Habari wana jamii forum.
Ninauza Honda CRV RD5 ya 2003 .
Taarifa zaidi ya gari ni kama ifuatavyo;
Body: SUV 5doors
Engine: K24 i-VTEC, 4 cylinder, 2000C
Transmission: Automatic 5-gear, 4WD...
we # RUNGWE TRADING CO LTD. deals with clearing and freight forwading across international boundaries. we gives you the delivery satisfaction you have been missing. we # locate at mnazi mmoja...
Habari, nauza gari lipo katika hali nzuri sana na huwa safari zake ni nyumbani to kazini tu ni
Toyota Mark 11 GX 110
2003 model
1988cc
T 222 AKD
Price 7. 5 mil
Karibuni sana
Cont 0717246284
Nunua Mitsubishi katika hali nzuri kabisa.
*Mitsubishi Pajero #station_wagon
*Ni ghari ngumu ya barabara ya kiafrika
*imelipiwa leseni pamoja na Insurance
*ina Engine ukubwa wa cc 1990...
Nauza gari mziki mnene, Full AC, Rim Sports T653ASD, Corolla One Eleven XE 11o Limited.
Bei ni 3mil. Ipo katika hali nzuri. Inapatikana Kinyerezi, Dsm.
Kwa wanaohitaji: Nipigie 0716 866 241...
Bei: Mil 35
Ina hali nzuri
Engine: vvt-i
2392cc
Mileage: 32400 km
Imetengenezwa: 2010
Mazungumzo yanaruhusiwa kama una nia
Mawasiliano: 0652 859530
Karibu
habari,
Rejea kichwa cha habari hapo juu...
Budget kwa vits iliyosimama ni 5 mil
Budget kwa swift iliyosimama ni 4.5 mil
whatsapp pictures kwa 0712 507060, nipo Dar
karibuni
Ni basi la abiria au kwa kubebea wanafunzi.lina hali nzuri Sana liko hapa Mwanza njoo Leo ujipatie kwa bei ya Tshs. 25 milioni Tu.
Anaehitaji tuwasiliane kwa Namba 0742159555
MSAADA WANA JF...NINA SHIDA NA ZILE MASHINE ZA JUX BOX NA MASHINE ZA KUCHEZESHEA MICHEZO YA KUBAHATISHA MWENYE KUNISAIDIA TAFADHARI MAENEO ZINAPOPATIKANA
Wakuu,
Ninauza Coaster Bus safi inafanya kazi ya daladala kati ya Temeke na Muhimbili. Gari ipo vizuri kama inavyoonekana katika picha na ipo barabarani inaendelea na kazi. Bei ni Mil. 13...
Hbr zenu wananchi wa JF, natumaini kwa uweza wake Maulana hatujambo.
Kama bango linavyojieleza, nauza gari aina ya Toyota Starlet.
Imelipiwa vibali vyote na ipo kwenye hali nzuri kabisa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.