HABARI ZENU WAKUUU!
TUMELETA MZIGO MPYA WA APPLE I PADS ZIFUATZAZO, NI MPYA KWENYE BOX,ORIGINAL NA ZINA INTERNATIONAL WARRANTY YA 1 YEAR.
APPLE I PADS 2, 16GB, 3G NI $750
APPE I PADS 3, 16 GB...
Nauza iphone 4s ya 16 gb,ina ios 5.1.1 bei tsh 500,000. Iko fresh kabisa, haina scratches hata kidogo. Tatizo network iko locked so line za bongo hazisomi.Inaweza kuwa unlocked ila hela ya ku...
Nauza iphone 4s ya 16 gb, bei tsh 500,000. Iko fresh kabisa, haina scratches hata kidogo. Tatizo iko locked, na hela ya ku unlock sina. Kama uko interested ni pm, au piga 0717311420.
Ninahitaji photocopy machine used hata mpya its okey with me as long isizidi one milion iwe katika hali nzuri atleast iwe imetoa copy nyingi ila isiwenyingi saaana. alafu iwe na ADF (automatic...
Ndugu wana JF. Kwa yeyote anayefahamu au mwenye nyumba inayouzwa maeneo ya Sinza na Mwenge tafadhari tuwasiliane kwa PM. Nitashukuru kupata majibu au ushauri wenu.
Kama unahitaji kununua bulk sms ambazo zinakuwezesha kutuma maelfu ya sms kwa wakati mmoja, na ambazo zinakuwa customized in such a way that zinaonyesha jina la biashara yako (kama MPESA au...
Ipo katika condition nzuri kabisa na inafanya kazi bila ya matatezo.
camera hii ni moja ya video camera bora ambayo sio professional bali unaweza kutumia kama professional kutokana quality na...
Salaam Wanajamii
Soko la viwanja Mtwara linakua kwa kasi ya ajabu
Kuna plot inauzwa iko Mtwara Mjini, Mtaa wa Kilimahewa
Wasifa wa Eneo
Plot ipo mita 500 kutoka kwenye mikoko/ufukweni mwa...
Habari zenu waungwana, naomba kuuliza kwa mwenye taarifa;Je ni kweli kuwa TRA wamepunguza miaka kuwa gari likiwa ni zaidi ya miaka saba unapigwa penalti?maana zamani nakumbuka ilikuwa ni miaka...
Nyumba self contained ipo mbezi mshikamano inapangishwa. inafaa kwa wanafunzi wa Chuo kikuu st Joseph, bei ni 300,000 kwa mwezi. kama ni wanafunzi wanaweza wakajiunga hata 6 kwani nyumba ina...
Sony DCR-VX9000E Pal Full Size DV Camcorder 3CCD ya kazi ambayo imetumika lakini ipo katika hali nzuri sana na ipo tayari kwa kuanza kazi.Kama mnavojua kampuni ya SONY ni moja ya kampuni zenye...
Hii ni Camera ya kazi inawafaa wale wenyekushughulika na uandishi wa habari au wenye kushughulika na mambo ya shooting movies n.k.Ni Camera nzuri sana na imetumika lakini ipo katika hali nzuri...