Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Camera iko katika hali Nzuri, imetumiaka wiki mbili tu kwenye Project. Niliagiza kwa ajili ya project, now nimemaliza. Ni camera nzuri sana hasa kwa Advanced Cinematographers & Photographers...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Kuna jamaa aliweka tangazo kuwa anauza kiwanja maeneo ya banana sijajua ni nani kama.hajauza aje tuyajenge lakini pia nahitaji uwanja maeneo hayo hela iko mfuko wa shati
0 Reactions
2 Replies
43K Views
Chumba master kinahitajika ukonga banana, kiwe ktk mazingira mazuri na tulivu ya kuishi......0743941142
1 Reactions
1 Replies
481 Views
Friza linauzwa Used na linapiga kazi fresh Bei:355,000Tsh Piga 0673206639 Friza lipo mwananyamala
2 Reactions
16 Replies
1K Views
Simu hiyo wazee haina kasoro wala mkwaruzo Ina GB 64 3--6GB RAM 720×1600 pixels 13 MP (1440p) Betri 6000mAh, inakaa na chaji muda mrefu mno 6.52
3 Reactions
14 Replies
2K Views
We design awesome websites or any project that runs via browsers, these projects includes information management systems for small to large businesses (Depending on your instructions). But also...
0 Reactions
0 Replies
835 Views
Niaje wadau, nahitaji internet service providers kwa ajili ya shughuli za kiofisi. Ni kampuni gani iko vizuri na huduma zake ni nafuu! cc Chief-Mkwawa Extrovert kelphin kepph Behaviourist Asanteni.
3 Reactions
3 Replies
1K Views
Aina ni Hp Core i5 Hdd 500 Ram 4Gb Processor 2.4 Ubaoni 300k Kipengele Baadhi ya buttons hazifanyi kazi.
0 Reactions
0 Replies
456 Views
4G SOLAR PTZ CAMERA Available, built in Simcard slot, mobile view access, no need of electricity or wifi/ internet Free delivery Condition: New Location: Kinondoni Studio Price: 495,000/=...
0 Reactions
6 Replies
777 Views
Salamu Jf family Natafuta mashine za kufulia nguo na kukausha kwaajili ya biashara,kuanzia 12kg na ziwe zile za kufungukia pembeni na zenye sehemu ya kuweka sarafu.Kwa yeyote mwenye taarifa...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu Habari za Jioni. Ninahitaji solar water pump ya kuvuta maji kisimani. Kisima kina urefu wa mita 15 Eneo la shamba ni ekari moja Liko Kilimanjaro.
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Mbao zenye dawa treated zisizoliwa na wadudu zinapatikana kwetu kwa bei za jumla na reja reja. Tunatoa ofa za Misumari ya Bure 10kg na Ofa ya Usafiri wa kukupelekea mzigo sait Bure! Tunapatikana...
1 Reactions
2 Replies
873 Views
Habari; Leo nimeona niwashirikishe watu fursa,Wakati nikielezea hii FURSA niweke angalizo kwamba "UKIITIWA FURSA UJUE WEWE NI FURSA" so kama hutaki kuwa fursa basi wewe hii fursa haitakufaa.Baada...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Je, wewe ni mwanafunzi uliyemaliza kidato cha nne? Je, una ndoto siku moja uje kusoma nje ya nchi Kama jibu ni ndiyo. Nakutangazia nafasi za masomo nchini China kwa wanafunzi wanaojifadhili...
0 Reactions
15 Replies
7K Views
BEI Tsh : 120,000/= (HII BEI NI YA OFFER) OFFER: -Free Letter head Huduma zetu utazipata mahali popote ulipo iwe ndani au Nje ya Tanzania! HIZI NI BAADHI YA KAZI TULIZOWAFANYIA WATEJA WETU...
19 Reactions
822 Replies
87K Views
Tunatoa huduma ya kutotolesha (kuatamisha) mayai ya kuku, kanga, bata Bei: Sh 500 mayai ya kuku Sh 700 mayai ya kanga na bata Tupo Lugela, Kahama 0767659145 0620246040 0787659145
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Apple macbook air ipo sokon. Inahitaji 150 tu. Nipo Dar es salaam Ilala. Njoo inbox chap 0758121634*
1 Reactions
5 Replies
768 Views
Ina Internal storage 128 RAm 8 Betry 10,000MAH Inasoma 4G laini zote mbili na IPO speed sana kufungua files N.B Inakaa na chaji 5hrs ukiwa kwenye internet. Bei 350,000/= Ni Pm ukiwa unaihitaji. Asante
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Wakuu habari. Nina Shida ya usafiri wa mizigo yangu kidogo pamoja na mimi mwenyewe kutoka Mwanza kwenda Dodoma. Nikipata gari ya mizigo inayoenda Dodoma nitashukuru. Naomba connection
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Natengeneza Matangazo Ya Biashara Ya Kupost Insta, Facebook ,Whatsapp UNAUZA NINI? Nicheck nikudizainie TANGAZO zuri utakalolipost Instagram, Facebook, Whatsap, Magrupu, Status n.k Bei rahis tu...
0 Reactions
0 Replies
778 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…