Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wakuu habari! Nna xbox 360 inatatizo la hardware obviously mana ile ring inawaka rangi ya red... Sasa kama kuna mtu anajua how to fix it anambie ama kama kuna fundi lkn kwa instant service pia...
0 Reactions
0 Replies
684 Views
zamani ofisi zao zilikuwa samora karibu na stesheni, leo nimeenda nimekuta wamehama. mwenye kufahamu walipo hamia tafadhali anijulishe.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hi WANA JAMVI Jamani naomba kuuliza hii nokia Lumia 900 inatembea bei gani dukani kwa sasa ?? au kama kuna mtu anayo used !!!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
habarin wana Jf. nina gari yangu Chaser avante gx100. manufacture year 2000. reg: T.....BDU engine 1G vvti. cd.dvd.TV player & Navigator. Imported in 2010. Ipo katika hal nzuri.ipo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ili uweze kupata wallpaper game simbian game photo image editor image chef na mengine mengi bofya HAPA
0 Reactions
1 Replies
848 Views
1. Shamba la ekari 20 linauzwa lipo visegese kisarawe- ni km 7 toka kisarawe mjini. Bei ni Mil 15 kwa hizo ekari 20. Kuna mto unapita shambani panafaa pia kwa kilimo cha umwagiliaji. 2. Pia kuna...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari za weekend poleni na majukumu, natafuta mtu wa kufanya nae biashara ya hoteli karibu na stend mpya ya mabasi yaendayo mkoani kwa aliyetayari aniandikie kwa email kyelilucas@yahoo.com
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Naitaji dry water meters aina ya Kmei.Ziwe za plastic. Kama unazo dry water meters aina tofaouti pia,naomaba tuwasiliaane naitaji pcs 200.
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Habari ndugu wana JF, napenda kuwataarifu ndugu zangu hpa jirani yangu kuna nyumba nzima yenye vyumba 5 parking ya gari ndani kodi ni laki sita kwa mwezi. ipo magomeni moroco hotel karibu na...
0 Reactions
1 Replies
811 Views
Wakuu naitaji iphone 3gs yenye hali mzuri mtu yyte mwenye nayo please anipm tufanye biashara
0 Reactions
1 Replies
759 Views
Noah ya mwaka 2000 vibali vyote vimelipwa bado bima ( inasurance) imetembea km 125,000 inapatikana kinondoni 0657 145555 au 0772 00 8866 ina A/c cd player n.k bado nashughurikia vibao vya namba.
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Salut Natafuta kiwanja Tegeta ukubwa at least 70*70 budget 30M! kiwe na hati.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wana JF! Kuna nyumba inapangishwa jijini Arusha. Nyumba hiyo ni mpya kabisa, ikiwa na vyumba viwili vya kulala(kimoja masterbed room), sitting room, dinning room, kitchen, public toilet ...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wadau natafuta haraka sana nyumba ya kupanga arusha iwe na vyumba 2 vya kulala,sebule na jiko na pia iwe self contained maeneo ya njiro/nanenane au karibu na njiro au mjini pia buget isizid 200000
0 Reactions
8 Replies
2K Views
CIF DAR EUR 25.000 Description: DYNAPAC 12000R YEAR 1992 5.943 HOURS 6 CYLINDERS ENGINE DEUT
0 Reactions
0 Replies
805 Views
ciaf dar pound 40.000
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Sold............. Imeshauzwa.............
0 Reactions
4 Replies
1K Views
tunapenda kuwatangazia wamiliki wa magari ,trucks,kampuni binafsi za magari maeneo ya wilaya ya kinondoni jeff mobile car wash tushaanza kutoa huduma za uwoshaji wa magari kokote ulipo nyumbani au...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
JF naikubali, ni kisima cha elimu, uzoefu na maarifa ya kila aina, isitoshe kuna waungwana kibao. Mwenzenu nimekwama, naombeni waungwana mnisaidie. Biashara zangu zimesimama kwa kukosa mtaji...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Ni wakati wako wa kuendesha gari zuri kutoka Hyundai aina ya Hyundai TB ya mwaka 2006 ina 1390cckwa USD 999 FOB au USD 2500 CIF ikiwa pamoja na ukaguzi. Tembelea website yetu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom