Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Heshima zenu wakuu,nahitaji fuel/petrol station ya mtu binafsi kwa ajili ya kukodisha! Maeneo ni dar es salaam,isiwe ya kampuni kubwa kama oilcom gapco puma etc! Mengine waweza ni pm. Asanteni
0 Reactions
13 Replies
2K Views
kwa anaehitaji gari toyota i.s.t nyeupe,milleage 88,000km,cc 1490,automatic, engine VVT..i,nauza 11mil bei inapungua ni nzuri katika utumiaji wa mafuta 15km/litre.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
NAUZA IPAD 1 3G&WIFI 16GB BEI NI 450,000/= ipo katika hali nzuri na haina shida yeyo ile. kwa atakae ihitaji anicheki kwa 0655 44 44 40,au pm pia
0 Reactions
4 Replies
951 Views
Sold..
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Tunafungabooster maalumu za kukuza umeme katika nyumba yako!Tuwasiliane 0657-115587
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Iphone 4 black 16 gb still new inauzwa bei 450000 kwa anyehitaji anichek 0719004668
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Ninauza samsung galaxy R-GT I9103. No scratches......working perfectly internal memory 8Gb....+ additional 2gb memory Card 5mp flash camera....... + front camera with screen protector. Nipo...
0 Reactions
0 Replies
580 Views
Digital camera mpya inauzwa 16.1 MP bei 290k
0 Reactions
2 Replies
861 Views
Gari aina ya toyota duet inauzwa bei 4.5m negotiable,picha zitakuja soon.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nauza hii simu kama ilivyo,napatikana kwa simu 0768808819 ama ni pm
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nauza simu hii kama ilivyo kwa mawasiliano ni 0768808819 ama ni pm
0 Reactions
0 Replies
755 Views
Je, wewe ni mwanachuo wa SAUT malimbe mwanza, kama jibu ni ndiyo wahi sasa kwani kuna vyumba vya bei nafuu kwa mawasiliano piga simu 0766601306
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tunatoa huduma kwa wote wanaosumbuliwa na magonjwa sugu au ya tabia.. Magonjwa haya yanatibiwa kwa njia ya kutumia virutubisho mwili vitakavyomwezesha mgonjwa kurudi katika hali ya kawaida ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
I am an interdisciplinary researcher in the field of Natural resource Management especially the coastal ecosystems. I have extensive experience in quantitative and qualitative research...
0 Reactions
0 Replies
772 Views
viwanja viwili vinauzwa vipo Mbande Dar es salaam. Kimoja kinauzwa mil 6 na kingine kinauzwa mil 3.5 vyote vipo kwenye mtaa.. cha mil 6 kina ukubwa wa futi 60 kwa 50 na cha mil 3.5 kina futi...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Natafuta mashati (modo) mazur ya Italy. Kama yapo nielekeze duka lilipo na bei zake.
0 Reactions
0 Replies
3K Views
kiwanja kinauzwa mbande dar es salaam kipo karibu kabisa na uwanja wa mpira wa azam fc. Kiwanja kipo sehemu nzuri kina ukubwa wa futi 60 kwa 50 bei milion tatu na nusu kwa mawasiliano.0656 25...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wana Jf Mzee wangu anauza kiwanja maeneo ya Kibaha kwa Mathias kinaukubwa wa heka 1 kasoro hivi bei ni Million 15 lakini maongezi yapo. Hatutaki madalali wasialiana na mzee mwenyewe kwa simu no...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…