Kwa wamiliki wa vituo vya Radio wanaohitaji Live Radio streaming
Ninatoa Radio streaming service @ 128Kbps kwa Sh 100,000 tu kwa mwezi
*Radio itapatikana kwenye Tune-in, streema.com na embeded...
INAPANGISHWA NYUMBA ( APARTMENT )
Mahali: Kinondoni, Dar es Salaam
Bei: Tsh 600,000 kwa Mwezi,
Malipo: Kodi ya Miezi 6
FEATURES:
Nyumba Vyumba 2, Chumba kimoja ni Masta
Sebule.
Jiko.
Choo cha...
kwa mkulima mzalishaji wa mbegu ya vitungu vyekundu led bombey or led creole . Nahitaji debe 1 la kupima kwa ndoo.
plan yangu ni kulima ekari tatu.
Location ya shamba ni Sumbawanga vijijini...
Habari wakuu?
Niende moja kwa moja kwenye mada husika.
Nina wazo zuri sana, ambalo nimeshaliandalia PROPOSAL tayari. Wazo hili utekelezwaji wake unahitaji APP na WEBSITE vyote kwa pamoja.
Ila...
Nauza motor za umeme ni mpya kabisa toka kampuni ya maarufu sana ya vifaa vya umeme ya ABB , bei ni sh 400000 kila moja . Kwa anaehitaji piga simu 0712652110 DAR, Angalia label ya...
NAUZA floor scrubbing machine ziko mbili pamoja na pad zake , ni nzuri sana kwa wale wenye mahoteli au tenda za usafi. Bei ni sh 400000 kwa machine moja na pad 3 , Anehitaji piga simu...
Habari, wakuu. Natumai muko wazima na afya kamili. Ninapenda kuwajuza ya kwamba natoa ofa ya kutengeneza business account ya paypal na kuweza kupokea hela straight katika credit card yako au...
MSI gaming machine
Core i7 - 7th gen
RAM 16gb
HDD 1tb
SSD 256gb
Nvidia Gtx 1060(6GB Dedicated)
Used
[emoji338]0784545494
Bei 2,850,000
Tupo Karibu na Mlimani City Mall Njia ya kwenda...
Ps3 games & ps4 games installation
Pata games kali za ps3 kwa bei chee sana
Elf 5 tu
Game zote tunazo,farcry,call of duty,fifa,pes,uncharted,gta v,mortal kombat
Pia tunachip ps3 kwa elf 10000...
Kulingana na taarifa ya Mamlaka ya bima nchini (TIRA) Watoa Huduma walielekezwa kuanzia Tarehe 01.04.2021 Kutumia Stika za kielektroniki badala ya stika za kawaida zilizokuwa zikitumika awali...
Soko la mayai ya kienyeji linahitajika haraka. Bei ya jumla kuanzia Tray 10 Chini ya hapo utauziwa leja leja. Mzigo unapitaka mara moja kwa week kama upo serious njoo pm tuongee. Mzigo wa kutosha.
Mbao kutoka shambani, zinepandwa 1.1.2000 zinauzwa kuanzia shs 70,000 ziko mbao 103 size mbalimbali 9x2, na 7x2 . 0765004347 au 0622303759
Zinapatikana Mvule 103
Kiwanja Kinauzwa
Ukubwa: 800 Sqm
Eneo: MbeziBeach
Mahali: Mita 400 Kutoka barabara ya bagamoyo.
Bei: Tshs Milioni 80
Document zote zipo
Contact Us: 0716442950