Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Mambo vp? Ninauza simu Aina ya Nokia x2-01 single line, supporting whatsapp, Facebook, twitter na application nyingine nyingi. Iko kwenye condition na Haina tatizo lolote. Bei ni 135,000, iPod...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ipo katika hali nzuri, imetumika muda wa miaka miwili, engine two stroke,imesajiliwa na inapiga mzigo vizuri.Serious buyers PM.Picha zipo hapo chini, ipo kinondoni studio.
0 Reactions
12 Replies
3K Views
chumba na sebule kinapangishwa maeneo ya tabata kimanga kiko karibu na stendi pia kodi yake nafuu ni sh.60,000 kwa mwezi na kodi inalipwa kwa miezi 6 nicheki kwa 0717 022737
0 Reactions
1 Replies
1K Views
kiwanja kinauzwa mbezi ya kimara mwisho maeneo ya kwembe chenye ukubwa wa hatua 50 kwa 40...kinauzwa kwa bei ya millioni 17 pia kuna maelewano. Piga namba 0717 022737 kwa serious buyer..
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kama unaweza kunitaftia hiyo makitu ni pm Bei na namba yako ya simu.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
nauza sumsung galax note2 kwa bei poa na sumsung s4 ,s3 call me 0,652740304
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Puppies aina ya maltese wanauzwa bei shilingi 300000 wana wiki 7.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wadau,naomba kujua sehemu ambayo ntapata nguo za kike za mtumba(quality).nahitaji kufanya biashara,napatikana morogoro.asanteni wadau.
0 Reactions
1 Replies
830 Views
Kwa yeyote mwenye kufahamu namna navyoweza kuwapata wauzaji wa printer kubwa za konica minolta kule dubai. Nimetafuta kwa internet nimeshindwa kupata contact zozote. Msaada na namna ya kufika dubai.
0 Reactions
0 Replies
833 Views
Viwanja vinauzwa Makabe maeneo ya Mbezi road viko karibu kabisa na Barabara na barabara inafika mpaka kwenye viwanja vyote,vyote vina ukubwa wa 20X35 na bei ya kila kimoja ni mil.13,kwa mwenye...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
General Network 2G : GSM 850 / 900 / 1800 / 1900 3G : HSDPA 850 / 900 / 1900 / 2100 Announced 2012, 1Q Processor Dual-core 1 GHz Cortex-A9 SAR Rating Color Available Black Size Dimensions (mm)...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Motherboard ya dell inspiron 1526, inaingiliana na ya 1525, 1530, 1545. Mwenye aina yoyote anijuze tufanye biashara.nawatakia shughuli njema.
0 Reactions
0 Replies
778 Views
Ndugu wadau napenda kuulizia bei ya hiace dungu ikiwa used japan hadi kuifikisha tz na kulipia kila kitu inaweza kugharimu kiasi gani? Nitawashukuru wote mtaonipatia taarifa coz nataka kubiashara hii.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nauza Plot ya ukubwa wa mita 40 kwa 30 Kibada kwa Milioni 3.5. Haina hati, mwenye kuhitaji ani PM tafadhali
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Tunatengeneza software kwa ajili ya management ya biashara yako mfano :- Payrol software,School management system,hotel management,accounts software and may more software according to customer...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kama kuna mtu Ana miliki magari ya namna hiyo( Lexus,Noah,Rav4 hata kama Una Prado) nataka tubadilishane kwa gari yangu aina ya Nadia na pia nakupatia na hela kadhaa. Lexus(Nadia na 3M) Noah...
0 Reactions
29 Replies
6K Views
Nahitaji noah ya mwaka 2002 rangi nyeusi.
0 Reactions
2 Replies
963 Views
https://www.facebook.com/mialikotz?fref=ts
0 Reactions
0 Replies
923 Views
Nimemaliza kumwaga zege. Nina mirunda 700 (bei @ 1,500) Marin Board 65 (bei @ 40,000) Mpya zimebaki 5 ambazo naziuza kwa (@ tshs 50,000) na Mbao za 4x2, 6x2 na 10x1 nyingi). zote zimetumika mara...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nauza Toyota Altezza Gita milion 12 namba CLL rangi ya silver ina week toka itoke bandarini, na pia ina mziki wa thamani ya milion moja Unaplay DVD... Call 065314 Stanley, Dar es salaam
0 Reactions
24 Replies
6K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…