Habari za weekend wana Jukwaa,
Nimelima mahindi mkoa wa Pwani Wilaya ya Chalinze, natarajia kuvuna mwezi huu wa 7. Nitapata zaidi ya magunia 30.
Hivyo nipo hapa kama naweza pata mnunuzi.
Tenki hilo
2000L
Bei 250,000
0744033555
Limetobolewa sehemu 3 kwa ajili ya kusambaza maji kwa nyumba za wapangaji.
hapo lilipo ni la kushusha tu na kuondoka nalo
FURAHA YETU: Ni...
√ Kukuona UNATIMIZA NDOTO YAKO ya kua na kisima chako cha maji safi kwenye eneo lako (nyumbani, shambani, gereji nk)
√ Kukupa MUONGOZO na USHAURI wa namna sahihi ya matumizi...
OFA! OFA! YA LAB COAT [emoji91][emoji91]
Jipatie lab coat za high quality GRADE A kwa bei rahisi kabisa
[emoji117]Material zake ni ile inayong'aa na rahisi kufua.
[emoji117]Bei ni elfu 28 tu na...
Hello Wakuu,
Kwa wale wote wenye mahitaji ya Kontena ama Makontena kwaajili ya kusafirishia Mizigo , Kutengenezea Fremu , Nyumba etc
Karibuni, huu ndiyo uwanja wetu.
Utaweza kupata Containers 20...
Habari wafanyabiashara wa humu jukwaani.
Moja kwa moja kwenye mada.
Wanauzwa kuku wa Kienyeji wapo takriban 30, wenye afya njema kwabisa Ni wakubwa,wenye uzito na ujazo,utakaokuvutia wewe...
Mambo vipi wakubwa, mimi ni mgeni hapa Dar es Salaam, ombi langu kwenu ni kufahamu mitaa ya Dar yenye idadi kubwa ya watu wa kipato cha hali ya chini pia inayoweza kusupport biashara ndogondogo...
Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imedhamiria kuanzisha mpango wa kuwezesha ujenzi wa vituo vipya vidogo vya mafuta (petroli na dizeli) vya gharama nafuu maeneo ya vijijini ili...
Mwandege magengeni wilaya ya mkuranga mkoa wa pwani, boma linauzwa la vyumba vitano,lipo barabara ya mtaa dakika 5 main road bei MIL 8 ukubwa Sqm400.0767600250/ 0674913177
Nauza kiwanja kipo kijiji cha Mapinga - Kimere karibu na Bunju B, kina ukubwa wa 20M kwa 30M. Bei ni sh. Milioni 9. Kuna maji, umeme upo katika hatua za mwisho nguzo ndio zimesambazwa na kuwekwa...
Kiwanja kinauzwa kipo maeneo ya chamazi mkabala na shule ya fahari English medium km chache kutoka kituo kiitwacho bamia..!
Kiwanja ni square meter 50 kwa 50
Bei ni shilingi (350,000) milioni...
Kwa mahitaji ya spea za pikipiki aina zote, brand ya winner kwa Bei ya jumla wasiliana nasi kupitia 0747333320 tunapatikana kariakoo mtaa wa mafia na swahili.
Kwa mikoani TUNATUMA nchi nzima na...
Habari, kama kichwa cha habari kinavyojieleza...
•Nyumba ipo Muriet Mashariki, mita 200 kutoka barabara ya East Africa
• Nyumba ina vyumba kumi, (single room) na ukubwa wa eneo ya nyumba ni...