Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Tatafuta laini ya TiGo pesa kwa yeyote anayeuza anijulishe au kwa email luluurassa@gmail.com Thanks !
0 Reactions
3 Replies
2K Views
habari wakuu, leo nawaletea I PAD mini 16 GB used (3 months) bei laki 7 tuu... kwa wateja wa arusha, mkoani kama una interest na mzigo unaweza ukatafta kijana wako onbehalf.. utapata na charger...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
:A S 39: Game Enthusiast!!!! nna FIFA 2013 for PS3 sokoni, anybody anae hitaji tuwasiliane!
0 Reactions
0 Replies
808 Views
Wadau anaemfahamu fundi ujenzi anae paka rangi nyumba (kisasa) tafadhari naomba anijulishe
0 Reactions
11 Replies
3K Views
http://www4.autotrader.co.uk/classified/advert/201303125723837/sort/default/usedcars/engine-size-cars/1-7l_to_1-9l/quantity-of-doors/5/maximum-age/up_to_7_years_old/model/grand_vitara/make/suzuki/o...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
a house for sale at a reasonable price!! It is at Mikocheni. Four bedrooms,dining room,2 sitting rooms,big kitchen+ swamming pool and a comfortable car park
0 Reactions
1 Replies
803 Views
SOMESHA MTOTO MMOJA –KINACHOENDELEA. Waliotoa fedha mpakasasa, 1. Mr.J.A .M........60,000 2. Mr. J.L. M....60,000 3. Mr. C. S. M-wa UK................50,000 4.Mr. A...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hii truck ni LHD inauzwa MIL 25 za Tanzania mpaka Dar Bandarini.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Tunatengeneza mabango ya kisasa aina zote,tupo Dar es salaam maeneo ya Tegeta.Ingia http://disolni.blogspot.com/ kuangalia baadhi ya kazi tulizowahi kuzifanya & kwa mawasiliano zaidi.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nauza simu HTC wildfire A3333 Addroid system. Full touch screen and HTC SENSE. Bei ni 200,000. Maongezi yapo! Anayehitaji Tuwasiliane kwa namba hizi; 0787577755, 0767577755 na 0717577755. Au ani PM.
0 Reactions
0 Replies
696 Views
Espitech Engineering Co ni kampuni iliyosajiliwa na kutambulika CRB ambao ni wataalamu wa kusupply na kuinstall vifaa na systems bora za CCTV kwa wenye Maduka, Supermarkets, Shelli, Garage...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kiwanja hiki kipo Chanika wilaya ya Ilala Dsm, barabara ya Pungu unafika gongo la mboto kisha unapanda gari za chanika . eneo la kiwan ja ni tambalale na kipo umbali wa kilometa 2 toka barabara...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu wana jamii,kunakiwanja kipo kimara mwisho kinauzwa million 75,kipo jirani na morogoro road ni umbali wa dakika tano(5) tu. kinaukubwa wa nusu heka yani 70 kwa 35 pia eneo hilo lina...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mkoa wa Pwani, wilaya ya kibahainakuwa kwa kasi ya ajabu, maendeleo yanaongezeka kiwanja kinauzwa kinafaa kwa matumizi yafuatayo; Kujenga Petrol Station, Kujenga Yard ya Magari makubwa, Kujenga...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Imetumika kidogo Ina trademark ya Google Ina mfumo wa MPGE4 wa kuplay video Ina camera isiyo na frash hivyo unaweza kumchukua mtu bila yeye kujitambua Ina application za kutosha Ni android...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
JE UNATAFUTA NYUMBA/VYUMBA VYA KUPANGA SOWETO-MOSHI??? KARIBU KUNA VYUMBA YA KUPANGA NZURI IPO SOWETO, MTAA WA HURUMA KARIBU KABISA NA ST JOSEPH HOSPITAL. NYUMBA INA KILA KITU MAJI, GETI, NA...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habarini wana jamii, naishi magomeni kanisani natafuta mwalimu wa kunifundisha karate au sehemu mafunzo yanapotolewa, iwe mitaa ya magomeni au kinondoni. Ahsante
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Wadau natafuta hiyo Movie series hapo juu vyovyote ikiwa kwenye dvd or memory stick please
0 Reactions
14 Replies
4K Views
IPo mwembechai karibu na DDC MAGOMENI KONDOA Ina vyumba vitatu kodi kwa mwezi ni laki mbili na nusu na italipwa kwa miezi Sita au mwaka.ukiihitaji ni cheki kwa no.0655 44 44 40
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kuna tangazo kwa umma kwenye daily news, the guardian la 22 Feb kutoka TCRA, kuhusu maombi ya mwanaharakati Marie Shaba (0784-265315) yakuanzisha kituo cha Radio Kaya FM. Unakaribishwa kutoa...
0 Reactions
18 Replies
5K Views
Back
Top Bottom