husika na kichwa cha habari hapo juu,nipo DSM,nahitaji mfanya biashara niwe namletea nguo za watoto za mitumba grade one kwa bei ya jumla,pia nahitaji mfanya biaashara hata mwenye shule,nimletee...
TRUCK INA SIFA ZIFUATAZO
Mwaka wa kutengenezwa 2001
Aina ya Injini 4D33
Uwezo wa Injini 4,210cc
Mileage 224,210 Km
Uwezo wa gari Tani 2
Manual transmission
Nyeupe
Spring juu
ACCESSORIES
AC, Power...
Nyumba inauzwa Goba njia nne ipo vizur sana bei yake ni milion 50 maongezi yapo kwa mwenye uhitaji wa hiyo nyumba haina migogoro wala mivutano inauzwa kwa sababu ya shida binafsi urefu ni 35 upana...
Habari. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Nataka kujua wanapotoa huduma hii Dodoma. Kwa yeyote mwenye ufahamu juu ya hili anisaidie tafadhali
Natanguliza shukran zangu
Hello nauza nguo za watoto za mtumba grade A za kike na za kiume kuanzia mtoto mchanga hadi wa miaka 4 kwa bei nzuri,
Pia nauza novels za wakubwa na watoto kwa bei ya tsh 3000 kwa novel 1(3000@1)...
TATIZO LA GPS KUISHA MUDA (GPS EXPIRE)
Je kifaa cha GPS ambacho unatumia kinakwambia GPS expire?
Je umeshindwa kulipia platform online unayotumia kwa ajili ya GPS yako
Je una kifaa cha GPS...
Corolla Manual ipo Ukonga mazizin
full AC
Gari imekaza Sana
cc 1490
Bei poa sana Mil 2.8 fixed.
pga Sim 0683011003
Njoo ukague gari na fundi wako hakuna picha zaidi ya hizi
Kiwanja kina hati kabisa kinauzwa Mabwepande, kina ukubwa sqm 447.Kinapatikana Mabwepande Bar mpya,kinafaa kwa ajili ya biashara au makazi sababu kipo barabarani.
Bei yake ni 11,000,000...
Wajasiriamali wengi wamekuwa wakihangaika kutafuta mashine/Vifaa kwa ajili ya kurahishisha uzalishaji, kuongeza thamani ya bidhaa zao na kuboresha shughuli za biashara zao kwa ujumla.
Vifaa vingi...
Habari,
Nauza Mashine mpya kabisa,ya kisasa kwa ajili ya kutengenezea juice ya miwa
Inachuja yenyewe
Inaweza kusaga mpaka miwa 300 kwa saa 1
750W
Inawarranty ya mwaka mzima
1,100,000/ only...
Je, unajua hakuna sabuni nzuri katika mwili kama sabuni za mawingu? Najua utauliza kivipi je unafahamu sabuni ya magadi haina expire date za sabuni zingine ?
Uzuri wake unaanzia hapo Ogopa sana...
Viwanja vunauzwa Kigamboni Vikunai, vinatazamana na maghorofa ya NSSF.
Viwanja vina ukubwa wa mita 27*22
Price = million 5
Cont 0718 606739
0685 752509
Kwenda kuona viwanja site ni buree
Kichwa cha habari kinajieleza.
Nahitaji msaada huo kwa mtu mwenye uwezo wa kuandika bussiness plan pamoja na hesabu kwa ajili ya kuombea mkopo anitafute. Nitumie ujumbe kwa namba 0713664912 au...
Ni ng'ombe chotara wenye umri wa mwaka1 jike na dume, jike yupo tayari kwa kupandishwa ili ashike mimba, hawana wagonjwa, nawauza wote hawa kwa sh 1,500,000. Wanapatikana pugu kajiungeni, dar piga...
Used Simtanks mbili za Lita 5000 Kila mmoja yanauzwa Magomeni Mikumi. Kila mmoja linauzwa kwa 250,000. Kwa mawasiliano Zaidi piga namba 0687320462 au 0693890769.