stephot
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 17,839
- 27,417
Viwanja vinauzwa Makabe maeneo ya Mbezi road viko karibu kabisa na Barabara na barabara inafika mpaka kwenye viwanja vyote,vyote vina ukubwa wa 20X35 na bei ya kila kimoja ni mil.13,kwa mwenye kuhitaji tuwasiliane kwa namba 0715843780 viko flat,kuna maji na umeme karibu pia maongezi yapo!