Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nahitaji water bowser iwe imetengenezwa China, Faw, Sacman, Howo etc. Iwe na uwezo wa kubeba lita 20,000 na zaidi. Pia iwe kwenye hali nzuri. Njoo na offer yako. 0767/0717-45 44 55
0 Reactions
2 Replies
456 Views
JEE KUKU WA KIENYEJI SIO KUKU WA KIBIASHARA?? [emoji2369][emoji2369] [emoji2788]NOOO,,,, Leo kampuni MWALIMU GROUP LTD imekuja na jibuuu la swalii hiloo [emoji2788]Kuku wa kienyeji ni kuku wa...
0 Reactions
2 Replies
823 Views
Habari wakuu, Basi nikiwa katika harakati za kutafuta ajira nikiwa sina capital ya kuanzisha yangu mwenyewe nijiajiri, nikapata wazo litakaloweza kunipatia capital japo kidogo angalau kwa kuanzia...
7 Reactions
14 Replies
1K Views
Habar, Kama kichwa Cha habar kinavyosema Mimi nahitaji king'amuzi Cha Azam kiwe full au decoder tu nanunua Bei tutaongea Kama unacho usisite kunipm natanguliza shukran
0 Reactions
4 Replies
783 Views
Tz kisimbusi namba 1 ni azam tv Kwanza ubora wa picha, ving'amuzi, vifurushi,ubunifu nk... Hawa jamaa wanajitahidi sana Pia ndo kisimbusi chenye vifurushi vya bei chee zaidi hapa tz
-4 Reactions
31 Replies
2K Views
Habarii...gloves zinauzwa ziko pair 48.
0 Reactions
3 Replies
505 Views
Habarini za muda huu wapenzi, Samahani naomba anayejua wapi naweza kupata package hizi kwa hapa Arusha na ni kwa bei gani napata?[emoji3526]
1 Reactions
37 Replies
3K Views
Nauza wino Original wa Hp Laserjet pro M402 MFP M426 Mbili zote kwa 350000
0 Reactions
0 Replies
393 Views
Habari, kwa yeyote ambaye anataka logo au poster kwa ajiri ya biashara binafsi tuwasiliae 0655134448 Karibu
0 Reactions
1 Replies
391 Views
Salaaam Wakuu. Kheri ya mwaka mpya 2023. Natumaini wote mmeitumia vizuri likizo hii mkiwa na familia zenu na wale muwapendao. Ikiwa ni mwanzo wa mwaka wa kikazi 2023 nawasogezea hii kwa kutambua...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Fundi wa kudhibiti leakages kwa Water proof tunadhibiti sehemu zote zinazo vuja iwe Silabu paa la la zege concrete roofing flat roofing fundi 0716354056
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Unahitaji pikipiki au BAJAJI kwa Ajili ya mutumizi yako binafsi, biashara au taasisi karibu tukuhudumie TVS, BOXER, HERO na aina zingine zote zinapatikana. kwa Dsm pekee Tupigie 0652659775 au...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Nauza pochi za kike, Bei 25000 Niko gongo la mboto Dar es Salaam. 0679586532 au 0758636908
0 Reactions
0 Replies
439 Views
*MASHINE ZA KUSAGA NA KUKOBOA PAMOJA NA SHAMBA VINAUZWA* Nauza mashine mbili za kusaga na kukoboa ambazo ziko kwenye Godown lake lenye uwezo wa kubeba gunia Mia Tano pamoja na eneo lake lenye...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
nauza simu aina ya SAMSUNG A11 uwezo; RAM 2GB, internal storage 32 Bei ; 170k location; dar es salaam- Mabibo mawasiliano; 0752641318 mali halali haina shida yoyote
0 Reactions
2 Replies
578 Views
Samsung A23 Ram 4GB. Rom 128GB Camera 50mp Android version 13 Ina miez 4 0693056345 320k
0 Reactions
2 Replies
434 Views
MWALIMU GROUP LIMITED TUNATOA OFA KWA WATEJA WETU WOTE. [emoji389]OFA YA SIKUKUU [emoji318][emoji268] Ungana nasi katika sherehe za sikukuu kwa kuwa mmoja wa mwanafamilia wa BRAHMA. Sasa unaweza...
3 Reactions
21 Replies
4K Views
Wadau salam, Kwa ndugu zangu walimu, ninayo furaha kuwajulisha kuwa kuna softcopy ya schemes of work za masomo yote ya sekondari Kidato cha I hadi IV ambazo zimeandaliwa kwa kufata malekezo ya...
0 Reactions
1 Replies
588 Views
Za mda huu wakuu, Nauza dstv decorder pamoja na vifaa vyake vyote complete,imetumika miezi miwili tu Bei Tsh 60,000 :0719538995 :Dar,kinondoni
0 Reactions
60 Replies
7K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…