Viwanja vinauzwa viko Mbezi Makabe Njia Panda . Ukubwa Ni "20-20" bei Sh mil.10. Vimepimwa kisasa.
Umeme upo karibu mno.
Wasiliana Na mwenye no: 0714486466.
nauza viwanja vilivyopimwa viko kigamboni mbele ya kimbiji sehemu inaitwa yaleyale puna..tunauza kwa sq meter... sqm1 ni sh 9000 tunakupatia na hati yako..viwanja viko karibu kabisa na bahari in...
Two surveyed plots with title deeds
(1) 5,115 sqm (2) 9,199 sqm.
Good access road off the Dar es Salaam-Mtwara Highway.
No middlemen required.
Only interested buyers should in-box me.
Kiwanja kipo Umbali wa Mita 300 kutoka Barabara Kuu( Bagamoyo Road)
Kiwanja Kimepimwa na kina hati.
Ukubwa wa kiwanja ni Mita za Mraba 1200
Bei ni Tshs Milioni 250
Tuwasiliane: 0713226191 au...
Kiwanja kinauzwa kiko Mbezi Msakuzi. Ukubwa Ni "17-20" bei Sh mil. 7. Karibu Sana. Umeme upo karibu mno.
Wasiliana Na mwenye no: 0719031549. Bei inaweza kupungua kidogo. Gari inafika hadi getini...
Kuna square meter 955 na 1200 na 2000 na 3000 na 4990 kila square meter moja ni tsh 14,000 tu. Pia kuna square meter 803 kwa tsh 17,000.
Eneo ni Katikati ya Mwongozo nyuma ya utumishi housing na...
Ukubwa wa kiwanja ni 700Mita za Mraba.
Kiwanja kipo eneo la Makazi, hakijapimwa, unaruhusiwa kuleta Mtafiti wa ardhi kukiangalia kimekaaje.
Kiwanja kipo eneo zuri, barabara ni nzuri hadi kwenye...
nauza kiwanja changu maeneo ya lugwadu chenye ukubwa wa mita 20 kwa 20 bei maelewano hakijapimwa kwa anaehitaji anichek kwenye namba hizi 0688246998, 0675953263
Habari za asubuhi ndugu zangu wa Jamii forums, natumaini kwa kudra za mwenyezi Mungu wote ni wazima wa afya.
Kama Tangazo linavyojieleza hapo juu, nauza kiwanja cha heka 4 kinauzwa kipo Madale...
Habari za leo?
Kuna viwanja viwili vyenye ukubwa wa futi 50X80,umbali ni kama dakika 25 kutembea kwa mguu toka kituo cha daladala Pongwe,dakika 8 kwa bodaboda(malipo ni elfu moja)
Mnunuzi...
Viwanja vinauzwa,kimoja changu kiko vikindu 50ft kwa 100ft bei m5,na kingine cha rafiki yangu kiko vianzi 20m kwa 30m bei 4m kwa atakayehitaji 0654879476 thaman ya ardhi inapanda kila siku...
Eneo lililopimwa lenye ukubwa wa 6acres lililo kandokando ya barabara ya lami (morogoro road) linauzwa..
Sehemu eneo lilipo: Kiluvya.
Bei: Tsh 600milion.
Contact: 0689315582
kuna viwanja kinauzwa maeneo ya mbezi Luis DAR
Cha kwanza ni 30*30 milioni 22
kimepimwa na kina ati miliki
Cha pili ni 25*30 milioni 17
kimepimwa na kina ati miliki
Cha tatu ni 20*22 milioni 7...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.