Naaitaji wawekezaji

Naaitaji wawekezaji

jchris

Senior Member
Joined
Aug 6, 2013
Posts
125
Reaction score
41
Kwanza samahani wana jammi forum kwa kutumia lugha mchanganyo kwa tangazo langu lililopita linalohusiana na ili naombeni furusa nyingine ya kujieleza vizuri

Nafanya biashara ya kusambaza mazao ya kilimo kama viazi, mchele, , maindi kutoka kwa wakulima na kuleta mikoa ambayo hayapatikani ayo mazao kama dar es salaam , pwani,morogoro
Naitaji wawekezaji ili kuweza kuikuza biashara yangu na kuweza kutengeneza campuni ifikapo mwezi wa kwanza 2014

Faida ya mwekezaji anapata asilimia 15% ya fedha anayowekeza kwa mwezi

Mkataba ni kuanzia miezi 3 na kuendelea apo mwekezaji anaweza kuchukua fedha yake aliyowekeza au kuendelea nasi baada ya muda wa mkataba kuishi
Kiwango cha chini cha kuwekeza ni 100,000 Tshs na cha juu n 4,000,000 Tshs

- Mfano faidi ya asilimia 15 ya laki 3 ni 45,000 Tshs kwa mwezi
Unavyoweka fedha nyingi ndoo faida yako inaongezeka lakini kwa sasa tutapokea kiwango cha juu cha kuwekeza milion 4 za kitanzania ifikapo mwezi wa kwanza 2014 ndoo kutaongeneza kiwango cha juu cha kuwekeza

Kabla ya kuwekeza kwenye biashara yetu sharti tujuane kwanza na kuwekeana mkataba kuwa utawekeza kwa muda gani

Tunapatikana dar es salaam ,bunju B mtaa wa contena magenge ya zamani

Kwa mawasiliano zaidi wasiliana nami, mimi ndoo mumiliki wa biashara hii

Christian Mgalla
0713239001
Email: lauchris2008@gmail.com
 
Sasa kama biashara tayari unayo suala la mwekezaji linakujaje tena?

Wewe sema unaahitaji wanahisa, na ili kufanikiwa katika hilo kwanza msajili hiyo kampuni, pili mumwe na ofisi na muweke wazi kiasi cha mtaji mlichonacho

Mimi pia si mtaalamu wa biashara lakiniki kwa mchongo huo unaotaka wewe watu kukuamini tu na kukupa hela ngumu sana.

Ili kuweka sawa mpango huo nenda soko la hisa la dar salaam wao watakupa taarifa na taratibu sahihi za kufuata kupata hao wanahisa

Kwanza samahani wana jammi forum kwa kutumia lugha mchanganyo kwa tangazo langu lililopita linalohusiana na ili naombeni furusa nyingine ya kujieleza vizuri

Nafanya biashara ya kusambaza mazao ya kilimo kama viazi, mchele, , maindi kutoka kwa wakulima na kuleta mikoa ambayo hayapatikani ayo mazao kama dar es salaam , pwani,morogoro
Naitaji wawekezaji ili kuweza kuikuza biashara yangu na kuweza kutengeneza campuni ifikapo mwezi wa kwanza 2014

Faida ya mwekezaji anapata asilimia 15% ya fedha anayowekeza kwa mwezi

Mkataba ni kuanzia miezi 3 na kuendelea apo mwekezaji anaweza kuchukua fedha yake aliyowekeza au kuendelea nasi baada ya muda wa mkataba kuishi
Kiwango cha chini cha kuwekeza ni 100,000 Tshs na cha juu n 4,000,000 Tshs

- Mfano faidi ya asilimia 15 ya laki 3 ni 45,000 Tshs kwa mwezi
Unavyoweka fedha nyingi ndoo faida yako inaongezeka lakini kwa sasa tutapokea kiwango cha juu cha kuwekeza milion 4 za kitanzania ifikapo mwezi wa kwanza 2014 ndoo kutaongeneza kiwango cha juu cha kuwekeza

Kabla ya kuwekeza kwenye biashara yetu sharti tujuane kwanza na kuwekeana mkataba kuwa utawekeza kwa muda gani

Tunapatikana dar es salaam ,bunju B mtaa wa contena magenge ya zamani

Kwa mawasiliano zaidi wasiliana nami, mimi ndoo mumiliki wa biashara hii

Christian Mgalla
0713239001
Email: lauchris2008@gmail.com
 
Ok, umejitahidi kiasi cha kutosha katika lugha japo mambo kama huyo na uyo na mengine mengi bado yanakupa tabu. Najua hauko hapa kuonyesha jinsi gani unafahamu lugha ama la lakini watu ama mim nakuelewa tofauti. Yani you don't seem professional on whatever you are doing, sasa hao wawekezaji utawapataje? Take time jipange omba msaada weka tangazo lako vizuri.
 
Sawa nimewaelewa

usikatishwe tamaa , maisha ni ubunifu na kujaribu, bila shaka utapata partners wa kusaidianana nao, kuna watu wengi wana pesa lakini hawana muda wa kwenda huko mkoani kuchukua mazao na kufanya bishara unayofanya. nguzo namba moja ya mafanikio ni UAMINIFU , namba mbili UKWELI, shikilia hizo nguzo na utafika mbali.
 
Back
Top Bottom