Habari wakuu, mwenye kuuza bold 9780 ambayo iko kwenye hali nzuri na haina scratches na inakaa na charge fresh niko tayari kuinunua.
Offer yangu ni 380,000/= na nicheki kupitia 0753196849 we...
Nauza imac yangu,
pamoja na vifaa vifwatavyo
magic mouse
original apple speakers
Apple wireless Keyboard
Specs:
HDD 1TB
3.5Ghz
4GB of RAM
SOLD!
Fast!...wont last long!
+255 756 412 337
biblia na Quran za kusikiliza(audio Bible and audio kuran) za kiswahili na English.
Pia tuna vitabu vingi vya akina dan Brown, robert kiyosaki, ben carson, napoleon hill, dale carnegie, n.k...
Kwanza samahani wana jammi forum kwa kutumia lugha mchanganyo kwa tangazo langu lililopita linalohusiana na ili naombeni furusa nyingine ya kujieleza vizuri
Nafanya biashara ya kusambaza mazao ya...
kiwanja cha 20 kwa 25 unaweza kujenga nyumba?20 kwa 40 je?
ghorofa single storey kwa million 60 inawezekana?km sio shiling ngapi inatosha???
nani anikopeshe millioni 25 dada yenu ninunue...
Ninataka laptop iwe na uwezo mzuri kama dual core 2.1ghz,h.disk 150 to 250 gb,ram 1.5 to 2gb,battery angalau masaa matano,isiwe mini,kampuni yeyote nipo arusha njiro chuo cha uhasibu.
Waungwana natafuta kidi-frizer kidogo cha kuweza kutunza kama kilo 100 za samaki used mwenye nacho anaitafute haraka nipo dsm maeneo ya kimara baruti...!
Salam wana- jamii. Kama kuna mtu yeyote kati yenu anajua/amesikia juu ya wawekezaji wa madini (Dhahabu) waliopo Handeni au wanaohitji maeneo ya dhahabu Handeni, tafadhari naomba ,mnijuze. Nina...