natafuta kazi jamani

natafuta kazi jamani

Thesnooperman

Member
Joined
Jul 3, 2013
Posts
57
Reaction score
6
Wanajf,naombeni mnisaidie juu ya kupata kazi kwa mtu,kampuni binafsi na viwandani na hata ya dukani ila iwe na masilahi,elimu yangu ni form 4 pia nipo dar es salaam,asanteni
 
Wanajf,naombeni mnisaidie juu ya kupata kazi kwa mtu,kampuni binafsi na viwandani na hata ya dukani ila iwe na masilahi,elimu yangu ni form 4 pia nipo dar es salaam,asanteni

Jinsia gani? umri wako je, maana ninahitaji mtu wa kunikasaidia kazi hapa nyumbani....
 
Unataka kulipwa sh ngap na aina gan ya kaz?

Jamani naomba mnielewe me ni kijana wa kiume nina umri wa miaka 22,nahtaj kazi kwenye maduka,workshop mbalimbali za watu,viwandani na hata makampuni binafsi,malipo ni maelewano kutokana na kazi yenyewe.
 
Jamani naomba mnielewe me ni kijana wa kiume nina umri wa miaka 22,nahtaj kazi kwenye maduka,workshop mbalimbali za watu,viwandani na hata makampuni binafsi,malipo ni maelewano kutokana na kazi yenyewe.

Upo tayari kupokea bea gani? nataka nikutupe kwenye ki-Grocery changu.
 
Back
Top Bottom