu anavyotengeza hoja toka nianze kumjua kwa hili anavyozungumzia muungano juu ya Wamasai amepuyanga kishenzi'!!
Hizo hoja zilizopuyangwa unaweza kuziweka hapa ili tuuone huo mpuyango😄
Nimekwambia wenzio...
Watanzania wana tunaLEVEL ndogo sana ya kufikiri!Kaka nnauhakiaka hujatoka nje ya mipaka ya Tanzania!!!Maana nnauhakika hata kama huna elimu basi kutembelea walau nchi moja au mbili zinazotuzunguka ungetanua wigo wa uelewa wako!Umeandika op
Ndugu umejitahidi sana kuandika maelezo mareefu sana😅.Mimi nataka nikukumbushe tu maneno aliyosema waziri mkuu mstaafu Jaji Sinde J Warioba alipoulizwa kuhusu uwezekano wa Lissu kuwa Rais.Warioba alisema Lissu akiwa Rais itabidi watamzania wajifunze kuishi kwa kufuata sheria na kuzijua sheria...
Hakuna manafiki kama hayo sijui tunawaita 'Partners' why they don't expose these African leaders ambao wanaiba hela na kuweka kwenye mabenki yao huko ughaibuni!!!!!
Wanatoa misaada kila kukicha na huku wanajua hela zinarudi kwenye mabenki yao hukohuko nje!!!!
Yaan inakasirisha sana
Nilimuona Mheshimiwa Rais na nyuma yake aliketi Mwigulu.Hotuba ya Mseveni ilisheheni vilivyo na ilikuwa na mafunzo makubwa kwa wachumi wetu.Natamani maneno ya Mseveni yalimuingia vilivyo Mwigulu na alielewa ili angalau anaweza fanya kitu!
Kuwa Zitto alitaka madaraka kinyume na katiba ya CHADEMA!Swali ni je alifanya mapinduzi?Je aliruhusiwa kugombea in a democratic way au alifanyiwa zengwe before uchaguzi.Kama alikuwa na makandokando why the top walimuogopa kushindanishwa nae!Hahahaa
Shida moja ya CHADEMA ni kujitahidi kujibu aibu kuna wakati kukaa kimya kunafaida kubwa hata kama kilichosemwa kinaukweli huwa ukweli ule unafifishwa na ukimya.
Hakuna asiyetaka mabadiliko lakini uzuzu huu wa kutetea hata kinachoonekana wazi ndio unaifanya CHADEMA inakuwa mbadala kwakuwa...
Ni hivi Wazanzibar na hata wabara waelewe KATU hatutaiachia Zanzibar,never.Unapokuwa umepakana na nchi kubwa ni lazima ufichwe vilivyo kwa ajili ya usalama wa nchi hyo,Zanzibar tutaishikilia vilivyo kwa ajili ya usalama wa Tanzania bara.
Kitendo cha Urusi kuipa uhuru na kuiachia kabisa UKRAINE...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.