Wadau mgomo wa usafiri umenichosha leo nimepoteza dili la mil 10,sasa natafuta mtu mwenye gari anashida anataka kuliuza mm nanunua ila iwe chini ya mil 2.5 nawakilisha kwenu ambaye yupo tayari...
*Kiwanja goba tegeta A
Kiwanja kizuri kikubwa bei kitonga ..
Kiwanja kipo goba tegeta A kwa madawa karibu na kanisa katoliki
Ukubwa ni sqm 1196
Unaweza kujenga nyumba ya ndoto yako hapa...
Kiwanja hakijapimwa ila kipo surveyd, kina ukubwa wa 1500sqm+. Kipo karibu na shamba litakalo jengwa shule ya feza kigamboni. Kinataka 30ML. Zingatia kutoka barabara ya kibada mwasonga ni 450m...
KUAMKA KIROHO NI mchakato wa kuamka kutoka kwenye giza ( ujinga) na kutembea kwenye mwanga baada ya kufunguliwa kwa lock zilizoshikilia akili yako ili utembee kwenye Nuru.
Kwenye Giza la kiroho...
TANGAZO LA BIASHARA
Unauza Viatu au Una Dukayaani? TWIGA ni Bidhaa Unayohitaji!
Tunawakaribisha wauzaji wa rejareja wenye maduka ya viatu, au maduka ya jumla kununua kwa bei rafiki bidhaa yetu...
Wakuu,
Kuna chimbo nimelipata pana gape ya vioo vya simu kuanzia viswaswadu hadi Smartphone.
Nimejaribu kusaka maduka yanayouza jumla, naona bei zimechangamka sana. Mfano kioo mafundi simu...
Nauza water heater brand ya Ariston ni kubwa na imara.
Hii ilifingwa bafuni lkn sijawahi tumia kwa kutofikiwa na huduma ya maji ya dawasco nimeona niitoe niuze.
Lete OFA Yako nikusikilize...
UNANUNUA VITU CHINA? TUNAKUSAIDIA KUVILETA HADI BONGO HARAKA NA RAHISI – PM TRADING & LOGISTICS 🛫📦
Habari wana JF,
Sasa hauhitaji kuwa mfanyabiashara mkubwa ili uweze kununua bidhaa zako kutoka...
• Kulingana na Kifungu cha 91(1) cha Sheria ya Kodi ya Mapato ya mwaka 2004, pamoja na kifungu cha 39 na 48 ya Sheria ya Usimamizi wa Kodi ya mwaka 2015, kila kampuni iliyosajiliwa, biashara ya...
Mimi ni fundi mahiri wa ujenzi. Nifundi mzoefu na mbobezi kwenye kujenga:-
Nyumba za makazi (single storey na double storey house)
Nyumba za biashara
Ujenzi wa mabwawa na
Mfumo wa kisasa wa...
Wadau eneo linauzwa lipo makongo mwisho njia kwenda kanisa katoliki lina ukubwa sqm 2231 lina hati ya wizara.halina shida yoyote ni tambalale na bei ya kutupa linuzwa kwa ajili ya shida tu bei ni...
🎧 Samsung USB-C Earphones – Tuned by AKG 🎧
💯 Sauti Safi, Ubora wa Hali ya Juu!
✅ Imetengenezwa kwa ushirikiano na AKG – wataalamu wa sauti duniani
✅ Sauti ya kina, bass laini na treble ang’avu
✅...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.