Habari wanajamii,
Kama kuna mtu yoyote anahitaji ushauri kuhusu processing ya madini ya Dhahabu na Shaba tu,anaweza kuwasiliana na mimi mana kuna kampuni ya vijana yenye uzoefu na mambo ya madini...
Hi guys!
Wanajamii ninauza hizi pair mbili za viatu laki na nusu kila pair maelewano kidogo yapo. Viatu viko dar kwa any serious buyer tafadhani ni PM asap
Viatu vya brown ni size 9U.S na black...
Kwa wale wapenda soka, hasa mechi za Ligi Kuu ya Uingereza Live tuwasiliane. HD AD Sports package ndio kimbilio la wajanja...Ukinunua King'amuzi cha AD Sports unapata channel zenye kiwango cha...
Nauza Samsung i897
Bei 300000 maelewano yapo just pm me!!
Phone specifications 512mb of Ram
1ghz CPU
PowerVr 540 GPU
http://m.gsmarena.com/samsung_i897_captivate-3408.php for more information...
kuna frem tatu zinauzwa zipo tegeta kibaoni, frem izo ni kubwa zipo sehemu yenye mzunguko wa biashara bei kwa kila fremu ni ml 8 kwa maelezo zaidi waweza kunipata kwa simu namba 0714 182 640
Wana JF
Naomba msaada kwa yeyote mwenye soft copy ya financial regulations zilizotolewa kuelezea The Finance Public Act 2001, anisaidie.
Natanguliza shukurani
Ewe mteja,Htc legend mpyaaaaa inauzwa,bei ni 220,000/=
kwa maelezo zaidi na specifications igoogle uone mzikii,kwa walio serious na biashara tuwasiliane 0719579733,0713838799,0769579733.
Meseji...
Salaam, wakuu.
Ninahitaji fundi wa printer (copier machine), aina ya konica minolta bizhub,na xerox work force
nipo dar es salaam, nicheki kwa 0762 490 080.
Asanteni.
Habarini ndugu zanguni, Nina laptop aina ya acer aspire 5532 ambayo niliinunua mwaka jana, lakini haijatumika sana.. yaani namaanisha bado ipo freshi sana, ina 64 processor TF-20(1.6GHZ). ATI...
Mashamba yanauzwa Maeneo ya Mkoa wa pwani(Bigwa wilaya ya Mkuranga) unakatiwa kulingana na pesa yako au mahitaji yako mashamba yapo katika maeneo mazuri na ardhi yenye rutuba inayo stawi mazao...
anasema bei zake ni milioni moja kwa kila moja,ni mpya
kama unahitaji we PM
Specification
1.CPU platform: Intel Core / Core i5
2.Screen size: 14-inch
3.Memory capacity: 1G
4.Hard disk capacity...
Habari za asubuhi wana jf nina mdogo wangu wa kiume by profession yeye ni Procurement and supply Management na qualification aliyo nayo ni Certified Procurement and Supplies Professional...
Heshima kwenu brothers and sisters
Kama kuna mdau aliye interested na hii kitu tutafutane pm,,
Nina appartment maeneo ya ubungo Xternal karibu na TFDA na Mkapa EPZA natafuta mtu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.