Mtu akamatwa kwa kesi ya gongo hukumu ilikuwa kama ifuatavyo.
Jaji: Nakuhukumu kwa kosa la kuuza gongo
Mtuhumiwa: Me siuz gongo mnanionane 2
Jaji: Si tumekukamata na kifaa cha kutengenezea gongo
Mtuhumiwa: Dah sasa si mmenikuta na mashine 2 lakini siuzi
Jaji: Hata kama
Mthumiwa: Basi nikamateni...
Sehem:03
Haikua taarfa nzur kwa gaby kusikia kua hatoweza kutembea tena alihisi labda maisha yake ndo yameishia pale.Mama yake alimpa moyo kua pale sio mwisho wa maisha na mungu yupo ana imani ipo Sikh atapona na atatembea kama kawaida.Hans alijisikia vibaya na kujilaumu kwanin hakua makin wakat...
Sehem:02
Haikua kitu rahisi kwa mama yake Gaby kukubal kua mtoto wake ndo amekua mlemavu wa kudumu.Maureen aliingia kwa daktar ili kujua nn kimetokea lakn daktar alimwambia kama alivyomjibu mama yake Maureen aliumia kusikia kua dada yake hatokua na uwezo wa kutembea tena.
Walitoka chumba cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.