Heri ya mwaka mpya wakuu wote,
Ninaomba kama kuna mtu anaishi, fanya kazi au biashara nchini malaysia ani PM tafadhali sana. Natarajia kusikia kutoka kwenu. Asante.
Nikiwa kama mwana-member, ninapenda kuwatakia wote mafanikio mema katika mwaka huu unaoanza, mwaka 2009. Ninaamini mwaka unaoisha una mafanikio na hasara pia, all in all "May The Year 2009 Bring...
Hello Bi Mkubwa,
Your Birthday makes this day all more special and beautiful. Wishing you another year of good health, happiness and prosperity.
HAPPY BIRTHDAY Bi Mkubwa!!
SALAAM ZA MWAKA MPYA
Uongozi na wafanyakazi wa MwanaHALISI, hata ndani ya kifungo cha siku 90 cha gazeti hili, tunayo furaha kukutakia heri katika sherehe za msimu huu zinazoambatana na kuaga...
Kama kuna mtu mwenye mawasiliano na wanausalama wa Tanzania wowote aliye Malaysia naomba Contacts zake au unaweza kuwasiliana kwa +255716 494151 Msaada wa haraka sana unahitakija Ahsante
Mbunge wa zamani wa CCM jimbo la Mbozi Mashariki Edson Halinga(68) amefariki dunia usiku wa kuamkia jumanne. Marehemu aliyekuwa akiishi mtaa wa Vilolo mjini Viwawa Mbozi alifariki dunia kutokana...
Mwenzetu "Mchukia Fisadi" amefiwa na baba yake mzazi usiku wa kuamkia leo na yuko safarini kuelekea Bukoba kwenye mazishi.
Kanifahamisha nami nikaona ni vyema kuwafahamisha. Wale wenye namba yake...
Dear all,
hii ni kwa wale wenye mchezo wa kunywa sehemu zenye amani napenda kuwaonya kuweni makini na sehemu hii inaitwa lilian garden bar iko karibu na kwa warioba!!!ukuiiona utaona sehemu ya...
wana JF nimepata taarifa muda si mrefu kuwa ndugu yetu Harry makange mtangazaji yule wa Channel ten amepata ajali mbaya ya pikipiki alikuwa anatoka nyumbani kwake asubuhi kule Kibaha akielekea...
God is Love
Christmas is all about love
Christmas is thus about God and Love
Love is the key to peace among all mankind
Love is the key to peace and happiness within all creation
Love needs...
Tigo wamepunguza mzigo kwa wananchi kwenye ghalama za matumizi ya simu.nadhani tungejiunga na tigo na kususia mitandao kama vodacom mitandao inayo nyonyapesa mpaka na wao wapunguze gharama zao...
Habari za Mchana wajameni...
Naomba msaada wenu kwa mtu ambaye anaweza nipatia link ambayo ntaweza download kitabu hiki. Ni masuala ya kufa na kupona.
Nigel Slack - Operations Management...
Invisible na wakuu wengine naomba mnisaidie nawezaje kuzipata na forums nyingine kama jf Dr,jukwaa la lugha,science,technology nk manake kwangu hazipo.
asanteni wakuu
Here is some treat for the sky watchers, as today, the 12th December, the world will witness the brightest full moon ever. The moon to appear today is about 30 percent brighter and 14 percent...