We provide the following services on monthly basis
1.VAT return
2.SDL, PAYE, NSSF AND WCF monthly filing
3.Recording transactions on monthly basis into accounting software: XERO and Quickbooks...
Tunatengeneza furniture za kituruki kama coffee table tv showcase. Kitchen cabinets tunafanya makabati ya chini sq mita 1 sh laki 500000 na makabati ya juuu sh laki 450000.
Tunapatikana mbezi...
Uzi huu ni maalum kwa wale ambao mnataka kununua magari kwa bei nafuu. Tunafahamu uchumi umebana kodi ziko juu sio kila mtu anaweza kuagiza gari toka Japan ila unafuu uko kwa kuuziana gari ambazo...
Habari wakuu.
Hii ni mara yangu ya kwanza kuandika kitabu kinachohusiana na biashara pamoja na mafanikio. Kitabu hiki kimekubaliwa kuwa published on Amazon na publishers nyengine zinashirikiana...
Habari wa JF!
Leo nitaongelea muendelezo wa biashara ya uandishi wa vitabu, makala nyingi nilielezea biashara ya ebook ambayo mwandishi hawezi kupata hasara kama wanayopata sasa kwa wale wanaouza...
I've wrote a business book and published it to Amazon Kindle. I've tried to write about financial success and business. My available in digital format and also paperback (physical book). You can...
Subaru forester inauzwa ipo Tabora mjini haina kipengele.
Make: Subaru
Model: 2008
Transimission: Automatic
New tyres
Full ac
Leather seats
Android music
Bei mil 18mil.
Piga no: 0623 265088
Toyota Rav 4 namba T.. DTT, iliyoingia nchini July mwaka juzi (2020), inauzwa kwa bei ya shilingi milioni 25, bei inapoa kidogo. Haijawahi kupata mzinga wowote wala tatizo lolote. Haijawahi hata...
Dagaa fresh kabisa toka Mwanza kwa mahitaji ya jumla la Reja reja unapana tupo mbezi goba (kwa ndambi)
Sado 1 tsh 22,000
Sado 2 tsh 42,000
Ndoo kubwa 85,000
Tunasambaza pia kwenye supamarkets na...
No politics here, straight to the business
Nina Freezer yangu, ina miez miwili tangu itoke dukani.
Naiuza sababu nafunga biashara (imeenda kombo) then narudi Dar.
Freezer ipo katika hali nzuri...
Huu msimu wa mwisho wa mwaka ni msimu wa kutengeneza memories ambazo zitadumu daima.
Familia nyingi hukutana na kujuimuika na ndugu jamaa na marafiki wakikaa pamoja wakoshauriana mawili matatu...
Gari aina ya DAF XF EURO5 engine ya paccar inauzwa ipo separate kibini pamoja na chesesi, Engine inahitaji matengenezo.
TAJIRI anahitaji milioni kumi na tano(15) kwa mawasiliano piga namba +255...
Brand New Xiaomi 10000 MaH Power Banks for Sale
Comes sealed in Box
Supports fast charging
Ina uwezo wa kucharge simu from 0% to 100% mara TATU
Bei: tsh.95,000/=
Contacts: 0689341445
Place your...
Katika dunia ya leo suala la habari (Information) ni muhimu sana hasa kwa kutumia teknolojia ya kisasa. Ukosefu wa habari sahihi juu ya inshu fulani iwe ya kijamii, kisiasa au kiuchumi itakufanya...
Kwema mabosi?
Nawakaribisha sana kwa uhitaji wa kuagiza gari toka nje ya nchi. Pia kama una gari na unahitaji kubadilisha tutakusaidia kuuza uliyo nayo ili ufanikiwe kuagiza uitakayo.
Karibu...
Karibu @mookabwe.sports.store
@mookabwe_sports_store Jezi za msimu mpya 2022/23
BEI Tsh 25,000 tu
Tupo Kigogo Round About Jiran na kituo cha mafuta lake oil
Tunatuma Tanzania nzima Kwa Uhakika...
Wadau,Naomba kujua Kama Kuna mtu au dalali ambaye anaweza kunisaidia nipate kiwanja Cha kujenga Nyumba ya kuishi kwa Bajeti ya Milioni 1.5 Hadi 2.5 Kigoma mjini. Kiwanja kinaweza kuwa hata nje ya...