Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kichwa cha habari kimejitosheleza kiwanja kina hati kabsaa hakina dalali me ndio muhusika... Phone: 0712183658 Mita 200 toka barabara ya lami ya goba mtaa barabara ya mwishekhe
7 Reactions
29 Replies
1K Views
Salute bosses!! Awali ya yote nitakua mnafiki sana kama sitatanguliza shukrani zangu za dhati kwa Jamii Forums. Bila ya hii platform (JF) tusingeweza kupata kushare taarifa kuhusu hii fursa ya...
121 Reactions
2K Replies
233K Views
HOUSE FOR SALE: LOCATION: BAHARI BEACH SQM: 1,200 Nyumba Ina vyumba vinne PRICE: 450 Million negotiable. Hati ipo. Hii unfinished house ina Sitting room: 1 Modern windows, ✅ Kitchen...
0 Reactions
1 Replies
527 Views
sold
3 Reactions
16 Replies
761 Views
Kiwanja kizuri Sana kiko kwenye makazi yaliyopangwa yakapangika, very good neighbourhood. Sifa za kiwanja. Marefu ni meta 35 Mapana ni meta 35. Unaweza ukakiita nuhu hela. Kiko Boko Basihaya...
4 Reactions
7 Replies
463 Views
Anonymous
Habari wanajamii . Naomba kutoa taarifa na kuomba msaada kwa yeyote atakaye liona gari husika anitaarifu. Gari Hilo limeibiwa jijini Mbeya na fundi makenika aitwaye Ibrahim Mwakyusa. Ameiba gari...
3 Reactions
23 Replies
1K Views
Habari wakuu, nauza PAGALE nyumba ambayo haijamaliziwa imeishia kozi tatu baada ya rinta iko tayari kwa ajili ya kuezeka. Location:bangulo kata ya pugu, kilometa chache kutoka gongo la mboto au...
2 Reactions
13 Replies
764 Views
Plot No. 2248 and 2249 Mahali: Salasala-Mkonde Road. Ukubwa wa eneo: 1,010 SQM. 4.2 Kms kutoka Bagamoyo Road. Bei: Tsh. 100M Mazungumzo yapo. Contact: 0684390391
2 Reactions
4 Replies
332 Views
🧊 Friji zuri - Tsh 120,000 🔥 Mtungi wa gesi (full) + jiko lake - Tsh 120,000 Viko katika hali nzuri kabisa. 📞 Wasiliana nami kwa maelezo zaidi: 0685063688 📍 Mahali: [Tegeta] Karibuni sana.
1 Reactions
3 Replies
393 Views
UNAONA UNAVYOHANGAIKA KUNUNUA BANDO KILA SIKU? WI-FI ROUTER ZA TIGO NDO KITU PEKEEE KINGEKUSAIDIA Kua na wi-fi router kuna faida nyingi sana, kama unajiweza kidogo, jitahidi usikose kifaa hiki...
0 Reactions
5 Replies
841 Views
Eneo linaukubwa wa 33,260sqm. Eneo lina hati ya mradi wa shule/taasisi. Kuna majengo ya madarasa ma4 na ofisi 4 na nyumba ya vyumba vitatu Eneo lipo mtaa wa pinda, dodoma mjini Bei ni tsh 250m...
3 Reactions
15 Replies
985 Views
Attention to Property Owners! On behalf of our client, we are looking for an Industrial Plot with following criterias: The use of the plot area should be industrial. Location: Kigamboni Kisarawe...
1 Reactions
3 Replies
290 Views
TOYOTA HARRIER-ANACONDA Mwaka 2015 Engine 1980cc Rangi Pearl White Mileage 95,000km Bei 65m 📌Leather Seats 📌Winker Mirrors 📌Sunroof 📌Auto Boot ☎+255626682228
1 Reactions
6 Replies
534 Views
Plot Available For Sale. Location: Chamazi, Mbagala area. Descriptions: *14km from main road (Kilwa rd) or Dar es Salaam port. *The area is fully fenced, with water and electricity within the...
1 Reactions
3 Replies
380 Views
Habari Pasipo kupoteza muda naomba niende Moja Kwa moja kwenye mada, Ukiwa wewe mfanyabiashara na unahitaji kununua mzigo Toka nje ya nchi lakini kiasi Cha pesa hakitosh au mzigo wako umekwama...
0 Reactions
3 Replies
271 Views
Mambo vp wakuu. Km unahitaji kufungua ofisi au duka na unahitaji kufanya decorations za kuweka henga shelf's na reception tables.. Karbu sana tukutengenzee.. Bei zetu hutokana na ukubwa wa duka...
3 Reactions
11 Replies
371 Views
It’s time to pay tax PAYE and SDL payment for the month of June-Deadline is on 7th July 2025 VAT payment and online returns filing for the month of June-Deadline is on 20th July 2025 Exercise...
1 Reactions
8 Replies
607 Views
Rudisha heshima na adabu nyumbani kwako. Watu waache kukaa kizembezembe Leo tunakuletea offer kabambe ya mwaka mpya Camera ni elfu 30 ukichukua anzia pc 3. PC moja ni elfu 30 Ni rahisi kutumia na...
10 Reactions
80 Replies
4K Views
Computer ya HP all in one inauzwa ina internal Storage ya SSD 2TB na EXTERNAL STORAGE ya 18TB. Computer iko very perfect nzuri inavutia Mayai classic. Screen Touch yenye ukubwa wa inch 27 RAM...
7 Reactions
168 Replies
6K Views
Shamba lipo Tanga Korogwe ni hekari 6 jumla ya miti ya mitiki ni 2100 Shamba linauzwa pamoja na miti yake kwa milioni 150 dalali ukileta mteja 10% ya kwako miti ina umri wa kuanzia miaka 9 mpaka 14
1 Reactions
5 Replies
497 Views
Back
Top Bottom