Ewe mdau!
UNATAFUTA HUDUMA YOYOTE YA KIBIASHARA? BASI UMEPATA.
UNATAFUTA BIDHAA YOYOTE YA KIBIASHARA? BASI UMEPATA.
UNAUZA BIDHAA AMA HUDUMA YOYOTE YA KIBIASHARA? BASI KIMENUNULIWA.
JIUNGE NA...
Habari wakuu
Nauza
HP Pavilion x360 touch screen
RAM: 8GB
Hard Disk: 500 GB SATA
Graphics card: Intel with Radeon
Changamoto: Haikai na chaji, yaani ni direct ila inalekebishika
Ina mpasuko...
Habari Wakuu.
Nauza Laptop hapa, ni Toshiba halafu old model, imekufa betri na HDD haina ila inapiga kazi fresh ukiweka spare, chaja yake pia ipo.
Nicheki 0654506090 au WhatsApp 0743546090.
Karibu!
Min Laptop emachines
Inataka 150,000/=
Haina kipengele chochote cha ufundi zaidi ya kutokaa na charge na adaptor yake nimeisahau mkoani, kariakoo charge yake inauzwa 15k na battery 20k
Karibuni...
Wakuu nahitaji laptop aina hp pavilion g6 mwenye nayo anicheki
Au mwenye aina hiyo ila motherboard yake nzima aje tuongee hata km imekufa monitor shida yangu kubwa ni motherboard
LAPTOP FOR SALE
Brand -Lenovo
Price - 350,000
Hp min probook
Ram4gb
Ssd 128Gb
Processor 1.10Ghz
Geita~Katoro
Mawasiliano: 0763571013 WhastApp and call
Matumizi yake
Kwa kusomea maana ipo slim...
Operating System: Windows 10 Pro 64
Processor: Intel[emoji2400] Core[emoji769] i5-5200U with Intel HD Graphics 5500 (2.2 GHz, up to 2.7 GHz with Intel Turbo Boost Technology, 3 MB cache, 2 cores)...
Ndugu zanguni natafuta Coaster ya abiri 29, gari itasafiri na watoto wa shule kwa siku tano mbugani Serengeti, baada ya kumaliza ziara gari itarudi kwa kupitia Bunda, Mwanza, Dodoma mpaka Dar...
MAFUTA YA PARACHICHI (Avocado oil)
Ni mafuta yanayotengenezwa toka tunda la parachichi bila kupitishwa kwenye moto au jua. Yana kiwango kikubwa cha vitamin E ambayo inasaidia;
[emoji97]kuipa...
Bei: 5 mil, bila motor. Mazungumzo yapo
Uzalishaji: Kilo 700 - 1,000 kwa siku
Sifa ya mkaa wake: Unaungua/kuwaka kwa masaa 4+
Ni mashine ya chuma kigumu cha pua. Ina gia box pia.
Bei elekezi...
Ndugu zangu habari zenu.
Tunakwenda kwenye kipindi cha kuwasilisha Hesabu za kampuni, Taasisi na watu binafsi ( Financial Statements and Accounts). Due date ni tarehe 30.06.2023, na penati zake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.