Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wadau mgomo wa usafiri umenichosha leo nimepoteza dili la mil 10,sasa natafuta mtu mwenye gari anashida anataka kuliuza mm nanunua ila iwe chini ya mil 2.5 nawakilisha kwenu ambaye yupo tayari...
2 Reactions
55 Replies
10K Views
Wadau nimetembelea miguu nimechoka kwa uwezo wangu nahitaji mwenye gari kuanzia milion 2 kurudi chini kama yupo mtu anauza nipm
0 Reactions
40 Replies
5K Views
Ninahitaj nyumba yenye chumba na sebule maeneo ya either Mbezi beach, Kawe au Msasani. Please haraka 078866506
0 Reactions
4 Replies
906 Views
*Kiwanja goba tegeta A Kiwanja kizuri kikubwa bei kitonga .. Kiwanja kipo goba tegeta A kwa madawa karibu na kanisa katoliki Ukubwa ni sqm 1196 Unaweza kujenga nyumba ya ndoto yako hapa...
0 Reactions
5 Replies
375 Views
Kiwanja hakijapimwa ila kipo surveyd, kina ukubwa wa 1500sqm+. Kipo karibu na shamba litakalo jengwa shule ya feza kigamboni. Kinataka 30ML. Zingatia kutoka barabara ya kibada mwasonga ni 450m...
0 Reactions
1 Replies
286 Views
KUAMKA KIROHO NI mchakato wa kuamka kutoka kwenye giza ( ujinga) na kutembea kwenye mwanga baada ya kufunguliwa kwa lock zilizoshikilia akili yako ili utembee kwenye Nuru. Kwenye Giza la kiroho...
1 Reactions
3 Replies
563 Views
TANGAZO LA BIASHARA Unauza Viatu au Una Dukayaani? TWIGA ni Bidhaa Unayohitaji! Tunawakaribisha wauzaji wa rejareja wenye maduka ya viatu, au maduka ya jumla kununua kwa bei rafiki bidhaa yetu...
0 Reactions
1 Replies
343 Views
Wakuu, Kuna chimbo nimelipata pana gape ya vioo vya simu kuanzia viswaswadu hadi Smartphone. Nimejaribu kusaka maduka yanayouza jumla, naona bei zimechangamka sana. Mfano kioo mafundi simu...
2 Reactions
21 Replies
2K Views
Wadau navutiwa sana na gari aina ya Honda crossroad mwenye kuijua kiundani aniambie kabla sijafanya maamuzi ya kuiagizia
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Mashine ya juice ya miwa inayotumia umeme na mafuta inauzwa Bei 850,000 WhatsApp no.0686298896 Location.dodoma
1 Reactions
0 Replies
274 Views
Nauza water heater brand ya Ariston ni kubwa na imara. Hii ilifingwa bafuni lkn sijawahi tumia kwa kutofikiwa na huduma ya maji ya dawasco nimeona niitoe niuze. Lete OFA Yako nikusikilize...
0 Reactions
11 Replies
564 Views
Nyumba ina vyumba 3 vya Kulala, Sebule dinning, jiko, Choo ndani. —Tshs 500,000/- — Maelezo zaidi 0716442950
0 Reactions
1 Replies
358 Views
UNANUNUA VITU CHINA? TUNAKUSAIDIA KUVILETA HADI BONGO HARAKA NA RAHISI – PM TRADING & LOGISTICS 🛫📦 Habari wana JF, Sasa hauhitaji kuwa mfanyabiashara mkubwa ili uweze kununua bidhaa zako kutoka...
0 Reactions
0 Replies
320 Views
• Kulingana na Kifungu cha 91(1) cha Sheria ya Kodi ya Mapato ya mwaka 2004, pamoja na kifungu cha 39 na 48 ya Sheria ya Usimamizi wa Kodi ya mwaka 2015, kila kampuni iliyosajiliwa, biashara ya...
1 Reactions
0 Replies
217 Views
Nahitaji screen ya HP elitebook 840 G5 ... Kwa yeyote anayeweza kuipata na ana nia ya kuiuza tuwasiliane kupitia PM. 🙏
2 Reactions
5 Replies
362 Views
Reference Number:24254004324 Make:AUDI Model:Q2 Body Type:SUV Year of Manufacture:2017 Country:GERMANY Fuel Type:DIESEL Engine Capacity:1001 - 1500cc Mileage 33541km Price 62M
1 Reactions
1 Replies
194 Views
Mimi ni fundi mahiri wa ujenzi. Nifundi mzoefu na mbobezi kwenye kujenga:- Nyumba za makazi (single storey na double storey house) Nyumba za biashara Ujenzi wa mabwawa na Mfumo wa kisasa wa...
6 Reactions
47 Replies
5K Views
Wadau eneo linauzwa lipo makongo mwisho njia kwenda kanisa katoliki lina ukubwa sqm 2231 lina hati ya wizara.halina shida yoyote ni tambalale na bei ya kutupa linuzwa kwa ajili ya shida tu bei ni...
1 Reactions
8 Replies
497 Views
Habari!kuna dada yangu anauza kampun Haina deni Ina usajili na haijawah kufanya kazi milion 26M. ukihitaji nitakupa mawasiliano yake.Asante.
9 Reactions
26 Replies
2K Views
🎧 Samsung USB-C Earphones – Tuned by AKG 🎧 💯 Sauti Safi, Ubora wa Hali ya Juu! ✅ Imetengenezwa kwa ushirikiano na AKG – wataalamu wa sauti duniani ✅ Sauti ya kina, bass laini na treble ang’avu ✅...
2 Reactions
6 Replies
395 Views
Back
Top Bottom