Tv ya tsh 30elfu?
Au unasemea Tv ya kwenye simu ya mchina au ni mfano wa Tv au tv iliyopo dustbin!
Tv ya tsh 30elfu?
Au unasemea Tv ya kwenye simu ya mchina au ni mfano wa Tv au tv iliyopo dustbin!
labda anamaani ka-tv kadogo kabisa ambako unaweza kuweka hata kwenye mfuko wa sh 50 sijui ni inch ngapi kale!
mkuuuu uemtiah MIE NNyo sony hapa mende tu wanachezea haina kaziAcheni masihara nyie, TV ya 30K ATAPATA!..kuna member mmoja humu JF alikuwa anatafuta ya bei hiyohiyo, na alipata inchi 14 nzuri tu! Kuna watu wanamitv ya kizamani ndani hawajui wayapeleke wapi. Vuta subira mtweve jr utapata hiyo tv kwa bei hiyo au hata less, tena unawezakupata hata bure, tatizo haujasema uko wapi.