Mpapatu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 221
- 121
Habari za Muda huu ndugu zangu, natumai mu wazima wa Afya. Polen kwa majukumu ya kujenga Taifa na kujikimu kimaisha.
Ndugu zangu nina mradi wa viwanja vya kutosha maeneo ya Kiluvya karibu na Kituo cha Madukani kwa wale wenyeji. site ipo karibu na mashamba ya Mh. Sumaye. Kwa wale watakao vutiwa na kuhitaji huduma zetu yafuatayo ni maelezo madogo ya site.
Ndugu zangu nina mradi wa viwanja vya kutosha maeneo ya Kiluvya karibu na Kituo cha Madukani kwa wale wenyeji. site ipo karibu na mashamba ya Mh. Sumaye. Kwa wale watakao vutiwa na kuhitaji huduma zetu yafuatayo ni maelezo madogo ya site.
- Site iko umbali wa Kilomita 7 kutoka Barabara ya Morogoro.
- Site zote zina fikika kwa urahisi, kwa maana bara bara zimechongwa, na pia kwa sasa maji ndo yanaanza kufika na pia umeme karibia kufika.
- kwa upande wa maendeleo eneo lina kadiriwa ndani ya miaka 3 hadi 5. kutakuwa na mji mzuri na ulio pangwa.
- Viwanja vya mradi vina ukubwa tofauti kulingana na mahitaji ya muhusika. viwanja vinaanzia ukubwa wa 400 mita za mraba (400square meter) hadi 2000 mita za mraba.
- Viwanja vinauzwa kwa bei ya 7000/= kwa mita ya mraba (7000/= per meter square).
- Kwa muhitaji wa huduma zetu, atapata kiwanja cha ukubwa anaohitaji na hati yake ya kiwanja hicho. muhitaji atabakiwa na gharama moja tu ya mwanasheria kwa ajili ya kutia sahihi hiyo hati yake.