hiki jaribu kutembelea curio shops huenda wakawanacho.unacho kitabu kinaitwa souvenirs?
Bei gani kwa kila kimojaKinapatikana mkuu.
Cjajua unataka kuifanya kwa ukubwa gani(Jumla/Rejareja) but basically ni kawaida tu kama una msingi wako baada ya kumalizana na serikali unachukua mzigo wako kwenye maduka ya jumla/ publisher's kulingana na mahitaji ya wateja wako unaweka dukani maisha yanaendelea.nnahitaji kufanya hii biashara ila sina idea yoyote kuhusu hii biashara.
nipe abcd juu ya hili
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Sasa kipo kipi na mimi nimeandika vitatu.Kipo n 10k
Nahitaji vyote vitatu bosi...ntakupigia simu,total amount inakuwaje?Sasa kipo kipi na mimi nimeandika vitatu.