Habari wadau,
Naitaji gari ya kununua kwa mtu.
Iwe Toyota IST.
Cc 1290 (isiwe zaidi ya hizo)
Isiwe imeguswa injini
Namba D ndio itapewa kipaumbele.
Siitaji dalali, sababu sina pesa ya...
Nyumba inauzwa Mbeya mjini, karibu na stand kuu ya Nanenane, nyuma ya hotel ya PM luxury hotel, kwenye eneo kuna nyumbaa kubwa moja, nyumba ya vyumba vitatu na nyumba ya vyumba viwili na parking...
Habari,
Gari Excellent Condition inauzwa
Nissan Murano - T879 DRW
In a good condition, Full Ac
Bei. - 10.5 M
Contact - 0685020831
Gari ipo Tegeta - Kibo Complex, unaeeza nipigia muda wowote...
Habari jf
Rejea kichwa cha habari hapo juu kama kuna mtu anauza sofa used zile ngumu zilizotolewa maofisin au majumbani nahitaji kununua , taja location na picha kama unazo itapendeza pia
Kwa wanaohitaji kuweka fridge kwenye gari yako kwa ajili ya kupoza na kuhifadhia chakula au kinywaji wakati wa safari au misele yako.
Ninazo mini fridge nzuri sana zinafungwa kwenye gari na...
Introducing to you an innovative system to track payments #sends automatic reminders and announcements to parents, #easy to use and affordable to all.
Price TZS 3000 per child per year.
REGISTER...
Doltu Architects offers design and planning services for new construction, renovations and additions for commercial and residential projects.Our architectural fee are competitive and our services...
Hello habari wana jamvi, kwa mtu yoyote mwenye kampuni ya kusafirisha mizigo kutoka Tanzania kwenda nje ya Tanzania, ninataka kupeleka vitunguu Gaborone, Botswana vitunguu gunia 80, sasa hapo...
Habari ya asubuhi ndugu zangu, yoyoye anaemjua supplier mzuri wa mchele anichek kwa number: 0783 242247
Tumepata emergency therefore is very urgent to get it today or tomorrow.
Vigezo ni kama...
Kwa wanaopenda makazi yaliyo karibu na barabara kuu hii inawafaa zaidi.
Nyumba ipo Gongo la mboto(Kwalala).
Bado ina eneo na bei ni nafuu kabisa.
Tsh 35,000,000.
Karibu kwa mazungumzo.
Call 0755519358
Wadau habarini za mchana,ninaunza gari yangu aina ya Harrier Old Model,bei ni Tshs 15,000,000/ sababu zakuiuza ni kwamba kwamba nauza niweze kuongeza pesa ninunue gari jingine!
Tunatoa ujuzi na ushauri mbalimbali kuhusiana na uandishi wa research. Ushauri hui utahusiana na:
1.Njia za kuandaa na kutambua "Research Title"
2.Namna ya kuandaa "research proposal"
3.Njia...
Habari!!mwenye Motherboard ya samsung A71 au anayemjua fundi ambaye anauza au mtu yeyote anichek inbox sababu mafundi niliyowapelekea simu Yangu A71 imewashinda ,au Ambaye anauza A71 Used but...
Ninauza mashine za kusaga siagi ya karanga yaani kwa wale wanaotaka kuanzisha biashara ndogo ya uuzaji wa Penuty butter karibuni niwauzie mashine.
Sifa za mashine
Inasaga kwa kutumia nishati ya...
Kanisa la City Christian Centre-TAG Upanga chini ya Bishop DR. Ranwell Mwenisongole wanakualika katika (CHURCH ANNIVERSARY - 40 Years) maadhimisho ya miaka 40 ya Kanisa hilo.
Ni tarehe 11/11/2018...