Recent content by 0713417189

  1. 0713417189

    JamiiForums Tanzania Nimeshindwa kuishi kwa makosa yangu mwenyewe

    NIMESHINDWA KUISHI KWA MAKOSA YANGU MWENYEWE.....05 Lovi Pius Kijogoo 0757 238 304 ( WHATSAAP ) SEHEMU YA TANO..... Ilipoishia sehemu ya nne... NYEGINA ndicho kijiji alichozaliwa Manyama na hapo ameweka makazi yake rasmi. Ni kijiji maarufu sana, hasa kwa Wakristo wa jimbo la Musoma Mjini...
  2. 0713417189

    JamiiForums Tanzania Nimeshindwa kuishi kwa makosa yangu mwenyewe

    Umeona eeeh... Then kipind najoin Sikujua ka namba ndo itasimama hapo
  3. 0713417189

    JamiiForums Tanzania Nimeshindwa kuishi kwa makosa yangu mwenyewe

    NIMESHINDWA KUISHI KWA MAKOSA YANGU MWENYEWE.....04 Lovi Pius Kijogoo 0757 238 304 ( WHATSAAP ) SEHEMU YA NNE..... Ilipoishia sehemu ya tatu... Ilikuwa ni saa mbili na nusu za usiku. Walimaliza kula chakula. Juma hili walau Mzee Makunja afya iliimarika, aliweza kuzungumza na kusimama pia...
  4. 0713417189

    JamiiForums Tanzania Nimeshindwa kuishi kwa makosa yangu mwenyewe

    NIMESHINDWA KUISHI KWA MAKOSA YANGU MWENYEWE.....03 Lovi Pius Kijogoo 0757 238 304 ( WHATSAAP ) SEHEMU YA TATU..... Ilipoishia sehemu ya pili... Alizungumza pekee mkewe Mzee Makunja. Ni kama hali ya maisha ilimnyima usingizi. Usowe ukalipoteza tabasamu. Nguvu ya kuiacha familia na kwenda...
  5. 0713417189

    JamiiForums Tanzania Nimeshindwa kuishi kwa makosa yangu mwenyewe

    NIMESHINDWA KUISHI KWA MAKOSA YANGU MWENYEWE.....02 Lovi Pius Kijogoo 0757 238 304 ( WHATSAAP ) SEHEMU YA PILI..... Ilipoishia sehemu ya kwanza... Machumu kabla ya umauti kumfika. Aliamua kuwa boda boda wa pikipiki. Alikuwa anapaki hapo kwa saa nane katika soko la Nyakato. Pesa ya kula na...
  6. 0713417189

    JamiiForums Tanzania Nimeshindwa kuishi kwa makosa yangu mwenyewe

    Kawaida.....
  7. 0713417189

    JamiiForums Tanzania Nimeshindwa kuishi kwa makosa yangu mwenyewe

    Nimerejea....
  8. 0713417189

    JamiiForums Tanzania Nimeshindwa kuishi kwa makosa yangu mwenyewe

    NIMESHINDWA KUISHI KWA MAKOSA YANGU MWENYEWE. Lovi Pius Kijogoo 0757 238 304 ( WHATSAAP ) SEHEMU YA KWANZA. NYAKATO KWA SAA NANE SOKONI. "Karibu dagaa safi kabisa. Nguo unapata kwa shilingi elfu moja tu, ni sawa na bure. Kula madagele ya leo leo ukichelewa hupati kitu" Hizo zilikuwa ni sauti...
  9. 0713417189

    JamiiForums Tanzania Simulizi: Malkia wa kuzimu-01

    EMMY...... 05 Lovi Pius Kijogoo. 0757 238 304. SEHEMU YA TANO. ILIPOISHIA......... Mage alimfata Emmy na kumwambia, "Tufanye tuondoke, muda umekwenda, kwani kaenda wapi huyo mzee?" "Kaenda msalani, ngoja arudi tua..!" Kabla hata hajamaliza kuzungumza, mzee Don alirejea, wakamwambia...
  10. 0713417189

    JamiiForums Tanzania Simulizi: Malkia wa kuzimu-01

    EMMY..... 04 Lovi Pius Kijogoo. 0757 238 304. SEHEMU YA NNE. ILIPOISHIA.... Simu ya Peter iliita, kutazama ni mamake akapokea. Bila hata ya salamu, Ma Peter alizungumza kwa uchungu sana. "Mwanangu Peter, Babako kadondoka bafuni, tusaidie laki tatu na elfu tano. Tuweze kutoa laki tatu...
  11. 0713417189

    JamiiForums Tanzania Simulizi: Malkia wa kuzimu-01

    Karibu sana..
  12. 0713417189

    JamiiForums Tanzania Simulizi: Malkia wa kuzimu-01

    Karibu
  13. 0713417189

    JamiiForums Tanzania Simulizi: Malkia wa kuzimu-01

    EMMY.....02 Lovi Pius Kijogoo 0757 238 304. SEHEMU YA PILI. ILIPOISHIA......... Usiku ulizidi kuwa mchungu kwa Peter, kila alipojigeuza vicheko kutoka kwa wadada wale vilizidi kujirudia masikioni mwake. Ni adhabu inayopenya na kuacha maumivu mtimani. "Dunia ikiamua kukuelemea inafanya...
  14. 0713417189

    JamiiForums Tanzania Simulizi: Malkia wa kuzimu-01

    EMMY........01 Lovi Pius kijogoo 0757 238 304. Miale ya jua ilikuwa ni mikali, wenye kujipepea kwa kutumia viganja vyao walifanya hivyo. Jasho zikawachuruzika kila kona ya miili yao. Wapo waliosonya na kugomba kimoyomoyo sababu ya michirizi ya jasho iliyochafua nguo zao. Ndivyo hali...
  15. 0713417189

    JamiiForums Tanzania Ntagambi.....29

    Kabisa yaan...
Back
Top Bottom