Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

mwenye simu tajwa hapo juu na ambayo iko ktk hali nzuri nahitaji kuinunua. Unaweza kuni-pm.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
320 GB hard disk 2 GB ram 3.2. Processor 15.6" HD LED LCD screen Price 550000 Mazungumzo yapo 0717592335 Ni kama mpya
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Asalaam aleikum wanafamilia wa jamii forum.Leo na mimi naomba kuelewesha ni model ipi ya scania itakayoweza kupiga mzigo masafa marefu bila usumbufu na wala kulemewa..Scania 94m,113 na 124. Kwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
habari wana jamii, nina dish langu la euromax ffuti 6 full set( dish + kinga'muzi lina muda wa wiki moja tu lakini inanilazimu kuliuza kwa sababu nimehamishwa kikazi naenda nchi nyingine...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Nahitaji nyumba ya kupanga maeneo yafuatayo; 1:Jet Lumo 2:Buza 3:Sigara Mawasiliano:0755 199 828
0 Reactions
0 Replies
1K Views
natafuta gari la kutembelea ila nina million 4.5 tu. Gari ndogo kama vitz, corrola, mark ii nk. Ni PM tuongee
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Wakuu hii nyumba bado ipo bei imeshuka mpaka 33M naongeza picha za eneo wanunuzi wa ukweli wani PM.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
jf one
0 Reactions
5 Replies
940 Views
GARI HII INA UZWA TSH.12,500,000 tu.nipo jijini dar es salaam wasiliana nami simu namba 0719 147503. E-mail:wilson.malisa@yahoo.com
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kipo Mbezi kwa Musuguri karibu na barabara kuu ya mikoani, kina hati. Bei inaanzia Tshs 45m, pungufu unaongea....Hiyo ni opportunity kubwa kama una hela na unafikiria kuwekeza.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hello Office ya kupangisha kwa ajili ya shughuli za kampuni inahitajika. Ofisi inatakiwa kuwa na vigezo vifuatavyo -ukubwa usiopungua 10m^2 -iwe maeneo Dar es salaam, ila kwa ufasaha zaidi...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
sehemu gan naweza nkapata floor ya chequerd plate.(chaga plate) ya daladala ambayo haipati kutu..
0 Reactions
0 Replies
744 Views
Hello jf users, I'm selling a complete Nissan Patrol Engine TD42 or its components. If you need a complete one it will need yo to overhauling other wise i can sell some its components...
0 Reactions
0 Replies
758 Views
Jamani naomba kwa anayejua bei za cartridges zilizo kwenye demands na namba zake anipe ili nijue kama nawezaifanya biz hii...ntaringanisha na bei ya huku ikiwa poa ntaanza...pia wino wa ku refill...
0 Reactions
0 Replies
720 Views
Eneo linauzwa liko buguruuni piga simu: 0658 282633 0754 282633
0 Reactions
0 Replies
978 Views
habari wanaJF nauliza kua ntapata wapi aquariam ya kufugia samaki na pump yake na inaweza kua bei gani?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
General Motors said Thursday it will hire about 1,000 high-skilled IT workers at a new $26 million technology development center in metro Atlanta. The operation, which will be in a sprawling...
0 Reactions
0 Replies
969 Views
0756 412 337.... Cd mbili padi moja.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
HABARI....NAUZA RAV YA 2008,Kwa atakae hitaji ani PM kwa maelezo zaidi.imetembea kilomela 68,000 tu.
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Mwenye kujua mahali nnapoweza kupata cartiridge ya printer namba Pg-512;Cl-513 au Cl-211xL;Pg210 pamoja na bei zake.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…