Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Sokoni leo na land point tunakiwanja Mkonze ambacho kipo kalibu kabsa na huduma zote za kijamii kama maji, umeme, n.k bei na bei yake ni Milion 8 tu ukubwa wake ni SQM 1456 wasiliana nasi kwa 0753...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Umofya kwenu wadau humu ndani. Twende kwenye maada ! Ni hivi wakuu mimi nipo huku Njombe na ningependa niwashirikishe juu ya uvumi wa bei ya zao tajwa hapo juu,kuna kikundi cha watu huku...
0 Reactions
4 Replies
10K Views
Habari wana Jf. Nilikua na uhitaji wa kujua wapi naeza nunua mafuta yanayozalishwa kwa miti,majani au matunda nk. Mfano wa mafuta hayo ni ya Mafuta ya mchaichai Mafuta ya Avocado Mafuta ya...
1 Reactions
24 Replies
3K Views
Chumba masta pamoja na sebule. Ipo ndani ya fensi, Maji ya dawasa, parking ipo na ipo jirani na kituo cha dalala dakika tatu kutembea.. Inakuwa wazi tarehe 1/5/2021 Wahi Bei: Tshs 150,000/Mwezi...
1 Reactions
39 Replies
4K Views
Panasonic gh5s camera for best video quality. Uwezo Shoot 4k up to 60fps Dual native iso 400 and 1600 Support cinema 4k up 60fps Shoot 4k 10bit 4:2:2 internaly Assisting feature kamaFalse color...
0 Reactions
0 Replies
659 Views
Salaam Sana nimeanzisha bustani nzuri Sana ya maua nyumbani kwangu. Nitakuwa napost maua tofauti tofauti na Bei zake Kama unataka mengi Kuna punguzo na delivery kwa Bei nafuu Sana! NB: Kama Kuna...
2 Reactions
7 Replies
3K Views
Huduma hii inamsaidia mtoto kujifunza maada mambazo hajazielewa vizuri na wale pia wanaojiandaa na mitihani tuna package zao. Vitabu na material zote ni Bure kabisa.( softcopy)
0 Reactions
0 Replies
462 Views
Ina vyumba 3, umeme na maji yapo. Ipo ndani ya fensi. Kodi. Laki sita kwa mwezi na inalipiwa kwa mwaka mzima. Kodi ya udalali: Laki sita. Site visit, 10000. Mawasiliano...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
SONY HOME THEATER [emoji91] [emoji108]BEI 885,000/= . [emoji117]BLUETOOTH & HDMI ARC [emoji117] 1000 W [emoji91]USAFIRI BURE [emoji598][emoji598] . . LOCATION: K/KOO Jirani na Simba Sports Club...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wadau, Kwa wale wanaomiliki vituo vya radio habari hii inaweza kuwahusu kwa namna moja au nyingine! Kwa sasa kuna changamoto kubwa sana kutokana na radio nyingi sana kuanzishwa na bado...
2 Reactions
17 Replies
3K Views
Habari Waungwana! Mwenye kujua mtambo wa kusafishia picha unanunuliwa sh. ngapi na huwa unaitwaje tujuzane jamani.
0 Reactions
17 Replies
9K Views
Tuna fanya Programming ya funguo za magari zinazotumia sensor(transponder) na smart key(keyless or push to start key).kwa magari aina zote yaani TOYOTA,VW,BMW,FORD nk. Kama unahitaji funguo ya...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Mambo Ninafikiria kutengeneza sakafu ya nyumba yangu. Options zilizopo ni tiles terazzo au sakafu ya mbao. Kwa wale wenye uzoefu wa ujenzi, sakafu ipi kati ya hizo ni cheapest kujenga?
0 Reactions
34 Replies
16K Views
Wakuu Niko dar es Salaam, Naitaji Samsung note 10 Bajet ni sh laki saba cash Simu iwe kwenye hali mzuri no michubuko kabisa, Mwenye nayo ani dm
0 Reactions
1 Replies
936 Views
Kwa wale wahitaji wa makaburi ya marbo na design Aina zote kindly inbox
3 Reactions
18 Replies
15K Views
Msaada wenu muhimu Nimejichanga vimilioni hivyo nahitaji hiyo gari rangi nyeusi. Nipe jina la dalali maarufu atakayenipa gari iliyokaza bodi hadi miguu kwa bajeti yangu hiyo Au kama yupo hapa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Sifa za kiwanja 20*20m Kina msingi wa kisasa Vyumba vitatu, kimoja master, sitting, dinning na jiko Kinafikika kwa gari Umeme na maji vipo karibu Mazungumzo mengine yapo
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…