Ipo maeneo ya Bigwa mtaa wa Lukuyu,ina uwanja mkubwa sana wa kuweza kujena nyumba zingine!imejengwa mpaka level ya rinta!ina vyumba vinne,master,sebule na jiko!bei ni 19.5m mazungumzo yapo...
Nyumba ya vyumba 4 inapangishwa maeneo ha Kigurunyembe. Ina vyumba self c 2, jiko, sebule, dining hall, etc. umeme na maji vipo. Bei 200,000 tsh. kwa mwezi x miezi 6.
pm kwa maelezo zaidi.
Shamba lenye ukubwa wa ekari moja,lipo maeneo ya bugogwa,mbele ya nyamwilolelwa.halijapimwa.
Bei ni tshs milioni moja na laki mbili.
Mawasiliano 0765540059,0767301461
habari wakuu,
leo nawaletea I PAD mini 16 GB used (3 months)
bei laki 7 tuu...
kwa wateja wa arusha, mkoani kama una interest na mzigo unaweza ukatafta kijana wako onbehalf..
utapata na charger...
a house for sale at a reasonable price!! It is at Mikocheni. Four bedrooms,dining room,2 sitting rooms,big kitchen+ swamming pool and a comfortable car park
SOMESHA MTOTO MMOJA –KINACHOENDELEA.
Waliotoa fedha mpakasasa,
1. Mr.J.A .M........60,000
2. Mr. J.L. M....60,000
3. Mr. C. S. M-wa UK................50,000
4.Mr. A...
Tunatengeneza mabango ya kisasa aina zote,tupo Dar es salaam maeneo ya Tegeta.Ingia http://disolni.blogspot.com/ kuangalia baadhi ya kazi tulizowahi kuzifanya & kwa mawasiliano zaidi.
Nauza simu HTC wildfire A3333 Addroid system. Full touch screen and HTC SENSE. Bei ni 200,000. Maongezi yapo! Anayehitaji Tuwasiliane kwa namba hizi;
0787577755, 0767577755 na 0717577755. Au ani PM.
Espitech Engineering Co ni kampuni iliyosajiliwa na kutambulika CRB ambao ni wataalamu wa kusupply na kuinstall vifaa na systems bora za CCTV kwa wenye Maduka, Supermarkets, Shelli, Garage...
Kiwanja hiki kipo Chanika wilaya ya Ilala Dsm, barabara ya Pungu unafika gongo la mboto kisha unapanda gari za chanika . eneo la kiwan ja ni tambalale na kipo umbali wa kilometa 2 toka barabara...
Habari zenu wana jamii,kunakiwanja kipo kimara mwisho kinauzwa million 75,kipo jirani na morogoro road ni umbali wa dakika tano(5) tu. kinaukubwa wa nusu heka yani 70 kwa 35 pia eneo hilo lina...
Mkoa wa Pwani, wilaya ya kibahainakuwa kwa kasi ya ajabu, maendeleo yanaongezeka kiwanja kinauzwa kinafaa kwa matumizi yafuatayo; Kujenga Petrol Station, Kujenga Yard ya Magari makubwa, Kujenga...
Imetumika kidogo
Ina trademark ya Google
Ina mfumo wa MPGE4 wa kuplay video
Ina camera isiyo na frash hivyo unaweza kumchukua mtu bila yeye kujitambua
Ina application za kutosha
Ni android...
JE UNATAFUTA NYUMBA/VYUMBA VYA KUPANGA SOWETO-MOSHI???
KARIBU KUNA VYUMBA YA KUPANGA NZURI IPO SOWETO, MTAA WA HURUMA KARIBU KABISA NA ST JOSEPH HOSPITAL.
NYUMBA INA KILA KITU MAJI, GETI, NA...