Jibu mujarabu kabisa,ok fine.Sasa Rostam sisi maLAYMAN tunaomba utujibu ile hoja kwamba mgodi wa makaa ya mawe wenye utajili wa matrilioni ya hela uliununua kwa bei gani,je mchakato ulikuaje?Ukitujibu hilo sisi kimyaa
Better be careful of what they desire!Mexico haiwez kufurukuta kwapani mwa US kama ilivyo kwa UKRAINE kwapani mwa Urusi.Unapokuwa embedded na dola kubwa hata ukipewa mamlaka kamili(Taiwan/Hongkong in Chine as an e.g) huwez kuya'exercise utakavyo.So better wawe tu makini na matamanio hayo
Unaweza usipate picha halisi ya jinsi wazee wetu walivyowapokea wakoloni/wafanyabishara wa utumwa nk mnamo karne iliyopita lakini HII picha inakupa mwangaza kabisa.Picha linakuonyesha namna mwafrika/mtu mweusi akinyimwa elimu anavyoBEHAVE🤣
I thought you had guts but You don't.You are just threating people to be killed because of their opinions but you haven't killed even a hen.I challenged you for a hand to hand combat and you start shit..@yourself🤣🤣🤣🤣🤣
wow natamani tukutane uso kwa uso with no any equipment,I real admire people who want 'smoke'!! I real want it.Yeah man 'hand to hand combat' will be nice.Many of you are not real men you are just piece of sh**t just mnabebwa..
umeandika mengi lakin hakuna sehemu hata moja ulipoonesha sheria inayoweza kumtia hatiani na wala hujaonesha popote Lissu aliposema au kuonesha anataka sympathy!Umebwabwaja weeh mpaka ulipomaliza unapapasa tu,labda uko vizur kwenye kuropoka.Next time njoo na facts no one is here to defend Lissu...
Ndugai ndio spika aliyeruhusu kupitishwa kwa miswaada ya hovyo bungeni.Ndiye alipelekea kupitisha sheria mbovu ya usalama wa Taifa inayowaruhusu maafisa wa Usalama wa Taifa kuwa JESHI(usishangae hao wasiojulikana wametokana na sheria hii).Ndugai alipitisha sheria ya hovyo wakiwa na Masaju ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.