Habari za muda huu wana JamiiForums, poleni na uchovu wa mihangaiko ya siku nzima.
Naomba niende moja kwa moja kwenye maada, kwa research yangu ndogo nimegundua hapa Tanzania wengi hatuna elimu...
Msimu wa likizo tunakuletea baskeli za watoto kwa bei chee changamkia fursa
Chagua baskeli utakayoipeneda hapo chini
Tunapatikana Tabata Dar es salaam
Tunafanya delivery popote Tanzania...
Bei ni Tsh 499,000/= from Belight Technology
Mawasiliano: WhatsApp/Call: 0715189999
Brand: Yongmei, Model: YM 758 (BRAND NEW)
Keys :61 -Display:LCD
Pitch bend & Vibrato:YES
USB MP3 player &...
Nyumba yako au ardhi yako kuuzwa kwa njia ya mnada wa hadhara ni jambo ambalo linaweza kutokea ikiwa umeamua kujenga utajiri kupitia uwekezaji huu.
Chanagamoto ya kuuzwa nyumba au ardhi yako kwa...
Kichwa chajieleza hapo juu, natafuta gari ya kununua kama hiyo hapo offer yangu ni 40 kushuka chini.
Nitext WhatsApp, unitumie picha, location, na baadhi ya maelezo kidogo kuhusu hiyo gari. Pia...
Unapotaka kununua kituo cha mafuta uliza yafuatayo kuhusu kituo hicho kabla hujafanya maamuzi
1.Uliza location ya kituo hicho.
2. Uliza connection za wateja wakudumu ambazo kituo hicho...
Wakuu habari, kwa wale wanaojikusanya na kuanza maisha au kwa wanaojiendeleza kwa kununua sehemu mbali mbali za ardhi, basi nawaletea tangazo hili la kuuzwa eneo lenye ukubwa wa 20 kwa 40 kwa bei...
Habari zenu wakuu,
Nahitaji kukodi gari zifuatazo kwa ajili ya mizunguko ya hapa na pale ndani ya jiji la Dar es Salaam.
Yoyote mwenye moja kati ya hizi au zote kwa pamoja naomba aipost gari...
Kampuni ya TECNO bado ina endelea na Kampeni yake ya kila mechi ina mshindi katika msimu huu wa kombe la dunia ambapo ili kushiriki unachotakiwa kufanya ni kupost picha ya mtu umpendae na ujumbe...
Habari yako rafiki yangu,
Naitwa Aliko Musa kutokea jiji la Mbeya. Mimi ni mwandishi mbobezi wa makala na vitabu vya mbinu bora za kuwekeza kwenye viwanja na nyumba. Ninawafikia wawekezaji...
Ni jambo la buheri kuwa wanajamvi wote mu wazima Kuna mtanzania mmoja mdogo kiumri kama namzidi miaka mitatu ila niseme ukweli na yeye kanizidi akili kulingana na alichokifanya.
Kijana anaitwa...
Simu ya infinix hot 10i iliyotumiwa miezi minne tangu kununuliwa kwake inasukumwa kwa Tsh 120,000/= (Ruksa kuzungumza)
Simu haina Crack hata kidogo. Tatizo lake ni sauti kuwa chini unaposikiliza...