Recent content by 1120ulimwengu

  1. 1

    Kafulila: Tanzania kwa mara ya kwanza tunajenga barabara za kisiasa za kulipia 150km kutoka Kibaha Pwani-Morogoro bila Fedha ya Serikali

    mheshimiwa Kafulila kamilisheni basi za huku mikoani kwanza,mfano Kigoma Katavi,Kigoma Tabora na Kigoma Kagera. Kwann mnapenda fantasies sana,miradi ambayo mnaifikiria ni mizuri lakini kamilisheni ya misingi kwanza!
  2. 1

    Tundu Lissu: Makazi ya Wamasai wa Sanya Station karibu na Airport ya KIA yamevunjwa, eneo lao imepewa Kampuni ya Oman Airports

    unakielewa unachozungumza kweli!!?😅😅 Kwenye thread yako umesema hivi:-'Ila tundu lisu anavyotengeza hoja toka nianze kumjua kwa hili anavyozungumzia muungano juu ya Wamasai amepuyanga kishenzi'!! Hizo hoja zilizopuyangwa unaweza kuziweka hapa ili tuuone huo mpuyango😄 Nimekwambia wenzio...
  3. 1

    Tundu Lissu: Makazi ya Wamasai wa Sanya Station karibu na Airport ya KIA yamevunjwa, eneo lao imepewa Kampuni ya Oman Airports

    huwez kumuelewa wew,watu mpaka wanajikusanya Dodoma kujaribu kupangua hoja unadhan ni mchezo ati!!!
  4. 1

    Tundu Lissu: Makazi ya Wamasai wa Sanya Station karibu na Airport ya KIA yamevunjwa, eneo lao imepewa Kampuni ya Oman Airports

    Watanzania wana tunaLEVEL ndogo sana ya kufikiri!Kaka nnauhakiaka hujatoka nje ya mipaka ya Tanzania!!!Maana nnauhakika hata kama huna elimu basi kutembelea walau nchi moja au mbili zinazotuzunguka ungetanua wigo wa uelewa wako!Umeandika op
  5. 1

    Tundu Lissu ni mpotoshaji tangu zamani, akikuambia leo ni Jumapili jaribu pia kuangalia vizuri kalenda yako

    hahahahaaaa maendeleo bila sheria,bila discipline!!! Unachekesha sana sheikh!We wa wap au kizimkazi yakhe!?
  6. 1

    Tundu Lissu ni mpotoshaji tangu zamani, akikuambia leo ni Jumapili jaribu pia kuangalia vizuri kalenda yako

    Ndugu umejitahidi sana kuandika maelezo mareefu sana😅.Mimi nataka nikukumbushe tu maneno aliyosema waziri mkuu mstaafu Jaji Sinde J Warioba alipoulizwa kuhusu uwezekano wa Lissu kuwa Rais.Warioba alisema Lissu akiwa Rais itabidi watamzania wajifunze kuishi kwa kufuata sheria na kuzijua sheria...
  7. 1

    Maneno ya Hekima ya Maendeleo kutoka kwa Rais Museven wa Uganda yafaa kutekelezwa Tanzania

    Hakuna manafiki kama hayo sijui tunawaita 'Partners' why they don't expose these African leaders ambao wanaiba hela na kuweka kwenye mabenki yao huko ughaibuni!!!!! Wanatoa misaada kila kukicha na huku wanajua hela zinarudi kwenye mabenki yao hukohuko nje!!!! Yaan inakasirisha sana
  8. 1

    Rais Samia alihudhuria mkutano muhimu wa IDA taasisi ya Benki ya Dunia uliohudhiriwa na Wakuu wa nchi 17 za Africa nchini Kenya

    Nilimuona Mheshimiwa Rais na nyuma yake aliketi Mwigulu.Hotuba ya Mseveni ilisheheni vilivyo na ilikuwa na mafunzo makubwa kwa wachumi wetu.Natamani maneno ya Mseveni yalimuingia vilivyo Mwigulu na alielewa ili angalau anaweza fanya kitu!
  9. 1

    Afande Sele awachana CHADEMA

    CHILDREN AND FOOLS tell the TRUTH. 😅😅😅😅😅
  10. 1

    Zitto Kabwe Katiba ya Chadema haina Ibara ya watu kukubaliana kugawana madaraka ya Chama kama karanga, kama ipo tuonyeshe

    Kuwa Zitto alitaka madaraka kinyume na katiba ya CHADEMA!Swali ni je alifanya mapinduzi?Je aliruhusiwa kugombea in a democratic way au alifanyiwa zengwe before uchaguzi.Kama alikuwa na makandokando why the top walimuogopa kushindanishwa nae!Hahahaa
  11. 1

    Zitto Kabwe Katiba ya Chadema haina Ibara ya watu kukubaliana kugawana madaraka ya Chama kama karanga, kama ipo tuonyeshe

    Shida moja ya CHADEMA ni kujitahidi kujibu aibu kuna wakati kukaa kimya kunafaida kubwa hata kama kilichosemwa kinaukweli huwa ukweli ule unafifishwa na ukimya. Hakuna asiyetaka mabadiliko lakini uzuzu huu wa kutetea hata kinachoonekana wazi ndio unaifanya CHADEMA inakuwa mbadala kwakuwa...
  12. 1

    Mbunge Mohamed Issa: Ajira za Wazanzibar zimechukuliwa na Wageni

    Ni hivi Wazanzibar na hata wabara waelewe KATU hatutaiachia Zanzibar,never.Unapokuwa umepakana na nchi kubwa ni lazima ufichwe vilivyo kwa ajili ya usalama wa nchi hyo,Zanzibar tutaishikilia vilivyo kwa ajili ya usalama wa Tanzania bara. Kitendo cha Urusi kuipa uhuru na kuiachia kabisa UKRAINE...
  13. 1

    Kukamatwa kwa Malisa na Boniface Jacob kutatoa fursa ya kuujua ukweli maana Magufuli alisingiziwa mengi na wapinzani wake

    hv Muliro huwa anatazama nn mbele yake kiasi kwamba mara kwa mara huwa anaZOOM 80000K!Pupili yote huwa anaitoa🤣🤣🤣🤣
Back
Top Bottom