Chef anahitajika

Chef anahitajika

Rorscharch

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2013
Posts
1,435
Reaction score
3,113
Kuna "kamgahawa" nafungua eneo ya gongo la mboto
Nina uhitaji wa chef, vigezo;
1. Awe kapitia mafunzo rasmi (vyeti)
2. Awe na experience isiyopungua miaka mitatu
3. (Na ya Msingi) Awe na maono makubwa zaidi ya ajira (akijituma tutashikana mikono na kukua pamoja)
 
Back
Top Bottom