Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Plot for sale at Ungindoni Kigamboni, located 200 meter from main road. ideal for commercial and residential investment. Asking price ; 380M Tshs. for more info contact; +255 712 347 749 +255 746...
1 Reactions
2 Replies
743 Views
Nauza pikipiki ina mwaka mmoja na miezi kadhaa tangu niinunue, iko kwenye hali nzuri kabisa kwa mawasiliano 0762711636. Location Goba Kwa Uromi.
1 Reactions
4 Replies
712 Views
Tunatengeneza Mabango Ya Designs zote 3D,2D,Banners n.k ambayo unajua au unaitaji ofisi zetu zipo sinza mori karibu na Bigbon kwa maelezo Zaidi Piga Simu 0759117175 Sampo chini Karibuni Sana.
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Duka la vifaa vyote vya bafuni na masink ya jikon na dining bila kusahau mabomba ya maji. Duka linapatikana Kariakoo/Gerezani mtaa wa mbaruku/Nyamwezi str,dar es salaam, Tanzania...
0 Reactions
0 Replies
624 Views
Nyumba ipo sokoni inahitaji finishing tu. Piga sim kwa mmiliki 0692547049 au 0768628314 Ina vyumba vya kulala 4 Master 1 Sebure kubwa sana Chumba cha chakula Jiko Stoo Vyoo vya ndani Kisima kipo...
5 Reactions
94 Replies
7K Views
Wakuu nawasalimu! Tafadhali kama unajua duka (Dar es salaam ama Dodoma) ambalo naweza kununua hii mashine ya kuzibia chupa za mvinyo (wine) ambayo kwa Kiingereza wanaiita 'wine bottle corker...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kiwanja kipo king’azi njia ya kinyerezi kwenda mbezi, sio mbali na kwa dr ndodi, kiwanja, umeme na maji vipo hapo hapo, bajaji kwenda mbezi ni buku, pikipiki zipo, magari ya kukatiza route kutoka...
1 Reactions
1 Replies
648 Views
Wakuu Wenzangu nauza hiki kitabu cha dua na Mafanikio ya Ukweli kwa Mwenye kukitaka nakiuza ni Dola 70 kimeandikwa kwa lugha ya Kiingereza haya karibuni kwa kila mwenye matatizo ya maisha...
6 Reactions
106 Replies
54K Views
Kwa wanaohitaji aina yoyote ya visa ya marekani, Canada au schengen (Belgium, Germany, Italy, France, Norway ,Sweden, Denmark. Etc) ni PM tunakusaidia kuprocess visa, maandalizi ya interview...
4 Reactions
15 Replies
5K Views
Kama kichwa Cha Habari kinavyosema NB: iwe katika condition nzuri, ukiniletea kimeo nakufunga
5 Reactions
28 Replies
1K Views
Vipi wadau, kiwanja kizuri kwa kujenga(flat) kinauzwa Zingiziwa Hospital. Bei 5,000,000. Tuwasiliane kwa namba 0677089280.
0 Reactions
14 Replies
879 Views
Sina shaka na huduma za kitaalamu za Mwl.RCT. He is best compared to others. Maana nilinunua king'amuzi cha Best HD4U kwa mtu flani hata kujua account imebakiza muda gani alininyima elimu hiyo...
7 Reactions
1K Replies
224K Views
Habari' KWA WAWEKEZAJI, MAABARA YA AFYA/ MEDICAL LABORATORY Inauzwa. Imekamilika kila kitu. Umeme wa Tanesco na sola poa ipo Haina shida yoyote. Mil.7 kwa mil. 11.5 Tayari ina kodi ya Miaka 6...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
HP pavilion 360° RAM 4GB ROM 128GB Kwa specifications zaidi angalia pics mapungufu iliyonayo :- 1.Betri aidumu na chaji 2.Screen imecrack kidogo hivyo screentouch haifanyi kazi eneo hilo...
0 Reactions
15 Replies
826 Views
Bahati ya kununua kiwanja/nyumba kwa bei nafuu sana imejengwa kwenye kanuni maalumu. Kwa kanuni hiyo ni lazima uweke juhudi kubwa. Juhudi kubwa ndiyo ndugu wa bahati ya kununua kiwanja au nyumba...
2 Reactions
1 Replies
5K Views
Hili dude nilikuwa naweza kupikia kila kitu kasoro UGALI TU. KWA SABABU UGALI unahusisha kusonga. Wakati niko single. Lipo sokoni kwa sasa sina matumizi nalo... NIMEOA. VERY STRONG. BEI KITONGA...
0 Reactions
27 Replies
2K Views
Hello waungwa nauza Fiat yangu ya kubebea mchanga Iko kwa Mrombo ARUSHA . Iko vizuri sana Ni kuwasha na kwenda Korongoni . Sababu za kuuza ni madereva wananizingua . Bei ni milioni 15 maongezi yapo
1 Reactions
4 Replies
661 Views
Ukumbi mpya wa KIMATAIFA Upo Masaki Dar wa mikutano na matamasha unaitwa The super dome una kila kitu ndani yake Fixed sound system LED Screen Stage Fixed Lights Fixed Camera Tables and...
1 Reactions
0 Replies
826 Views
Sabato njema! Ni HP, HDD ni 500GB, CPU ni 2.4 GHZ, RAM ni 8GB. NB: Haina tatizo lolote isipokuwa battery yake haikai na chaji zaidi ya dk 30. Location ni DSM. Nataka niongeze hela ninunue mpya...
0 Reactions
7 Replies
579 Views
Asking Price 150,000
0 Reactions
2 Replies
565 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…