Shikamooni wakuu..hope wote mpo salama.mbarikiwe sana,mimi ni graduate,natafuta mentors especially waliosomea business related courses na ikiwa marketing itakua vizuri zaidi.Pia wenye uzoefu au...
Wanajf,naombeni mnisaidie juu ya kupata kazi kwa mtu,kampuni binafsi na viwandani na hata ya dukani ila iwe na masilahi,elimu yangu ni form 4 pia nipo dar es salaam,asanteni
Habari wandugu
Mimi ni mtaalamu wa mambo mbalimbali ninatafuta tenda za kupamba katika kumbi mbalimbali za sherehe, au shughulli kama vile mikutanoni, misibani, na shughuli yoyote, ni mtaalamu wa...
Poleni na majukumu, kwa wale wajasiliamali wezangu nahitaji msaada wenu nimekwama, nimepata katenda ka kujenga networking mahali nimefanya kwa hatua zote, mwisho nimekwama kwenye Server. Aina ya...
Pata vifaranga vya kuku wa kienyeji toka Bena quality chicks.Tunao kuku aina ya malawi, chotara, Rhode Island Red, Barreck Rock, Bata Mzinga,tunauza vifaranga kila wiki, tunatoa ushauri kwa wateja...
Nyumba nzuri inauzwa ipo Ukonga Moshi Bar ina vyumba 9 umeme na kisima na ipo karibu na barabara ya mtaa bei ni shilingi 28,000,000. Kwa mawasiliano piga namba 0788 883962.
boxer bm150 imetumika kwa miezi 4 bado mbichi imelipiwa kila kitu yaani motor vehicle na ina bima kubwa(comphrensive insurance) bei haipungui nicheki kwa 0717022737 ilikuwa inatumika kwa safari za...
Karibu mjipatie asali safi kwa kutoa order yako kupitia namba 0683370065 au 0769129351 kwa wale mliopo DAR ES SALAAM AU MOROGORO na utaletewa ulipo bila kujihangaisha!
Lakini pia wakazi wa...
Simu tajwa hapo kwenye headline inauzwa ni Adroid system na inatumia line zote pasipo kuchagua. Bei ni 120,000
Kwa atakayehitaji piga namba hizi 0787577755 or 0717577755
Bei haishuki!
shamba hekar tano linauzwa kati ya hizo tano heka mbili lina mikorosho , lipo kijiji cha mwanzo kabisa cha wilaya ya rufiji kama ukitoka dar kuelekea lindi/mtwara au kijiji cha mwisho cha wilaya...