kweli kamanda hawa jama wanatudharilisha sana cc sana hapa ndio nakumbuka ule msafara wa mamba, ndio maana wengine wasomi lkn hawajaelimika; tuwasamehe.
magamba hamjielewi kweli cku ya leo nimesikia watu wanasema pesa tukipewa na ccm tunachukuwa 7bu ni kodi zetu ila kura hawapti hata mimi npo tayar kupokea money but kura ni ndoto 2015.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.