Asante ndugu
Mkuu Huko wanako fuata mzigo unaweza kuagiza ila changamoto ni nyingi sanaMimi natamani sana sana kujua na hatimaye kuagiza mzigo moja Kwa moja,labda tupeane maujanja wapi hapa bongo waweza nunua hizo accessories Kwa gharama nafuu?na huko wanakojumua wenzetu kama vile Gwanzhoul hali ikoje??je namna gani waweza kutumia mtandao kama Albaba,Amazon,kuagiza mzigo na ukafika salama???????njooni njooni
Mzigo mingi hutumwa tofauti na ulivyo agizamfano wa hizo changamoto
Makava yapo aina nyingi ila ya visimu vidogo yanaanzia 800 hadi1000kwa haraka haraka bei ya makava huwa sh ngapi?
Agiza tu ila jua sehemu ya kuuzia ni kariakoo tu hapo uhakika nje ya hapo uwe na odaMi nataka kuagiza touchscreen za simu kali kali kuanzia s6-s9 hapo pamoja na za iphones! Vipi kuhusu bei zake na baei za hapa nchini!
Kava aina zipi unataka kujua mkuu?bei ya makava ya jumla huwa sh ngapi?
Garama za usafir andaa dola 2000+Tupeane Uzi jamani,nauli mpaka Gwanzhou go and return Tsh ngapi,na uwe na mtaji wa Tsh ngapi ili iweze kukulipa na TRA imekaaje?Transport cost ipoje??
Biashara ya touchscreen ni pasua kichwa.Mi nataka kuagiza touchscreen za simu kali kali kuanzia s6-s9 hapo pamoja na za iphones! Vipi kuhusu bei zake na baei za hapa nchini!
Kwa kava aina zipi hizoMkuu unaduka hapa dar?Maana KKoo wananipiga sana wananiambiaga elfu 3 kwa kava.
2,000Kama hii.View attachment 938864
Unapatikana wapi mkuu? Je una accessories zingine flash memory battery charger protector nk?Kwa kava aina zipi hizo
Dah nashukuru mkuu, vipi we upo k\koo pale!Biashara ya touchscreen ni pasua kichwa.
Vinginevyo,
Uamue tu kuifanya kama ziada ya duka