nauza bulb camera kwa bei rahisi kabisa arusha mjini
-inaunga wifi hivyo unaweza kutazama kinachoendelea nyumbani au kwenye biashara kwako ukiwa popote duniani kwa simu yako (smartphone)
-ina...
Salama wakuu, nmewasogezea hapa printer Hp LaserJet. Printer ipo kwenye hali nzuri kabisa ni (Black&white) kwa yoyote ambaye atakuwa interested bei yake ni 250,000= top top, kwa mawasiliano zaidi...
Je, wajua kua Brand nyingi maarufu zinazotengeneza AV Receivers huweka sound decoder kwaajili ya ku control sorround sounds...au 3D sound formats
Na hizo decoding softwares kuna makampuni...
Habarini,leo tena nawakumbusha kwa wanaoendelea kujenga kwenye maeneo madogo hata makubwa kwamba huna haja ya kuchimba mashimo kwaajili ya Choo,tumia technology yetu ya Biodigester Decentralized...
Kuuza bila Dalali ni mauzo ya mashamba, viwanja na nyumba ambayo yanafanyika bila kuhusisha dalali kati ya mwenye nyumba na
mnunuzi. Hivyo huwezi kulipia ada ya dalali wa nyumba na ardhi.
Kwa...
Miche ya mdalasini inauzwa
2600/@
+255762967548
Kampuni ya Nehemia One Co Ltd inajukumu la kufanya wawekezaji kufikia ndoto zao. Kutokana na uzoefu wa soko la MDALASINI ndani na nje ya nchi...
Habari,wadau nauliza Kwa mwenye ufahamu juu ya biashara ya kuprint viroba mfano Vya sembe Kwa wanaosagisha mahindi na hata mifuko mingine.
Kwa anayefahamu:
1:Upatikanaji wa printa na bei zake...
Wadau hope mpo pouwa... Nilikua naulizia gharama za mashine ya kuprint viroba kama vya unga wa sembe,ngano ni Biashara nayo ifikiria kwa mitaa ya manzese.... Asanteni sana Masue safarini kigoma.
NYUMBA YA GHOROFA INAYOSUBIRIA KUPAULIWA TU! INAUZWA -*
( MADALE NJIA PANDA YA NGUZO MTAA WA NYUMA YA KITUO CHA POLISI MADALE)
Ni nyumba yenye eneo kubwa na mchoro wa kisasa kabisa"( Jumla ya...
Wakuu habari zenu?
Nina kijana wangu wa kiume anataka kuja DAR kuanza kazi hivyo anahitaji kupata malazi/accommodation ya bei nafuu wakati akijipanga kutafuta chumba na vitu vyake.
Kazi yake ipo...
*NYUMBA YA GHOROFA INAYOSUBIRIA KUPAULIWA TU! INAUZWA -
(MADALE NJIA PANDA YA NGUZO MTAA WA NYUMA YA KITUO CHA POLISI MADALE)
Ni nyumba yenye eneo kubwa na mchoro wa kisasa kabisa"( Jumla ya...
Jipatie jiko la gesi na umeme kwa matumizi ya nyumbani
Brand:Gl general
Condition:used
3 gas burners
1 electric hot plate
Electric oven with light
Price: 200,000/=
Tunapatikana Tabata Dar es...
lap top aina ya HP inauzwa ipo kwenye hali nzuri bei ni laki nne na nusu (450000) Ram ni GB 8 HDD ni GB 1000 Edition ya 7 napatikana mwenge Dar es salaam.
mawasiliano
0763202727
#MKATA_POULTRY_PROJECT
0766406734
WAUZAJI WAZALISHAJI NA WASAMBAZAJI WA VIFARANGA WA KUKU WA AINA MBALIMBALI VIFARANGA WETU TUMEZINGATIA UBORA NA VIGEZO MUHIMU
NA PIA TUNAWAPATIA CHANJO ZA AWALI...
machine ni automatic,
inatoa aina 2 za mikunjo, it4 na vigae,
nyingine inatoa aina moja ya mkunjo corrugated au migongo ile midogo ya kawaida,
inatumia 3phase, material inaingia 100cm inatoa 92cm...
Nyumba inapangishwa ipo kahama buswelu manispaa ya Ilemela ipo pembezoni mwa barabara itokayo buswelu kwenda Ilalila, ina vyumba vitatu, viwili master, public toilet ya ndani na nje ,sitting room...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.