Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Simu ipo katika good conditions na inapatikana kwa Sh.80K tu... specifications zake ni kama ifuatavyo:- ✓Ram ya 2Gb ✓Internal storage ya 8Gb ✓Camera ya selfie 5 Megapixels, 8 Megapixels ✓Battery...
0 Reactions
1 Replies
741 Views
Hii Airpod Inakaa na chaji siku 7 mpaka siku 10 Powerbank yake inanguvu yaani unaweza kuchajia mpk simu(2000 mah) Ina mdundo balaa na nusu full base Ni touch Bei ni elfu 60(60,000 tshs)...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari, Kwa yeyote anaehitaji/ unamfahamu anahitaji huduma ya kujifunza au kutengeneza Profesisional Business Pieces(Documents), CV-Curriculum Vitae, Proposal, Presentation & huduma za Digital...
0 Reactions
0 Replies
970 Views
Nahitaji Apartment Mwanza maeneo isamilo, Capri point, Ghana, Bwiru..maeneo karbu na mji Iwe na wifi, ulinzi wa kutosha, TV vyumba vitatu au viwili Ni sawa ,jiko nakaa siku 7 tu.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Ramani za kisasa za nyumba, finishing(rangi &gypsum ceiling) , furnitures za aina zote( kitchen cabnet, vitanda, milango, frem za milango meza ). Wasiliana nasi. 0689887556
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wakuu, Naomba mwenye kufahamu anisaidie ni wapi/Chimbo naweza pata jeans hizi au aina zinazoendana na hizi kwa bei ya JUMLA
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Bei mil 10.5 Engine 1AZ engine volume: cc 1900 Full AC Full kipupwe kms run 97,000 hakuna tatizo lolote ndugu mteja Document zipo originale text/call 0625750755 Gari ipo Dsm inakusubiri wewe
0 Reactions
0 Replies
667 Views
Ninauza kiwanja changu kipo Mapinga, umbali wa km 3.5 kutoka Mbweni mwisho na 2.5km kutoka kambi ya jeshi la anga. ukubwa ni sqm 617. Eneo limekuwa surveyed na nina document halali za umiliki...
4 Reactions
17 Replies
2K Views
Kiwanja kipo sehemu nzuri Kibaha - Kiluvya huduma zote zipo Maji, umeme bei ni 4,800,000/= maelewano yapo kwa ukubwa 20/20 mawasiliano zaidi 0717610089
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Natafuta gari ndogo aina ya nissan iwe patrol au safari, ikiwa short chassis yenye muonekano mzuri itakuwa vizuri zaidi; iwe inatembea, rangi ikiwa nyeusi/kijivu ni bora zaidi na iwe imepanda juu...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
​Natanguliza heshima kwenu wakuu. Natengeneza Business Cards kama sample zinavyoonekana kwenye picha hapa chini. Kuna aina nyingi sana hapa nimeweka mifano tu. (Vilevile ni pamoja na...
0 Reactions
11 Replies
13K Views
Wakuu nahitaji gari tajwa hapo juu,aliyenayo anicheki pm tumalize biashara.
1 Reactions
18 Replies
3K Views
Tunauza feni za kuchage pia zinatumia umeme Zina redio USB bloototh ziko vr kwa matumizi ya yumbani na oficn zinakaa masaa6 bila kutumia umeme unaweza kuichage tupo kariakor mtaa wa msimbaz kwa...
3 Reactions
17 Replies
2K Views
Eneo la ekari moja linauzwa Kerege Wilaya ya Bagamoyo Eneo ni tambarare na lipo 2.5 km kutoka barabara kuu ya Bagamoyo Limezunguushiwa fence ya seng'enge Bei 35milion(maongezi yapo)
5 Reactions
30 Replies
3K Views
Habari wakuu nauza fridge kubwa ya hisense imefanya kazi miezi miwili tu bado iko kwenye hali nzuri mnoo. Bei ya fridge ni 850,000. Pia nauza godoro 80,000 na kigari cha kubebea watoto wadogo...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
kitanda size yake ni 5*6 (yani tano kwa sita, Urefu futi sita, upana futi tano).. Kwa maana hio kitaendana na Godoro la size hio au pungufu na si zaidi.. Chaga zote ni nzima na zinakaza vizuri...
4 Reactions
15 Replies
2K Views
Outdoor Air Condition Gas Imejaa sana ni Mpya kama inavyoonekana wakuu. usafiri unapewa buku 5. Ipo Kijitonyama (Kijitonyama iko Dar es salaam kwa wenzangu na mm wa mikoani) Bei laki Tatu na...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Nyama ya nguruwe mbichi safi kabisa inapatikana kwa bei ya chini. Mbichi Kilo @8500 jumla kuanzia kilo 5 hadi 300. Unaletewa popote ulipo free delivery .DSM 0659 190 552
3 Reactions
11 Replies
2K Views
Carina TI Full AC Bei mil 4.5 Ipo Dsm
0 Reactions
3 Replies
826 Views
Okay naswali kwa wakazi wa Dar ni wapi wanauza mitumba grade one au two mizuri ya nguo za watoto mana mmi hununua zile za jero Ilala za wakubwa lakini biashara inaenda taratibu nataka nianze za...
0 Reactions
20 Replies
6K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…