Rorscharch
JF-Expert Member
- Jul 22, 2013
- 1,435
- 3,113
Kuna "kamgahawa" nafungua eneo ya gongo la mboto
Nina uhitaji wa chef, vigezo;
1. Awe kapitia mafunzo rasmi (vyeti)
2. Awe na experience isiyopungua miaka mitatu
3. (Na ya Msingi) Awe na maono makubwa zaidi ya ajira (akijituma tutashikana mikono na kukua pamoja)
Nina uhitaji wa chef, vigezo;
1. Awe kapitia mafunzo rasmi (vyeti)
2. Awe na experience isiyopungua miaka mitatu
3. (Na ya Msingi) Awe na maono makubwa zaidi ya ajira (akijituma tutashikana mikono na kukua pamoja)