Tumeingiza mzigo mpya..
Hizi ni devices zenye uwezo mkubwa wakukupa taarifa za unit yako na kulilinda kwa kutumia simu yako.
Kuona speed
Kuona Sehem gari/pikipiki yako ilipo
Kuizima na kuiwasha...
Zipo spark plug za aina nyingi sana. Yapo mambo mengi sana yanayoweza kutofautisha spark plug za gari na gari jingine.
Mambo hayo ni
1.Material yaliyotengeneza hizo plug (iridium copper n.k)...
Habari wadau.. Hivi wale wanajiita Yellow Pages bado wapo?? Je na kipataje Kile kitabu Chao kwa ajili ya Kupata contact za Makumpuni??
Lakini pia hivi Hawana Soft copy yao online?? .
Au sikuizi...
Habari za leo wana JF.
Ninauza kiwanja changu ambacho kipo Chanika Zingiziwa. Kina hati ya serikali ya mtaa. Kina ukubwa wa sqm 406. Kipo eneo la tambarare, udongo wake ni kichanga.
Ni sehemu...
Badala ya kutumia mkono unaweza kutumia hizi pen kwenye simu yako zinasaidia sana hasa kwenye ku type hasa wenye vidole vikubwa wanaopata shida ku type pia inasaidia kwa ujumla kutumia simu yako...
Habari,
Mwenye kreti tupu za bia na soda kampuni kampuni Coca, pepsi, SBL na TBL nahitaji.
Zingatia bei za kreti kwenye magari (wasambazaji) ni 10k so make sure bei zako zipo chini ya hapo...
Kuna "kamgahawa" nafungua eneo ya gongo la mboto
Nina uhitaji wa chef, vigezo;
1. Awe kapitia mafunzo rasmi (vyeti)
2. Awe na experience isiyopungua miaka mitatu
3. (Na ya Msingi) Awe na maono...
Umechoka kutafuta nyumba bora inayoendana na pesa yako,
Umechoka kutafuta shamba lenye rutuba
Umechoka kutafuta nyumba nzuri ya kununua,
Hupati frame nzuri ya biashara hapa jijini mbeya
Ndugu...
Epuka garama za mafuta
Kwakutumia air fryer
Mzgo tunafunga from china
Kufika tz ni mwez mmoja
Air-fryer moja utalipia 45,000
Nauli ya meli ni inarange 20,000-30,000
Garama za usafir ni baada...
Haya wale wadada wa mjini hilo hapo gauni zuri la mtoko/sherehe, Hili gauni ni mkataba Og naliuza kwa bei ya njaa only 50k limetengenezwa kwa material bora.
Ziko pair 2
Mawasiliano 0654757823
Used Water tank stand ya chuma yenye urefu wa 6 metres inauzwa. Iko katika very good condition. Ina uwezo wa kuhimili tank la ujazo wa hadi Lita 10,000. Bei ni 1.3m. Kwa mwenye uhitaji awasiliane...
Hello!
Kindly please [emoji1317] naomba kama mtu ana connection ya Land Saveyour aliesajiliwa na bodi ya masaveyor anisaidie mawasiliano yake.
My phone number 0692275216...
Mbao Tanzania⚠️je,unatafuta MBAO IMARA zenye Dawa(TREATED),zilizokomaa kwa zaidi ya miaka 15
Na Zisizoharibika kwa kuliwa na MCHWA? kwa BEI POA KABISA 💥
⚠️Tupo ILALA BUGURUNI,karibu na daraja la...
Moja kati ya nyenzo zinazowanyanyua watu wengi na kuwa na utajiri basi ni miradi ya kupangisha nyumba(Real estate), nichukue nafasi hii kuwaonyesha michoro ya 3d ya nyumba za kupanga, zikiwa na...