Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Laptop HP processor intel core i5 2.5ghz ram 4gb HDD 500gb. Inafanya kazi vizuri. Note: Tatizo lake haikai na chaji hivyo betri sio nzuri Ipo Arusha Piga simu 0765390225 au 0652494919
0 Reactions
1 Replies
627 Views
Asilimia kubwa ya nyumba zinazojengwa Sasa hivi zinapambwa kwa bidhaa za gypsum kwa namna mbalimbali, kwa wauzaji wa vifaa vya ujenzi(wenye hardware) karibuni kupata bidhaa za mikanda, Kona, Maua...
1 Reactions
19 Replies
5K Views
Ni fundi urembo wa urembo wa Dirisha Urembo wa nguzo Urembo wa fensi Urembo wa kona au pembe za nyumba! Pamoja na urembo wa fensi Nipo Temeke DSM na popote Tz nakufikia Simu : 0789005562 Wasap...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Baiskel nzuri kal inauzwa bein saw na bure. Ina gear 6. break . Kiti kipya cha kukalia. Kiti imala cha kubebea mizigo. Haina kiungo chochote wal kuchuka rang. Pia nabadilishan na sport bike hata...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
chumba na seble ni vzuri sana gypsum board na tiles rangi mpya choo kizuri madirisha mawil mawili seblen na chumbani kina kodi ya miezi minne,alioko ndani ameamishwa kikazi anahama unatembe dk 4...
1 Reactions
0 Replies
612 Views
Nauza samsung galaxy A10, 32GB internal storage na RAM 2 GB bei 200,000/-Price is negotiable Contacts: 0759-124378
0 Reactions
0 Replies
753 Views
Dalali anatoa huduma ya kuunganisha huduma zinazohusiana na ardhi na majengo kati ya makundi yafuatayo;- ✓ Wapangaji na wenye nyumba. ✓ Wauzaji na wanunuzi. ✓ Watoa mikopo na wapokeaji mikopo...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kila eneo kwenye maisha hutegemea sana kitu hiki ili uweze kujenga mafanikio makubwa sana na ya kudumu. Kitu chenyewe ni mtazamo wako. Huu ndio msingi wa kujenga mafanikio makubwa kupitia...
2 Reactions
4 Replies
4K Views
Natafuta chumba cha 50,000/= maeneo ya Tabata. Hello habari wadau natafuta chumba cha 50,000/= maeneo ya Tabata. Mwenye kufahamu anijuze ndugu zangu.
1 Reactions
1 Replies
565 Views
Nauza Tv yangu aina ya Sony inchi 32 ila inaonesha black and white. Fundi aliniambia mpaka nibadilishe kioo kwahiyo atakaejunua atatakiwa abadilishe kioo. Bei nauza ni 100,000. Kwa mawasiliani...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Wakuu Nipo morogoro ambaye anauza mitungi empty ya gas Oryx , o gas , mihan na lake Nicheki pm Kama unayo mitungi hyo
1 Reactions
1 Replies
2K Views
TVS hio. Cc 150 gia 4. Imetumika mwaka mmoja. Full document. Bei 1.8 mil. Iko nyakato Mwanza Piga 0713096076 tuongee biashara achana na comments.
1 Reactions
5 Replies
2K Views
-32 inch kawaida....................... 300,000 -32 inch smart 4k android.........355,000 -40 inch kawaida........................575,000 -40 inch smart 4k android........650,000 -43 inch smart 4k...
2 Reactions
14 Replies
3K Views
Habari wana jamii Mimi ni fundi wa furniture natafuta mtu ambaye tunaweza fanya uwekezaji kwenye upande wa samani za ndani kwa mkoa wa Mwanza ama Mbeya. Mimi ni fundi ninayefanya kazi za kiwango...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Kupangilia nyumba (hoteli, benki, loji, resoti, shule, chuo, majengo ya biashara na kadhalika) ni moja ya biashara zinazolipa kiasi kikubwa cha faida katika miji mikubwa. Kupamba nyumba ni moja...
2 Reactions
2 Replies
3K Views
Je wajua kuogelea kunaboresha afya na ni ujuzi mzuri maishani pia ni burudani. Karibu umwandikishe mwanao kwenye darasa la kuogelea likizo fupi ya pasaka darasa la siku 8 Certificates zitatolewa...
1 Reactions
18 Replies
1K Views
Make: Mazda Model: Verisa Model number :DBA-DC5W Body type:station wagon Colour:Grey Year:2004 engine capacity:1490 Fuel used:petrol Seating capacity:5 Km:49000 Bei m 90000000 Milioni Tisa tu
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Nahitaji kununua kiwanja Dom. Kisizidi 400 sqm Umbali sio zaidi ya km 3.5 toka mjini Kiwe na Hati na kimepimwa Kiwe pembezoni mwa bara bara kuu ya lami yenye movement ya watu na magari.
2 Reactions
21 Replies
2K Views
Hello Jf Hili ni eneo lenye mita za mraba 4,248 limepimwa tayari beacon zipo Hati ipo, inasoma Biashara na Makazi Halina tatizo lolote. Unaweza Weka Biashara yoyote unayoona inafaa (KAMA...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Kiwanja Kipo Oysterbay mita 50 kutoka Oysterbay Lodge, kipo jirani na kituo cha mabasi Oysterbay uelekeo wa UDOM upande wa kushoto kuna barabara ijulikanayo kama Oysterbay road. Kiwanja ni kizuri...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…