Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nyumba Ina vyumba vitatu vya kulala na kimoja ni master, Jiko, store, dining room, sitting room,,public toilet.. Mazingira mazuri. Nyumba ipo Kigamboni Kisiwani. 0652180400
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kama unahitaji nyumba ya kupanga mkolani Mwanza hujachelewa. Ni nyumba yenye chumba kimoja cha kulala(Master) na sebule(Ipo ndani ya Geti), vyumba ni vikubwa, unalipia 120,000 kwa mwezi(kuanzia...
0 Reactions
2 Replies
849 Views
.... sold out
0 Reactions
7 Replies
979 Views
Chumba kimoja cha kulala ambacho ni master,jiko, ukumbi. Na ndan Kuna Min supermarket inajengwa . zipo nyumba Tisa sehem moja. Mazingira mazur, zinajitegemea maji na umeme. Kodi ni 200,000/= Kwa...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Nyumba inapangishwa ipo kahama buswelu manispaa ya Ilemela ipo pembezoni mwa barabara itokayo buswelu kwenda Ilalila, ina vyumba vitatu, viwili master, public toilet ya ndani na nje ,sitting room...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Chumba Choo ndani (Masta) Kodi kwa Mwezi ni Tshs 100,000 Mahali Mbezibeach Mawasiliano 0742141467
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Mahali - Bunju A Kodi - Tshs 200,000 Maelezo Zaidi - 0742141467 Chumba masta, Sebule, Jiko. Umeme luku yake, Maji ya dawasa, Fensi, Parking, Karibu Na kituo cha daladala.
0 Reactions
0 Replies
509 Views
Chumba Choo ndani ( Masta ), Sebule, Choo cha public ndani Na Jiko. Kodi kwa Mwezi ni Tshs 250,000 Mahali goba, kwa awadhi Umeme Submita yake, maji Dawasa, fensi geti, parking ipo. Maelezo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
chumba na seble ni vzuri sana gypsum board na tiles rangi mpya choo kizuri madirisha mawil mawili seblen na chumbani kina kodi ya miezi minne,alioko ndani ameamishwa kikazi anahama unatembe dk 4...
1 Reactions
0 Replies
591 Views
Chumba Choo ndani ( Masta ), Sebule Na Jiko. Kodi kwa Mwezi ni Tshs 230,000 Mahali Goba ya Karibu Na Mbezibeach Mawasiliano 074214146
1 Reactions
5 Replies
803 Views
Ipo Tabata kisiwani katikati ya Mwananchi na tabata Mawenzi 1 masters 3 bedroom Dining Sittin room Kitchen. Nb haina tiles
3 Reactions
14 Replies
1K Views
Natafuta Nyumba Ya Kupanga Dar Es salaam. VIGEZO: 1.Iwe Maeneo ya Magomeni Mapipa,Mikumi,Kanisani au Usalama 2.Nyumba Yenye Ngome(Iliyondani Ya Geti) 3.Chumba...
3 Reactions
15 Replies
2K Views
Hello Hello Dodoma Hii hapa nawaletea kwenu. FREMU Chumba cha biashara kizuri sanaaa. Kipo Dodoma mjin katkat Kina milango pande mbili Panafaa kwa Ofis ama aina yeyote ya Biashara Mfano. _nguo...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Fremu kama inavyoonekena ipo mbezi mwisho mitaa luguruni njia panda ya kanisa la KKT . Inafaa kwa biashara mbali mbali kama duka,ofisi,medical laboratory,dispensary,microfinance, nursery and...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Chumba kizuri sana ndani ya geti Bei ni 70k miezi sita Una sub meter yako umeme Ni sekunde kufika barabara ya lami Choo mna share wawili Wahi mapema dm Karibu na hotel ya moveck
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Nyumba nzuri ya kupanga yenye vyumba 2(Kimoja ni master) ,Sebule kubwa ,choo cha public kwa ndani,Jiko kubwa na veranda lenye nafasi pande zote na iko ndani ya fence inapatikana eneo la Nzuguni...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Nyumba nzuri na mpya iliyo na servant quarter inapangishwa Bunju B. Bei 2,500,000/- Simu: 0713763026
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Samahani wana JF naelekea njombe naomba msaada wa bei za nyumba za kupanga likizo karibu na hospitali ya mji wa njombe(mkoa)
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Nyumba ya vyumba 3 self contained inapangishwa Kisota-Kigamboni barabaraya Damian do Amsi. Nyumba imeungana na nyingine 3 ambazo zinatumia geti moja, kila moja ina mita yake ya luku ila maji...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mahali: Mbezibeach Tangibovu Bei: Tshs 150,000 Kwa Mwezi Malipo: Miezi 6. N.B: Malipo ya Mwezi mmoja kwa dalali ( 150000 ) Mawasiliano: 0686 648630 Chumba choo ndani na Sebule. Choo cha nje Kipo...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom