.
Imetumika na touch yake ndio inazingua. Mwenye simu anasikiliza ofa yoyote.
Pia ipo samsung s6 edge..imepasuka kioo.ni ya kuweka display mpya.hiyonaiuza 50k.
Location MWANZA
Habari za mwaka mpya wakuu
Nyumba inauzwa pugu kajiungeni
km 1 kutoka barabarani.
Ina nyumba vi3 vikubwa.
bei ni milion 45 maongezi yapo
Ni square mita 1500 yaan mita 30 kwa 50
No 0753567696
NB...
Kwa wale wote wanaohitaji kupanga Hostel karibu au jirani na maeneo ya UDSM, ARU, Chuo cha TAKWIMU mnakaribishwa. Hostel ipo Changanyikeni. Ina fensi, maji pia na umeme. Uwanja una peving na...
Kwenye uhitaji wa mzani wa kupimia wa mawe anicheki PM bei ya kuanzia ni 110k ni umetumika miezi michache tu so bado mpya kabisa ,napatikana Morogoro mjini
Wadau wawekezaji tuna eneo geza ulole kigamboni linauzwa kwa heka kwa atayehitaji awe mwekezaji au mwananchi tu wa kawaida kuna heka zaidi ya 600/karibuni sana.
Lenovo X 130 Hdd 320gb, ram 4gb, battery 3 hours, price: tzs 350,000 ya wiki hii kabla ya wikiend. Tuko Kariakoo jirani na China plaza
piga 0713039875 kuwahi ofa hii
Nina gari Aina ya Nissan vannete NZ 200.
Nataka niitoboe juu Ili niweke dirisha ambalo linaweza kutumika kuangalia nje.
Nawaza kutumia ambalo limetoka kwenye gari ambalo halitimiki.
Mfano...
Mpendwa Mwana Jamii, nimekuwa nikitanganza kazi zangu mbalimbali hususani majengo ambayo yamenakshiwa na material za kisasa mbalimbali.
Nashukuru Mimi na team yangu tumepata ushirikiano wa...
Jipatie KISIMA cha Maji kwa LAKI TANO ( nchini kote) Kutoka Asasi ya PDPR Njombe, Gharama za mradi:kuchimba laki 5, kama kitakuwa ndani ya mita 25 kila mita itakayo zidi utalipia 20,000ukihitaji...
habari wana JF, Kuna nyumba kubwa inapangishwa maeneo ya survei, ni kama dakika tatu toka mlimani City. nyumba ina vyumba vitatu vya kulala, kimoja kati ya hivyo ni master, sebule...
Wakuu habar zenu.Nahtaji vyumba viwili vya kupanga viwe katika hali nzuri na viwe katika maeneo niliyotaja.Kwa maelezo zaidi tuwasiliane kwa 0717478451 na0717465686 asanteni
Wakuu habari zenu,
Natafuta vyumba viwili vya kuishi, maeneo ya tabata, kinondoni na maeneo ya kimara.
Kwa mtu mwenye uwezo wa kunipatia anicheki inbox
Toyota Corola Dx Details
Cc: 1500
Color: White
Transmission: Manual
Engine: 3A-U
Taarifa za Ziada
Tairi: Nzima na Mpya
Body nzima ila Kuchomea sehemu chache (angalia picha)
Vioo: Vyote vizima...
Naweza kusema kwa sasa, route ya Dar-Mwanza Ally's wamedhamiria kuibinafsisha. Hizi sasa ni sifa🙌🙌.
Sioni kampuni yakuitishia ally's kwa sasa( kwa mbali labda Tanzanite na Happynation)
All in all...
Nimefika tanga mjini jana, na nina kazi kama ya mwezi mmoja au miwili hivi, natafuta chumba cha kujihifadhi kwa huo muda nitakaokuwepo.
Msaada wa kiushauri na maelekezo naomba sana.
Natanguliza...