Nahitaji water bowser iwe imetengenezwa China, Faw, Sacman, Howo etc.
Iwe na uwezo wa kubeba lita 20,000 na zaidi. Pia iwe kwenye hali nzuri.
Njoo na offer yako.
0767/0717-45 44 55
JEE KUKU WA KIENYEJI SIO KUKU WA KIBIASHARA?? [emoji2369][emoji2369]
[emoji2788]NOOO,,,, Leo kampuni MWALIMU GROUP LTD imekuja na jibuuu la swalii hiloo
[emoji2788]Kuku wa kienyeji ni kuku wa...
Habari wakuu,
Basi nikiwa katika harakati za kutafuta ajira nikiwa sina capital ya kuanzisha yangu mwenyewe nijiajiri, nikapata wazo litakaloweza kunipatia capital japo kidogo angalau kwa kuanzia...
Habar,
Kama kichwa Cha habar kinavyosema Mimi nahitaji king'amuzi Cha Azam kiwe full au decoder tu nanunua Bei tutaongea Kama unacho usisite kunipm natanguliza shukran
Tz kisimbusi namba 1 ni azam tv
Kwanza ubora wa picha, ving'amuzi, vifurushi,ubunifu nk...
Hawa jamaa wanajitahidi sana
Pia ndo kisimbusi chenye vifurushi vya bei chee zaidi hapa tz
Salaaam Wakuu. Kheri ya mwaka mpya 2023. Natumaini wote mmeitumia vizuri likizo hii mkiwa na familia zenu na wale muwapendao.
Ikiwa ni mwanzo wa mwaka wa kikazi 2023 nawasogezea hii kwa kutambua...
Fundi wa kudhibiti leakages kwa Water proof tunadhibiti sehemu zote zinazo vuja iwe Silabu paa la la zege concrete roofing flat roofing fundi 0716354056
Unahitaji pikipiki au BAJAJI kwa Ajili ya mutumizi yako binafsi, biashara au taasisi karibu tukuhudumie
TVS, BOXER, HERO na aina zingine zote zinapatikana.
kwa Dsm pekee
Tupigie 0652659775 au...
*MASHINE ZA KUSAGA NA KUKOBOA PAMOJA NA SHAMBA VINAUZWA*
Nauza mashine mbili za kusaga na kukoboa ambazo ziko kwenye Godown lake lenye uwezo wa kubeba gunia Mia Tano pamoja na eneo lake lenye...
nauza simu aina ya SAMSUNG A11
uwezo; RAM 2GB, internal storage 32
Bei ; 170k
location; dar es salaam- Mabibo
mawasiliano; 0752641318
mali halali haina shida yoyote
MWALIMU GROUP LIMITED
TUNATOA OFA KWA WATEJA WETU WOTE.
[emoji389]OFA YA SIKUKUU [emoji318][emoji268]
Ungana nasi katika sherehe za sikukuu kwa kuwa mmoja wa mwanafamilia wa BRAHMA.
Sasa unaweza...
Wadau salam,
Kwa ndugu zangu walimu, ninayo furaha kuwajulisha kuwa kuna softcopy ya schemes of work za masomo yote ya sekondari Kidato cha I hadi IV ambazo zimeandaliwa kwa kufata malekezo ya...